Tahadhari ya videoKuna Jamaa yngu yeye alikuwa kwenye Bus la Ally's amekuta ajali ya Bus la Takbiir linalofanya safari zake kati ya Geita na Dar es salaam likiwa limepata ajali Mkoani Singida, kona ya Hingu
Kama una ndugu au Jamaa ambaye alikuwa anasafiri leo naomba ufanye mawasiliano.
Bus lilikuwa linatoka Geita kuelekea jijini Dar es salaam. Taarifa Rasmi bila shaka itatolewa na mamlaka husika
Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi Majuruhi wote waweze kupona
View attachment 2007116View attachment 2007117View attachment 2007118View attachment 2007119
Barabara ya Dar kwenda Geita hakunaga serikali. IGP unastaafu lini?Tahadhari ya videoView attachment 2007278
Seems jamaa alisinzia, kama Jana usiku ndio walifika Katoro na wakageuza Leo, muda huo anakua amechoka sana. Uzuri nimesafiri sana na hii Kampuni, huwa wanapiga tiktaka sanaPoleni wahanga wa ajari hii. Inaonekana bus limehama kutoka kushoto kuja kulia upande wa lori wakapigana pass. Poleni sana, madereva chukueni tafadhari.
Takbir huwa madereva wanapita barabara za tanzania wakitumia sheri za BurundiSeems jamaa alisinzia, kama Jana usiku ndio walifika Katoro na wakageuza Leo, muda huo anakua amechoka sana. Uzuri nimesafiri sana na hii Kampuni, huwa wanapiga tiktaka sana
Ila mchana hawajawahi kuzidi 80km/hrTakbir huwa madereva wanapita barabara za tanzania wakitumia sheri za Burundi
Hivi huwa wanatambua mfano mda mchache ujao anaweza kuwa marehemu?Video hio hapo
Jata ajali ungeacha itangazwe na mamlaka husika, umeitangaza ya nini?Itatolewa na Mamlaka husika
Kwamba lwanda magere yupo kazini tena [emoji849][emoji849]Novemba-Desemba, "wanaume" wanatoa kafara ili mambo yaendelee kunyooka. Muarobaini ni KUOKOKA tu.
Kikubwa ni kumuomba Mungu kila dakikaHivi huwa wanatambua mfano mda mchache ujao anaweza kuwa marehemu?
Halafu mbona watu muwe mnawahi kuokoa majeruhi unakuta hapo wanajiwazia kashakufa kumbe moyo kwa mbali bado unapiga.wanamrekodi
makafala ya damu hayo biashara ya mabasi ina siri nyingi sana.
Singida kuna nn mbona ajali kila mara
Ni hadithi umehadithiwa au na ww upo kwenye hii biashara unazijua siri?makafala ya damu hayo biashara ya mabasi ina siri nyingi sana.