Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,157
- 14,119
Saana.Inashangaza sana
Jamani mdogo wangu anawekaga ndala mgongoni haianguki🤣🤣Ni wivu tu
Verse zake ni 🔥Me naona hua wanapiga kelele tu, hamna cha maana wanachoimba
Kuna siku nilijaribu kusikiliza niliishia kuumwa kichwa, wanaimba kwa fujo kama ugomvi kha😂Verse zake ni 🔥
Kwamba nawaonea wivu wacheza singeliNi wivu tu
Mie hua nacheka sanaKuna siku nilijaribu kusikiliza niliishia kuumwa kichwa, wanaimba kwa fujo kama ugomvi kha😂
Na waimbajiKwamba nawaonea wivu wacheza singeli
Haha watu na viuno vyaoJamani mdogo wangu anawekaga ndala mgongoni haianguki🤣🤣
Sometimes ni vizuri kujua dunia ingine inaendaje. Kipindi kile 'hainaga ushemeji inavuma' wengi walikuwa wanasikiliza singeli.....anyway JF hiiSingeli ni uchafu wa kusikilizwa na watu wenye uwezo mdogo sana wa akili
HahaKuna moja nilisikia 'uswazi kondom tunapewa bure maji tunauziwaa....'