Sina neno

Sina neno

Mashakamashaka hata ukikuta ndizi mbivu kwa frij ya mrembo ichunguze vizuri usiifakamie
 
Hii picha huwa nacheka mpaka nataka kuzimia. "yesteday, it took a horse and two men to start the car". Hapo gari imekataa kuwaka na wanajribu ku-refer kilichotokea jana yake.
Bushman anakimbia akiwa amebeba bunduki ya mtu, mwenye bunduki naye anamkimbia bushmen akidhani kuwa bushman anataka kumpiga risasi, huku bushman akiwa hajui kabisa kuwa bunduki ni kitu gani
Picha inachekesha sana hii
Hiyo chupa hatimaye alifanikiwa akaenda akaitupa mwisho wa dunia
 
Ndio soda pekee OG. Genuine, hizi za plastic tunakunywa feki sana.

Ila kuna siku nimepiga maakuli fresh, kufika mwisho naona kitu cheupe kwenye chupa ya Pepsi, nikajua barafu. Ile namalizia kumbe ni bazoka ( Big G) iliyokua kwenye soda na imetafunwa.
Ilinichefua sana.
Mimi kwenye Sprite nilikuta Wembe!
 
Back
Top Bottom