HA HA HA
Sukari ya viwandani ilikuwa haupatikani kabisa hivyo iliathiri sana uzalishaji wa soda na juisi.Toka mwaka uanze soda zimeadimika...
Sijui ndiyo wanachambua ni chupa zipi zilizotumika...
Yaani hizo soda za chupa sinywi tena
Duuh machupa hayaòshwi vizuri haya, pole kama nakuona ulivyotamani kuitapika hiyo soda, wawe makini na afya za watuNdio soda pekee OG. Genuine, hizi za plastic tunakunywa feki sana.
Ila kuna siku nimepiga maakuli fresh, kufika mwisho naona kitu cheupe kwenye chupa ya Pepsi, nikajua barafu. Ile namalizia kumbe ni bazoka ( Big G) iliyokua kwenye soda na imetafunwa.
Ilinichefua sana.
Duuh machupa hayaòshwi vizuri haya, pole kama nakuona ulivyotamani kuitapika hiyo soda, wawe makini na afya za watu
Hivi hadi hizi za plastic kuna fake? Jamani watatuua mimi ndiyo nilikua naziamini etiNilishapoa ila nafsi ilitumbukia nyongo hatari.
Sijui kwanini naona kama watu wanatengeneza sana soda feki hasa hizi za chupa za plastic.
Hivi hadi hizi za plastic kuna fake? Jamani watatuua mimi ndiyo nilikua naziamini eti
Usifanye hivyoYaani hizo soda za chupa sinywi tena
uwe unamiminia kwenye glassYaani hizo soda za chupa sinywi tena
Wee chumvi ipo hadi ndani ile sitaki mimiuwe unamiminia kwenye glass
Watatuua jamani hawa 🤔🤔Hua nikiangalia zile label zilivyobandikwa na ladha ilivyo...naona kabisa hapa kitu kizito kimenishukia. Imagine kama wanatengeneza K Vant, itakuja kuwa hizi zenye maji ya rangi?
Khaa jamaniNdio soda pekee OG. Genuine, hizi za plastic tunakunywa feki sana.
Ila kuna siku nimepiga maakuli fresh, kufika mwisho naona kitu cheupe kwenye chupa ya Pepsi, nikajua barafu. Ile namalizia kumbe ni bazoka ( Big G) iliyokua kwenye soda na imetafunwa.
Ilinichefua sana.
😂😂😂😂Wee chumvi ipo hadi ndani ile sitaki mimi