Sina hisia na mwandani wangu

Sina hisia na mwandani wangu

Habari ya wakati huu wana Jamie forum

Mm ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja. Ndo yangu imefikisha miaka miwili siku so nyingi zilizopita. Nimejikuta tu simpendi mke wangu kutokana na vijitabia fulani hv ambavyo vimesababisha kupunguza mapenzi kwake, na kusababisha kutokuwa na intimacy nae. Lkn sio hivyo tu, hanivutii kabisa kwa sasa kutokana na mtiririko wa vituko vilivyozidi vya ndani ya ndoa. Vituko hivyo ni km ifuatavyo(kwa ufupi);

1. Ni mwanamke mchafu,na asiependa kurekebishwa,yaaani ukimwambia kitu cha kumrekebisha anaona km unamuonea.

2. Ni mvivu wa fikra za maendeleo, ukimshauri kuhusu maendeleo analeta vitu vingine kabisa.

3. Yuko na matumizi makubwa yasiyo na maana , kiasi ambacho unaifkiria mara 2 , kwa nn umeoa.

4. Cha ajabu kitandani si riziki nae kabisa, she z too heavy to handle.

5. N.a. mengine mengineyo, kiasi ambacho sitamani hata kurudi home mapema kwa kuwa ni vitu vingi vinanikera kutoka kwake.


Naombeni ushauri juu ya hili. I don't enjoy life kabisa kwa kuwa nae huyu kiumbe.

NB: km hujawah kuishi na mtu au hujaoa/ kuolewa ni bora upite tu, usicomment.


Nakaribisha ushauri...ni serious case


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana kaka, but try to learn to love.
Jiulize ulimpendea nini before hujamuoa.
Hiyo huwa inatokea tu, mara nyingi kama ukiisha anza kuwa mwanamke wa nje ya ndoa.
Ndo maana Mungu anakataza uasherati na uzinzi, kwa sababu ukiishazionja mbunye za wanawake wengine unaweza kumuathiri huyu uliyenaye ambaye naye anakutegemea wewe kimapenzi.
Just stay calm for a, while. Usim harass mkeo endelea kujifunza kumpenda na madhaifu yake, baada ya muda kupita utashangaa unzaanza kumuona mzuri tena.
Ni kipindi kigumu sana cha wanandoa hiki cha miaka miwili, ndo hapa ndoa huanzia matatizo, lakini ukipavuka hapa bila mikwaruzo hamtaachana tena.
Labda nikushauri kitu kingine japo sio kizuri.
Kama una demu nje, endelea kula kimya kimya mkeo asijue hadi hilo tatizo lako lipite.
Njoo PM nikushauri zaidi, nimechoka kuandika.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari ya wakati huu wana Jamie forum

Mm ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja. Ndo yangu imefikisha miaka miwili siku so nyingi zilizopita. Nimejikuta tu simpendi mke wangu kutokana na vijitabia fulani hv ambavyo vimesababisha kupunguza mapenzi kwake, na kusababisha kutokuwa na intimacy nae. Lkn sio hivyo tu, hanivutii kabisa kwa sasa kutokana na mtiririko wa vituko vilivyozidi vya ndani ya ndoa. Vituko hivyo ni km ifuatavyo(kwa ufupi);

1. Ni mwanamke mchafu,na asiependa kurekebishwa,yaaani ukimwambia kitu cha kumrekebisha anaona km unamuonea.

2. Ni mvivu wa fikra za maendeleo, ukimshauri kuhusu maendeleo analeta vitu vingine kabisa.

3. Yuko na matumizi makubwa yasiyo na maana , kiasi ambacho unaifkiria mara 2 , kwa nn umeoa.

4. Cha ajabu kitandani si riziki nae kabisa, she z too heavy to handle.

5. N.a. mengine mengineyo, kiasi ambacho sitamani hata kurudi home mapema kwa kuwa ni vitu vingi vinanikera kutoka kwake.


Naombeni ushauri juu ya hili. I don't enjoy life kabisa kwa kuwa nae huyu kiumbe.

NB: km hujawah kuishi na mtu au hujaoa/ kuolewa ni bora upite tu, usicomment.


Nakaribisha ushauri...ni serious case


Sent using Jamii Forums mobile app
duuuh pole sana kaka mkubwa jaribu kumuelewesha mambo uanayataka ayafanye ili ajirekebishe coz hutavumilia ipo siku utaangalia nje ya mke wako na hiyo ni dhambi kama mtashindwana ni bora mungalie ustaarabu mwingine maan utaishi maisha yasiyo na furaha kwa kipindi kirefu kama uko jela....halafu pia kama inashindikana inabidi unyooshe mikono maana maisha siku zote huwa hayalazimishwi
 
