"Mdogo wangu kupenda ni bure ila ukitaka uuziwe utauziwa tu, jaribu kusoma kwanza huyo binti hamkuzaliwa wapenzi na siku zote Mkubwa hakukosea kukwambia uachane nae lakini una nafasi nzuri nyingine "Habari wakuu , naombeni ushari juu ya hili suala kwasababu naona naelekea kupotea toka nimpate huyu msichana performance yangu ya chuoni imepungua mno, pili tumekuwa tukigombana kila siku , tatu nyumbani walishanikaza nisiwe nae niachane nae maramoja ila ikitokea tunaachana ucku basi tunapatana asubuhi hakuna hata mmoja anayekubari kumuacha mwenzie japo ugomvi unakuwa mkubwa mno nashindwa kuelewa hii misukosuko inayonipata tangu niwe na huyu msichana naombeni ushari ndugu zangu yaan hapa kesho nina pepa mbili lakini naenda kuzisitisha kwa kukosa Moody ya kusoma nahisi ntafeli tena naombeni nisaidieni nitoke kwenye kifungo hichi jamani ,
U will die first and this man will come to burry youkufa tu Watanzania tuko mill 48 so just go.
swissme
Tatizo tukiachana ananitumia text za kutishia kujiua kiukweli huwa naogopa sana namuomba yaishe tunarudiana tena upya
Tatizo tukiachana ananitumia text za kutishia kujiua kiukweli huwa naogopa sana namuomba yaishe tunarudiana tena upya
Una mastars ya nini?Mkuu hiyo hali mimi ilinipata kipindi nafanya masters shule ilikuwa ngumu halafu binti anataka kukaba mpaka penalt aiseeee niliambiwa chagua kudhalilika shule au kuendelea na msichana wako nikaona kabisa shule ndio kila kitu now nakula kuku wanakuja kama kumbi kumbi