Sina namna nakuja Dar

Sina namna nakuja Dar

Naamini wengi wenu ni wazima, wenye changamoto kama mimi poleni, tuombeane kheri.

Wakuu nina mpango wa kuja mjini Dar kutafuta pesa.
Mimi nipo mkoa X kwa sasa ila hali yangu kiuchumi ni tia maji tia maji. Kwa umri huu wa ukijana wa makamo kuendelea kua tegemezi na kunufaisha wengine sasa baasi.

Kwenu nyie mliopo Dar, nakuja Dar.
Maisha popote njoo ujaribu bahati yako
 
Waswahili tuna msemo wetu kuwa "Mtembea bure si sawa na Mkaa bure"

Kila la kheri Mkuu, Mungu abariki kazi za mikono yako huko Mjini 🙏
 
Naamini wengi wenu ni wazima, wenye changamoto kama mimi poleni, tuombeane kheri.

Wakuu nina mpango wa kuja mjini Dar kutafuta pesa.
Mimi nipo mkoa X kwa sasa ila hali yangu kiuchumi ni tia maji tia maji. Kwa umri huu wa ukijana wa makamo kuendelea kua tegemezi na kunufaisha wengine sasa baasi.

Kwenu nyie mliopo Dar, nakuja Dar.
Lakini Huwa mnaazisha thread za kuwaponda watu wa Dar?
 
Njoo DSM mzee, mimi nilisema sirudi nilipotoka mpaka nitoboe hapa DSM na nimekaza kweli, huku fursa kibao ni wewe tu na ujanja wako. Na nikitoka hapa nachumpa abroad, yani siangalii nyuma kudadeki, mliopo Canada mjiandae kunipokea.
 
Naamini wengi wenu ni wazima, wenye changamoto kama mimi poleni, tuombeane kheri.

Wakuu nina mpango wa kuja mjini Dar kutafuta pesa.
Mimi nipo mkoa X kwa sasa ila hali yangu kiuchumi ni tia maji tia maji. Kwa umri huu wa ukijana wa makamo kuendelea kua tegemezi na kunufaisha wengine sasa baasi.

Kwenu nyie mliopo Dar, nakuja Dar.
Wasikutishe tamaa karibu Dar, huku unaweza kuishi hata kwa upambe siku hizi wanaitwa chawa.
 

Attachments

  • IMG_20220914_173301.jpg
    IMG_20220914_173301.jpg
    44.6 KB · Views: 4
Naamini wengi wenu ni wazima, wenye changamoto kama mimi poleni, tuombeane kheri.

Wakuu nina mpango wa kuja mjini Dar kutafuta pesa.
Mimi nipo mkoa X kwa sasa ila hali yangu kiuchumi ni tia maji tia maji. Kwa umri huu wa ukijana wa makamo kuendelea kua tegemezi na kunufaisha wengine sasa baasi.

Kwenu nyie mliopo Dar, nakuja Dar.
Mm nitakupokea,uwe unalala ila kula kwako
 
Back
Top Bottom