Singida: Ajali ya Bus la Takbiir

Tahadhari ya video
Your browser is not able to display this video.
 
Poleni wahanga wa ajari hii. Inaonekana bus limehama kutoka kushoto kuja kulia upande wa lori wakapigana pass. Poleni sana, madereva chukueni tafadhari.
Seems jamaa alisinzia, kama Jana usiku ndio walifika Katoro na wakageuza Leo, muda huo anakua amechoka sana. Uzuri nimesafiri sana na hii Kampuni, huwa wanapiga tiktaka sana
 
Seems jamaa alisinzia, kama Jana usiku ndio walifika Katoro na wakageuza Leo, muda huo anakua amechoka sana. Uzuri nimesafiri sana na hii Kampuni, huwa wanapiga tiktaka sana
Takbir huwa madereva wanapita barabara za tanzania wakitumia sheri za Burundi
 
Hivi huwa wanatambua mfano mda mchache ujao anaweza kuwa marehemu?
Halafu mbona watu muwe mnawahi kuokoa majeruhi unakuta hapo wanajiwazia kashakufa kumbe moyo kwa mbali bado unapiga.wanamrekodi
Kikubwa ni kumuomba Mungu kila dakika
 
dah walivyochakazana wote walikuwa kwenye mwendo mkali sana...namaanisha wafuso filimbi ilikuwa inalia na wabasi pedal ilikuwa chini...

Tutaendelea sana kushuhudia vifo vya kijinga hivi miaka na miaka kama akili za watu wetu zitaendelea hivi zilivyo...
 
ukipanda bus ukaona dereva haelewi eleweki, paza sauti...ni bora mkachelewa kufika mkiwa wazima...mijitu unakuta bus linaendeshwa hovyo yenyewe imetulia tu kimya kama ng'ombe wanaopelekwa machinjioni, wengine mizambi kibao halafu mnakubali kuwaishwa mbinguni wakati hata hamjatubu bado...
 
Lile jamaa liliweka utaratibu wa kutumbua MaRPC na RTO mkoa ukiwa na ajali....basi ilikuwa starehe kidogo angalau majamaa yananyata kama kobe huko barabarani...

sasa fungulia mbwa ukiwakuta huko barabarani kama jet fighter vile...

Hakuna demokrasia kwa mpumbavu...
 
makafala ya damu hayo biashara ya mabasi ina siri nyingi sana.
 
tujitahidi haya mabombadia, madilimulaina, maeabasi nauli ziwe chini ili raia wawe wanakwea midege kwa wingi kutua pale kahama, Chato, Mwanza, Bukoba, Tabora nk ikiwezekana wale fasti jeti nao warudi na wale presisheni wote nauli iwe 50K popote pale ndani ya TZ ikonomi klasi kwa wazalendo......lile liesijiara na lenyewe limalizike haraka watu waanze kulikwea....Haya mabus watu watakuwa wanapanda kama utalii tu Dar - Mwanza inakuwa week..
 
makafala ya damu hayo biashara ya mabasi ina siri nyingi sana.

sasa unatoa kafara wenzio uwe tajiri, huo utajiri una maana gani sasa...kama wote tutaamua kutoa kafara binadamu wenyewe si wataisha sasa.... kwanini wasiwe wanatoa kafara ya mbuzi na ngo'mbe watu wanachoma nyama na bia....
 
Singida kuna nn mbona ajali kila mara

RPC na RTO tumbua kwa pua pafomansi..
traffick woote wa mkoa rudisha kuwa askari wa askari wa kawaida halafu hamisha woote peleka nanjilinji, sumbawanga, kilwa, mafia na wengine peleka pemba huko...traffic wote wenye vyeo mkoa huo shusha vyeo woote na hamisha vituo vya kazi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…