Mtanzania Mkenya
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 238
- 386
Kuhusu kufunikwa siwazi/
kuhusu Janjaro na Young Dee, mimi ndio mkubwa wao wa kazi/
Nasema mimi Young mwenye Killer zake/ Sio Young Thug wala Young mwenye alosto na dona zake/
Young genius Msodoki flani mwenye vyeo vyake/
A.K.A ndimu yaani uchachu wangu ndo utamu wake/ Mwakee/
Iko wazi, naua vichwa panzi/
Wakifa tunazika ila hatuziki mguu ukifa ganzi/
Na dawa ikiingia vizuri, basi naongeza dozi/ Sijali cha pozi zuri, wala cha chafu pozi/
Sasa niogope kipi mbele ya watumishi hewa/
Mi huwaga sitishiki hata kama nlichonyimwa we umepewa/
Sina mzuka, madem mastaa wanaong'arang'ara/
Sio G nako tu, hata mi pia nawarawara/
MI HUWAGA SINA SWAGGA KABISA
Namuelewa sana Msodoki. One of my favourite rappers from TZ.
kuhusu Janjaro na Young Dee, mimi ndio mkubwa wao wa kazi/
Nasema mimi Young mwenye Killer zake/ Sio Young Thug wala Young mwenye alosto na dona zake/
Young genius Msodoki flani mwenye vyeo vyake/
A.K.A ndimu yaani uchachu wangu ndo utamu wake/ Mwakee/
Iko wazi, naua vichwa panzi/
Wakifa tunazika ila hatuziki mguu ukifa ganzi/
Na dawa ikiingia vizuri, basi naongeza dozi/ Sijali cha pozi zuri, wala cha chafu pozi/
Sasa niogope kipi mbele ya watumishi hewa/
Mi huwaga sitishiki hata kama nlichonyimwa we umepewa/
Sina mzuka, madem mastaa wanaong'arang'ara/
Sio G nako tu, hata mi pia nawarawara/
MI HUWAGA SINA SWAGGA KABISA
Namuelewa sana Msodoki. One of my favourite rappers from TZ.