Kurudi kwa mona hatukatai ila awe anachanganya ladha za beat manake beat za mona zinafanana kiasi flani...Ni wimbo mzuri ila bado haujafikia ubora wa Young Killer yule wa Dear Game,Jana na Leo au August 13.
Kikubwa nilichokiona humu Ni kaamua kuja name style ya Ney wa Mitego kaamua kuwaponda watu Kwa kuwataja majina labda anatafuta Attention ya watu.
Wimbo wa kawaida afate ushauri wa wanaomkubali arudi Kwa Mona Gangster kuanza upya si utumwa.
Ila ukweli hii nyimb ní ya kawaidà nyimbó yake ya mwisho nzur ni ile aliyemshirikishà maua sama tumsaport tu ila ajipime dear gambe,superstar mpaka hapa vpRapper Young Killer anadai kuwa wimbo wake
mpya, Sinaga Swaga umekuja kuirudisha ‘real hip
hop’ kwenye mstari. Amedai kuwa kipindi cha hivi karibuni rappers
wengi wa Bongo wamekuwa wakilegeza ngoma
zao ili kuvutia biashara, lakini yeye ameamua
kukaza.
“Dhumuni la kufanya hii ngoma, nimetaka
kuwaonesha kwamba hip hop yetu bado ipo na
ina nguvu kubwa na ina uwezo wa kufika mbali
zaidi ya hapo ambapo ipo endapo tutaendelea
kuisupport na kuipa nafasi,” rapper huyo
amemuambia mtangazaji wa Pride FM, Eddy Msafi.
Rapper huyo amesisitiza kuwa masikio ya
mashabiki wa muziki Tanzania yanahitaji ngoma za
aina ya Sinaga Swaga na si kupewa nyimbo za
kuimba na kuchezeka tu.
Phone, Lini na Kokoro kwangu bado naupendaWewe wimbo unaouskiza mara nyinginyingi kwa kipindi hiki ni upi???
palla kaitendea haki hiyo biti in short hajawahi niangusha toka kwenye ngoma ya tunaizindua mitaaJapokuwa kwa mbaali nimeiona flow ya Songa, lakini kwakweli hii ladha ilikuwa inapotea mpaka mashabiki tukapatwa na arosto...