Sinema za ikulu

Sinema za ikulu

Kodi zipo na inabidi zitumiwe vyema na wanaotafuna nchi maana nchi imejaa MAJUHA YASIYOHOJI CHOCHOTE, TENA YANA UOGA WA KUFA MTU. HIYO NDIYO TANZANIA-KICHWA CHA MWENDAWAZIMU.
 
Ahsante kwa busara za hali ya juu sana. Lakini kama wasemavyo waswahili ''ukishangaa ya Musa....''. Basi kuna idiot mmoja alikuwa anakejeli eti kwanini viongozi wa Chadema hawakuiga watembelee pale kama Kikwete alivyofanya.
watu wengine wanadhani tuna-support chadema kishabiki,
no, tunasupport chadema kwasababu ya uongozi makini na viongozi wenye talanta ya leadership sio kutafuta misifa na kuuza sura kwenye runinga..
 
Ahsante kwa busara za hali ya juu sana. Lakini kama wasemavyo waswahili ''ukishangaa ya Musa....''. Basi kuna idiot mmoja alikuwa anakejeli eti kwanini viongozi wa Chadema hawakuiga watembelee pale kama Kikwete alivyofanya.
unajua watu wengine wanadhani chadema ni kipenzi cha wengi kwasababu ya ushabiki tu, hawajui watu wanaona kusheheni kwa talanta ya leadership ndani ya chama..
 
Hapa juzi kati tumeambiwa slaa amejichotea mamilioni ya ruzuku ya chama ndio mana chama saivi kinayumba kiuchumi
 
Pole sana Baba Miraji, ndio Tanzania tulivyo tunakipaji cha Ukosoaji lakini kwenye mambo yetu hatupendi kukosolewa
 
Taratibu wakuu, haya majina mengine haya duh! Ilifikia pahala mchonga aligoma kupokea majina! Hili la ' mwizi wa ubwabwa' dah mnauwa wadau!
 
Vijana wa leo tumeacha kufikiria mambo ya maana tumejikita kwenye majungu
 
Habibu ina maana ujenzi unaanza hivi karibuni ili hali tunasubiria mikataba iwekwe hapa wananchi waijadili Tanzania soon hakutakalika
sasa subiri uone vituko vya zabuni za ununuzi vifaa na ujenzi wa bandari ya bagamoyo!
 
Acheni uhuni nyie fanyeni kazi acheni kulalamika apa

maoni yangu wewe usiyetaka wananchi waseme juu ya matumizi sahihi ya kodi zeo na dira ya uongozi wa nchi, wewe ndiye muhuni haswa maana watanzania wote wakiwa kama wewe, mahospitalini hata panadol hazitakuwepo. sababu watu watakuwa wanafanya ufisadi lakini ''akina nyinyi'' mtakuwa mnawashanglia sababu tu ya viposho vya semina zisizokuwa na tija..
 
Hapa juzi kati tumeambiwa slaa amejichotea mamilioni ya ruzuku ya chama ndio mana chama saivi kinayumba kiuchumi
dont tell me you believe that.!
kama yuko yeyote mwenye ushahidi wa slaa kuiba fedha za chama alete, and trust me wanachama watamwadhibu!
 
Mambo ya tafrija za kijinga yanafanyika Tanzania tu! Kule JAPAN, USA etc kumetokea majanga makubwa, watu kibao walishiriki katika uokoaji, lakini hakuona OBAMA anaandaa PILAU kwa wale walioshiriki kwenye uokozi! Ni ujinga tena uliopitiliza!
 
Vijana wa leo tumeacha kufikiria mambo ya maana tumejikita kwenye majungu
majungu???
yani kodi zetu watu wanatumbua kana kwamba ni fedha zao binafsi alafu tunawaambia hivyo wanavyo fanya si sawa wewe unasema majungu??
comeon brother.. hii sio kuhusu upinzani! no, ni uzalendo kwa nchi yetu, lazima tuwakosoe wenzetu tuliowapa dhamana ya kutuongoza pale wanapofanya sivyo, la sivyo hii itakuwa ni nchi ya ajabu sana duniani.!
 
Ahsante kwa busara za hali ya juu sana. Lakini kama wasemavyo waswahili ''ukishangaa ya Musa....''. Basi kuna idiot mmoja alikuwa anakejeli eti kwanini viongozi wa Chadema hawakuiga watembelee pale kama Kikwete alivyofanya.

eti James Mbatia alijizolea umaarufu mkubwa sana kwa kuwepo pale,...hawa watu wananichosha kweli
 
Habibu ina maana ujenzi unaanza hivi karibuni ili hali tunasubiria mikataba iwekwe hapa wananchi waijadili Tanzania soon hakutakalika
uchunguzi wa ndani sana uuliofanyika(na unaendelea kufanyika) unaonesha ujenzi huu wa bandari wizi wake na ufisadi wake, utakuwa zaidi ya ule wa richmond!
mkuuu, unajua siku hizi hawa wajamaa wanaotafuna nchi baada ya kuumbuliwa sana siku hizi wamekuwa smart kidogo.
so, ni kweli tutaonyeshwa mikataba, lakini kuna 'angles' ambazo wanataka kutuzunguka (siwezi kuzisema kwa sasa, bado nataka kujiridhisha na usahihi wa taarifa nilizopata)
ila kwa ufupi tu ni kwamba; kuna alot of lobbying zinafanyika chini ya kapeti na kuna makampuni yanaandaliwa, na yapo makampuni yanayoanzishwa sasa kwa kulenga kupata mashavu flani flani katika ujenzi wa bandari ile..
 
Kwa kweli nilimshangaa sana Mbatia kwa kuwa alikuwa pale mara 3 mfululizo nikawa ninajiuliza ni kampeni au nini sasa? Mbona anachelewesha watu kufanya kazi ya kuokoa? Siku hizi Mbatia kama kazinduka kutoka kwenye usingizi fulani hivi!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom