Kwani ukisema..."adimu".... utachekwa?Sukari ya viwandani ilikuwa haupatikani kabisa hivyo iliathiri sana uzalishaji wa soda na juisi.
Yani soda ilikuwa hadimu Christmas yote mpaka mwaka mpya
😭😭😭🤣😭🤣🤣🤣 Kwa ile video aiseee...Bora hizo mirinda angalau, hizo pepsi hapana aisee dah!!!
Sawa teacherKwani ukisema..."adimu".... utachekwa?
Hii picha huwa nacheka mpaka nataka kuzimia. "yesteday, it took a horse and two men to start the car". Hapo gari imekataa kuwaka na wanajribu ku-refer kilichotokea jana yake.
Mimi kwenye Sprite nilikuta Wembe!Ndio soda pekee OG. Genuine, hizi za plastic tunakunywa feki sana.
Ila kuna siku nimepiga maakuli fresh, kufika mwisho naona kitu cheupe kwenye chupa ya Pepsi, nikajua barafu. Ile namalizia kumbe ni bazoka ( Big G) iliyokua kwenye soda na imetafunwa.
Ilinichefua sana.
😭😭😭🤣😭🤣🤣🤣 Kwa ile video aiseee...
Mimi kwenye Sprite nilikuta Wembe!
Mmmhh! Kwanini?Yaani hizo soda za chupa sinywi tena
Mi kama ndio ningekuwa mmiliki wa hiyo kampuni ningemfungulia kesi huyo binti aliyekidhalilisha kinywaji cha kampuni yanguYaani hizo soda za chupa sinywi tena
Yaani hizo chupa ni madushe ya watu mkuu, hujaskia kwani?Mmmhh! Kwanini?
Mbona mnazinyonya mb'o nyingi tu katika maisha yenu na hamjawahi kuzidisha sasa, kama ni mwezio kajiingizia mbona wanaume tunaona poa tuYaani hizo chupa ni madushe ya watu mkuu, hujaskia kwani?
Utakuwa huitendei haki soda iliyo ndani ya chupa mkuu🤣🤣🤣Yaani hizo soda za chupa sinywi tena
Kwa sisi ambao tunapenda "kwenda uvinza", yaani ni kama vile tu chupa wameziongea ladha, inakuwa burudani sana.Yaani hizo soda za chupa sinywi tena
Yaani hizo soda za chupa sinywi tena
We mdada kumbe ni kajanja kajanja sana.., nakubali!Yaani hizo chupa ni madushe ya watu mkuu, hujaskia kwani?
Mkuu 😂😂 husikii kinyaa?Kwa sisi ambao tunapenda "kwenda uvinza", yaani ni kama vile tu chupa wameziongea ladha, inakuwa burudani sana.
Why mkuu, mimi si mjanja sana😀We mdada kumbe ni kajanja kajanja sana.., nakubali!
Kuna wapuuzi wachache wamesababisha watu tuache kutumia, unatumiaje chupa kama dudu bana😂🤔Utakuwa huitendei haki soda iliyo ndani ya chupa mkuu🤣🤣🤣
Katika vitu ambavyo namshukuru Mungu ni kinyaa, sina hata kidogo.Mkuu 😂😂 husikii kinyaa?
Duuh mkuu wewe utapata magonjwa ya ajabu , why usisubiri tu huyo kuku aishe?Katika vitu ambavyo namshukuru Mungu ni kinyaa, sina hata kidogo.
Mimi hata ukiwa "umechinja kuku", gemu inachezwa tu bila shida yeyote.