Unaujua ukubwa wa sperm moja inayotungisha mimba?Nilifanya mapenzi na mwanamke,ila kwenye process sijui kilichotoka ni sperm kidogo au semen. Wakati huo nikiwa chini mwanamke juu lakn baadaye sana nika P. Je hata kama zilitoka kidogo ni kwa kiwango gani naweza kusababisha mimba nikiwa chini(japo sina uhakika ni soerm au semen).
Waacheni.Tutawakomaza hivyohivyo.Tukiwaacha peke yao ndiyo watapotea mazima.Nashauri jf kujiunga iwe ni kwa birth certificate
Hawa wavulana wangemaliza kusoma kwanza
Dogo umeshalikoroga tayari. Hizo sperm, sijui semen/soerm huwa haziangalii mkao uliokaa. Zikitoka tu zinakimbia 🏃🏃🏃kama mwizi anayekimbizwa mtaani, ili auwawe.Nilifanya mapenzi na mwanamke,ila kwenye process sijui kilichotoka ni sperm kidogo au semen. Wakati huo nikiwa chini mwanamke juu lakn baadaye sana nika P. Je hata kama zilitoka kidogo ni kwa kiwango gani naweza kusababisha mimba nikiwa chini(japo sina uhakika ni soerm au semen).
Haujakosea mkuu, auntie tutaleta pampers asijaliBei ya pampas moja 500 bunda dogo lile 4000 Tsh bunda kubwa lile nahs now linafika 15000Tsh sjui kitu kama hicho
Unasema ww ndo uliokua chini ?Nilifanya mapenzi na mwanamke,ila kwenye process sijui kilichotoka ni sperm kidogo au semen. Wakati huo nikiwa chini mwanamke juu lakn baadaye sana nika P. Je hata kama zilitoka kidogo ni kwa kiwango gani naweza kusababisha mimba nikiwa chini(japo sina uhakika ni soerm au semen).
Ahahhaahaasemen ina sperms, haya rudisha simu kwa wadeni rudi bwenini