Sina raha na mpenzi wangu!

Sina raha na mpenzi wangu!

Hi wana JF bila shaka mko poa na wazima wa afya njema!!!
Naombeni mawazo yenu!
Mke wangu hazingatii muda wa kurudi nyumbani nifanyeje?????

Dah hata hili nalo mpaka wa jf tukusaidie aiseeeeee u aint be serious...........
 
huyo dawa ndogo funga mlango akalale alikotoka
 
mkanyagishe kwenye jiko la mkaa walau akumbuke kurudi nyumbani.

Kwa maana nyingine, wewe ndio mke wake.
 
Simple!
Kama umeshaongea akaziba masikio anza kuongea kwa matendo,
Leo akirudi saa 4,wewe kesho unarudi saa 5,akirudi saa 6 wewe kesho saa8!
Ataelewa tu!!!!
Wengine wanaelewaga kwa practical tu blah blah hazipenyi kwa brain zao!!!

Inaweza ikasaidia ngoja nitajaribu.
 
Hazingatii kivip labda? Foleni njiani au anachelewa muda mrefu zaid?
Kama anafanya hivyo ni dharau kubwa sana kama wewe ndio m/me, mrudishe kwao kwanza akajifunze


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app

Anachelewa kurudi Yuan mimi natangulia kufika nyumbani
 
Hi wana JF bila shaka mko poa na wazima wa afya njema!!!
Naombeni mawazo yenu!
Mke wangu hazingatii muda wa kurudi nyumbani nifanyeje?????

Mna watoto wangapi?na chakula nani anaandaa?
jibu hayo maswali tukupe mbinu sisi wataalam.
 
yaaani wewe ndo unawahi kuliko wife... tafuta ata kijiwe cha karibu meku uwe unateremsha serengeti baridi mpaka arudi usije kuonekana baba wa nyumbani

Junior;
Kwani kuwahi ni nini? Mbona tupo tunaochelewa kila siku tena hatuulizwi tulikuwa wapi?? Nasema, ukianza kumchunguza akichelewa mda si mrefu utamnyima kazi halafu baadaye utampiga marufuku kwenda sokoni na mwisho utamwondolea marafiki.
Utamuua bure na mawazo. Mwache ajiachie na marafikize, usiogope mkeo ni mkeo tu. Kuchelewa kurudi kama alikuwa anachart na marafiki si mbaya. Mshauri kuwa awakaribishe pia kwake si kila siku huko huko
 
Mwanaume katka nyumba ndo wa mwisho kurudi sa kama yy anakuwa wa mwisho awe anatoa matumizi yote sasa kwan kavaa koti la uanaume
 
Back
Top Bottom