Sina neno

Sina neno

Duuh mkuu wewe utapata magonjwa ya ajabu , why usisubiri tu huyo kuku aishe?
Wataalamu wengi wa afya wanadai kwamba ni salama kabisa..

Tena wanarecommend, kwa sababu muda huo mnakuwa mmerelax, hamuwazi tena mimba zisizokusudiwa.
 
Duuh mkuu wewe utapata magonjwa ya ajabu , why usisubiri tu huyo kuku aishe?
Wataalamu wengi wa afya wanadai kwamba ni salama kabisa..

Tena wanarecommend, kwa sababu muda huo mnakuwa mmerelax, hamuwazi tena mimba zisizokusudiwa.
Na kwa kuongezea, i have been doing this for the past 20 years, labda hayo magonjwa ya ajabu yanikute uzeeni.
 
Kuna wapuuzi wachache wamesababisha watu tuache kutumia, unatumiaje chupa kama dudu bana😂🤔
Kama nitaendelea kuwa na free time hivi, nitaanza kukufollow, una tukomenti tutamu sana twa kijanja...

Sasa mtu akiangalia na ka avatar kako kalivyo kazuri, basi anakuwa ana assume kwamba huyo hapo kwenye avatar ndio anakomenti, hii inakuwa na magnetic effect, tuliosomea mambo ya Oscillation tunasema, It has magnetic explosion, due to polarization horrizontal!
 
Kama nitaendelea kuwa na free time hivi, nitaanza kukufollow, una tukomenti tutamu sana twa kijanja...

Sasa mtu akiangalia na ka avatar kako kalivyo kazuri, basi anakuwa ana assume kwamba huyo hapo kwenye avatar ndio anakomenti, hii inakuwa na magnetic effect, tuliosomea mambo ya Oscillation tunasema, It has magnetic explosion, due to polarization horrizontal!
😂😂 umenichekesha mkuu, kumbe comments hizi hizi za kishamba wewe unaziona za kijanja😂 ahsante lakini.
 
Duuh machupa hayaòshwi vizuri haya, pole kama nakuona ulivyotamani kuitapika hiyo soda, wawe makini na afya za watu
Juzi kati nlikua nyumbani nkaagiza fanta pineapple ile nimefungua madogo wakawa wanalilia nkachukua vikombe nigawe ile naangalia ilobaki kwenye chupa nakuta ndani kizibo kilichong'atwa.
 
Juzi kati nlikua nyumbani nkaagiza fanta pineapple ile nimefungua madogo wakawa wanalilia nkachukua vikombe nigawe ile naangalia ilobaki kwenye chupa nakuta ndani kizibo kilichong'atwa.
Aisee hawa watu hawapo makini kabisa, kuna mkuu alisema alikuta bigijii ndani. Afya za watu ni muhimu wazingatie hilo
 
Hutakunywa pepsi tena mkuu....

Kwa kawaida huwa napendelea natural juice kuliko soda kiongozi. Hivyo nasisitiza tena naomba unikumbuke kwenye utukufu wako na unifanyie uungwana mkuu...!

Natanguliza shukran zangu za dhati kwako na ubarikiwe sana kiongozi.

Ahsante sana.
 
Back
Top Bottom