Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 664
hahahaha....naona foot soldiers wa hii JF interahamwe wanaongezeka. karibu sana. alianza na akina rushasha lakini sijui jamaa alitokomea wapi. unajua uongo una short life span. walianza na "facts" nyingi lakini kadiri siku zinavyoendelea wanaishiwa.
Hakuna Mtanzania hususan wanaoishi mpakani mwa Rwanda na Burundi ambaye hajui conspiracy ya watutsi na Kagame wao. Mara nyingi watutsi hujificha nyuma ya kichaka na kutanguliza chambo kama niyombere (wala siyo niyombare) na wengine wahutu wasaliti wa wenzao. Mauji aliyoyfanya kagame pale DRC ni mabaya sana kuliko yale ya interahamwe hapo kwako Rwanda. Mauaji yaliyofanywa na watutsi Burundi kwa wahutu ni mabaya na hayaelezeki. Kinachoendelea Burundi ni 'vicious cycle' ya mauji ya watutsi na hulka ya kujiona wao ni watawala (siyo abaja) na kutaka kutawala daima. Namkubali Jmail kwamba kinachofanyika Burundi kwa sasa ni kutaka ku-provake wahutu ili nao waanze kulipa kisasi kasha kagame na inyenzi/inkhotanyi zake waingilie kati eti kutetea watutsi kasha wasimike utawala wa kitutsi pale Burundi
Kumbuka tunajua njama za watusi kutaka kuanzisha Tutsi empire katika eneo la maziwa makuu. Mbona hata hapa TZ wapo wanawaunga mkono watutsi wenzao wa Rwand na Burundi?? Kwa taarifa haitakuja ifanikiwe mipango kama hiyo