chemistryj
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 238
- 148
Uzushi tu
Wamejawa uoga wa hali ya juu (colour red)Polisi wao wamesema ni sababu ipi iliyopelekea hayo yote?
Ukishambuliwa na Kichaa mmoja nanyie mpo saba hivi mkiwa mmevaa mabomu kabsa na bunduki mgongoni mtashindwa kumdhibiti??? Hahahahaha nacheka kwa dharau iliyochanganyikana na hasira!Rpc atasema kichaa alianza kuwashambulia Polisi na wao wakajibu mapigo kwa kumpiga risasi na alifariki wakati akipelekwa hospital.
Hakuna polis ambae anaweza kumpiga risasi mtu yoyote ambae tayar yupo ktk hali ya utulivu....walikuwa askar wawili ambapo huyo mtu alikuwa ameshawajeruhi watu kwa kisu polis walipoenda kutaka kumzuia hakuskia akawa anamfata polis amchinje yule askar akapiga risasi juu ila hakusikia askar akarud nyuma akaanguka yule jamaa akampiga kis askar na alipotaka kumpiga kisu kingine akatokea askari anaona kile kitendo ungekuwa wew askar ungeangalia mwenzio anavyofariki ba unauwezo wa kumuokoa.....Polisi wetu sijui mnaenda(GA) kusomea ujinga ktk mafunzo yenu?
Hivi inawezekana kweli kuwa mtu mmoja tena aliyedhoofu kiakili na kimwili mnashindwa kumshika na kumuweka chini ya ulinzi hadi mmpige risasi ya miguu na kichwa?
Tena askari zaidi ya 7 bunduki na mabomu yenu kweli?
Habari ilikuwa hivi, kijana aitwaye "Muungano Muyanji" wa Ikungi Singida ni mgonjwa wa akili kwa muda sasa. Jana asubuhi aliamka kichaa kikiwa kimepanda, alileta fujo nyumbani kwao na kumjeruhi mke wake na mama mwingine aitwaye mama Gire kwa kisu!
Baada ya tukio Hilo kutokea watu waliofika walimkabili na kumdhibiti kwa kumnyang'anya kisu alichosema nacho, na kumfunga kamba.
Polisi walipewa taarifa zote wakati tukio linafanyika ila walichelewa kufika, walipofika baaadaye tukioni walikuta mtuhumiwa (Kichaa) wamemfunga na kumdhibiti cha ajabu walipofika tu wakampiga risasi mbili za mguu kabla ya kumpiga nyingine ya kichwa na kufa hapo hapo! As if wanaua kenge fulani hivi!
Wananchi walichachamaa na kureact juu ya kitendo hicho! Polisi waliendelea kuwatishia wananchi wengine bunduki pia.
Walichofanya polisi waliuchukua mwili na kuupeka kituo cha afya Ikungi kabla ya wananchi kwenda kuuchukua mwili na kuuacha Barabara ya kituo cha polisi, hali hii mkuu wa wilaya aliingilia kati na mwili ulipelekwa hospitali ya mkoa Singida kuhifadhiwa.
Mpaka sasa hali sio nzuri, mwili umesuswa huko hospitali!
Waziri wa mapolisi Mwigulu Nchemba hawa vijana wako vipi?
Huku ndio kwenu kiongozi mtu hawezi kuuawa kishenzi namna hiyo as if mnaua paka mla nyama jikoni!
Chukua hatua!![]()
Mapolisi mmeshageuza maneno, hayo yalifanyikia chumbani??Hakuna polis ambae anaweza kumpiga risasi mtu yoyote ambae tayar yupo ktk hali ya utulivu....walikuwa askar wawili ambapo huyo mtu alikuwa ameshawajeruhi watu kwa kisu polis walipoenda kutaka kumzuia hakuskia akawa anamfata polis amchinje yule askar akapiga risasi juu ila hakusikia askar akarud nyuma akaanguka yule jamaa akampiga kis askar na alipotaka kumpiga kisu kingine akatokea askari anaona kile kitendo ungekuwa wew askar ungeangalia mwenzio anavyofariki ba unauwezo wa kumuokoa.....
Sasa si ulete mazingira ya kwako yenye uhakika? Bisha kwa hoja na sio kwa fikra tu....Hakuna polisi wa kumpiga risasi. Mtu ambaye amefungwa kamba, tena kichaa tena walipigiwa simu na kuambiwa taarifa za huyo kichaa.
Hii habari ni uzushi tu, anaweza kuwa ameuawa lakini si kwenye mazingira hayo uliyosema
Ninajaribu kutafakari na kuvuta hisia sipati picha najiuliza swali lifuatayo;Polisi wetu sijui mnaenda(GA) kusomea ujinga ktk mafunzo yenu?
Hivi inawezekana kweli kuwa mtu mmoja tena aliyedhoofu kiakili na kimwili mnashindwa kumshika na kumuweka chini ya ulinzi hadi mmpige risasi ya miguu na kichwa?
Tena askari zaidi ya 7 bunduki na mabomu yenu kweli?
Habari ilikuwa hivi, kijana aitwaye "Muungano Muyanji" wa Ikungi Singida ni mgonjwa wa akili kwa muda sasa. Jana asubuhi aliamka kichaa kikiwa kimepanda, alileta fujo nyumbani kwao na kumjeruhi mke wake na mama mwingine aitwaye mama Gire kwa kisu!
Baada ya tukio Hilo kutokea watu waliofika walimkabili na kumdhibiti kwa kumnyang'anya kisu alichosema nacho, na kumfunga kamba.
Polisi walipewa taarifa zote wakati tukio linafanyika ila walichelewa kufika, walipofika baaadaye tukioni walikuta mtuhumiwa (Kichaa) wamemfunga na kumdhibiti cha ajabu walipofika tu wakampiga risasi mbili za mguu kabla ya kumpiga nyingine ya kichwa na kufa hapo hapo! As if wanaua kenge fulani hivi!
Wananchi walichachamaa na kureact juu ya kitendo hicho! Polisi waliendelea kuwatishia wananchi wengine bunduki pia.
Walichofanya polisi waliuchukua mwili na kuupeka kituo cha afya Ikungi kabla ya wananchi kwenda kuuchukua mwili na kuuacha Barabara ya kituo cha polisi, hali hii mkuu wa wilaya aliingilia kati na mwili ulipelekwa hospitali ya mkoa Singida kuhifadhiwa.
Mpaka sasa hali sio nzuri, mwili umesuswa huko hospitali!
Waziri wa mapolisi Mwigulu Nchemba hawa vijana wako vipi?
Huku ndio kwenu kiongozi mtu hawezi kuuawa kishenzi namna hiyo as if mnaua paka mla nyama jikoni!
Chukua hatua!![]()
Pumbavu zako we kila kitu unaingiza siasa kenge weHuyo sio ndugu yake kabisa na Tundu LISU kweli? Hebu wekeni picha wanaweza kuwa wanafanana sana
Kwa mujibu wa hii taarifa hao polisi ndio wana matatizo ya akili(Vichaa) na sio marehemu.Polisi wetu sijui mnaenda(GA) kusomea ujinga ktk mafunzo yenu?
Hivi inawezekana kweli kuwa mtu mmoja tena aliyedhoofu kiakili na kimwili mnashindwa kumshika na kumuweka chini ya ulinzi hadi mmpige risasi ya miguu na kichwa?
Tena askari zaidi ya 7 bunduki na mabomu yenu kweli?
Habari ilikuwa hivi, kijana aitwaye "Muungano Muyanji" wa Ikungi Singida ni mgonjwa wa akili kwa muda sasa. Jana asubuhi aliamka kichaa kikiwa kimepanda, alileta fujo nyumbani kwao na kumjeruhi mke wake na mama mwingine aitwaye mama Gire kwa kisu!
Baada ya tukio Hilo kutokea watu waliofika walimkabili na kumdhibiti kwa kumnyang'anya kisu alichosema nacho, na kumfunga kamba.
Polisi walipewa taarifa zote wakati tukio linafanyika ila walichelewa kufika, walipofika baaadaye tukioni walikuta mtuhumiwa (Kichaa) wamemfunga na kumdhibiti cha ajabu walipofika tu wakampiga risasi mbili za mguu kabla ya kumpiga nyingine ya kichwa na kufa hapo hapo! As if wanaua kenge fulani hivi!
Wananchi walichachamaa na kureact juu ya kitendo hicho! Polisi waliendelea kuwatishia wananchi wengine bunduki pia.
Walichofanya polisi waliuchukua mwili na kuupeka kituo cha afya Ikungi kabla ya wananchi kwenda kuuchukua mwili na kuuacha Barabara ya kituo cha polisi, hali hii mkuu wa wilaya aliingilia kati na mwili ulipelekwa hospitali ya mkoa Singida kuhifadhiwa.
Mpaka sasa hali sio nzuri, mwili umesuswa huko hospitali!
Waziri wa mapolisi Mwigulu Nchemba hawa vijana wako vipi?
Huku ndio kwenu kiongozi mtu hawezi kuuawa kishenzi namna hiyo as if mnaua paka mla nyama jikoni!
Chukua hatua!
PENDEJO!Huyo sio ndugu yake kabisa na Tundu LISU kweli? Hebu wekeni picha wanaweza kuwa wanafanana sana
Rpc atasema kichaa alianza kuwashambulia Polisi na wao wakajibu mapigo kwa kumpiga risasi na alifariki wakati akipelekwa hospital.
Polisi wao wamesema ni sababu ipi iliyopelekea hayo yote?