sina vigezo....

sina vigezo....

Mhandisi Mzalendo

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2010
Posts
7,881
Reaction score
14,514
Wadada wa humu mbona mna masharti sana yani mna masharti bwena katika wooote sijawahi ona hata mmoja anayetutaka sisi khaaaa....
 
Sisi (Nyie) kina nani ?
Sisi ambao hatuna elimu wala pesa kama mimi au nyie ni kina nani ?
 
Sisi (Nyie) kina nani ?
Sisi ambao hatuna elimu wala pesa kama mimi au nyie ni kina nani ?

tunaoenda kinyume na moja ya hv vigezo...
1. Mrefu
2. Umri 34 -40
3. Wenye kipato kikubwa
4. Dini ( si mkristu wala muislamu)
5. Makabila (me masai)
6. Tunaishi pembezoni mwa nchi huku tanganyika...
7. Watu wa gambe....
 
tunaoenda kinyume na moja ya hv vigezo...
1. Mrefu
2. Umri 34 -40
3. Wenye kipato kikubwa
4. Dini ( si mkristu wala muislamu)
5. Makabila (me masai)
6. Tunaishi pembezoni mwa nchi huku tanganyika...
7. Watu wa gambe....

Weka tangazo ukionyesha vigezo hivyo nina uhakika utapata (there is something for everyone).., ingawa kina sisi ambao hatuna elimu wala fedha kupata humu mtandaoni ni shughuli
 
Probability ni 0.1

Path to Zen..., From the Series Life (2007)
We are none of us alone
even as we exhale it is inhaled by others
the light that shines upon me shines upon my neighbor as well
in this way everything is connected
everything is connected to everything else
In this way I am connected to my friend even as I am connected to my enemy
In this way there is no difference between me and my friend
In this way there is no difference between me and my enemy
We are none of us alone
 
sa mwanaume ukishakuwa na kipato kikuwa c kila ktu kngine kinasameheka*wink*
 
Back
Top Bottom