Habari ya wakati huu wana Jamie forum

Mm ni kijana mwenye mke na mtoto mmoja. Ndo yangu imefikisha miaka miwili siku so nyingi zilizopita. Nimejikuta tu simpendi mke wangu kutokana na vijitabia fulani hv ambavyo vimesababisha kupunguza mapenzi kwake, na kusababisha kutokuwa na intimacy nae. Lkn sio hivyo tu, hanivutii kabisa kwa sasa kutokana na mtiririko wa vituko vilivyozidi vya ndani ya ndoa. Vituko hivyo ni km ifuatavyo(kwa ufupi);

1. Ni mwanamke mchafu,na asiependa kurekebishwa,yaaani ukimwambia kitu cha kumrekebisha anaona km unamuonea.

2. Ni mvivu wa fikra za maendeleo, ukimshauri kuhusu maendeleo analeta vitu vingine kabisa.

3. Yuko na matumizi makubwa yasiyo na maana , kiasi ambacho unaifkiria mara 2 , kwa nn umeoa.

4. Cha ajabu kitandani si riziki nae kabisa, she z too heavy to handle.

5. N.a. mengine mengineyo, kiasi ambacho sitamani hata kurudi home mapema kwa kuwa ni vitu vingi vinanikera kutoka kwake.


Naombeni ushauri juu ya hili. I don't enjoy life kabisa kwa kuwa nae huyu kiumbe.

NB: km hujawah kuishi na mtu au hujaoa/ kuolewa ni bora upite tu, usicomment.


Nakaribisha ushauri...ni serious case


Sent using Jamii Forums mobile app

mkuu ivi anaowaambia mkimbilie kuoa ni nan? dem unakutananae siku mbili ya tatu unaweka ndani

kibaya ushaaaazaanae hapo mziki lazima uucheze utake usitake mkuu
 
Pole,i know what you are passing through,ndoa ina changamoto nyingi sana,kama hauko karibu na Mungu unaweza kuona kuoa ni kama kujiingiza jehanam,na mwisho wa siku mtakuja kuachana.Huyo ni shetani tayari ameshatinga kwenye hiyo ndoa na kama unataka kushindana na shetani bila kumshirikisha Mungu lazima atakubwaga...
 
Ila ni phase tu ya ndoa hiyo. Itapita tu, cha msingi kuwa mvumilivu
 
Kama umefanya Yote Imeshindikana Tandika Ngumi kama za Mwakinyo mpaka Anye.
 
Nimesoma thread yako mara 3 nikagundua inawezekana tatizo ni wewe.....kwanini nasema tatizo ni wewe???
Weakness zote ulizosema za mkeo ni vitu ambavyo ulitakiwa kuvi- observe kipindi cha uchumba "courtship" ina maana kama umemchumbia mtu na ukaamua umuoe bila shaka umemkubali jinsi alivyo si kwa strength zake tu bali pia na weakness zake.
Uchafu, matumizi yasiyo ya lazima,matumizi yasiyo ya maana, mvivu wa fikra za kimaendeleo na uvivu kitandani.....sasa kama hivi vinakukera mwenzetu enzi za uchumba ulivutiwa na nini mpaka ukaamua kumfanya mke????? Au mlikutana usiku asubuhi mkaoana au ulitafutiwa na wazazi?????Kama ndivyo una haki ya kulalamika ila kama ulimtafuta mwenyewe ukadate na ukafanya maamuzi ya kuoa wewe ndio tatizo trust me...Pambana na hali yako!!!!!
Mahusiano mengi yanaharibika kwasababu couples hazijui ku "communicate" unakuta mwenzanko anakukera na wewe unamnunia badala ya kumwambia au unamwambia kwa ukali au kwa kebehi badala ya kutumia lugha ya upendo na upole.
nadhani mwenzako anapokukwaza ama unapoona ana upungufu flani jaribu kwenda nae pole pole huku ukiongea nae na kumbadlisha kwa vitendo.
* Kama ni mchafu fanya usafi wewe mara moja moja huku kimueleza namna uchafu unavukukera lazima ataona aibu na kuacha
* kuhusu matumizi mabaya kaeni wote pangeni budget na uwe mfano kuisimamia na kushirikishana mara kwa mara inapotokea matumizi ya ziada. Motivate her kufanya miradi ufugaji,kazi za mikono etc kama mmeajiriwa au kama ye ni mama wa nyumbani tu mkumbushe kua life wont always be the same hivyo ajizoeze kuwa na matumizi mazuri na kujishuhulisha ( hapa tumia lugha nzuri ya upole na pia unapomwambia angalia yuko kwenye mood gani, yawezekana anakua amechoka ama hayuko sawa ndo maana anakua negative)
* She is too heavy to handle in bed???? Ama ni kwa vile ushamtoa kasoro kibaooooo ko hata mood inakutoka???? Appreciate her the way she is coz binti uliemuoa amekua mama amekupa zawadi ya mtoto ,mwili umepata mabadiliko so mvumilie. Make her feel wanted, flirt with her, tease her with spicy texts....mnunulie vinguo sexy , exotic perfumes than tell her u want her to wear that mkiwa...make your sex life exciting baba...usiishie kulalama play you part .
Usiishie tu kua baba bali be a husband and be a partner.....change her and work together to make your marriage exciting,
I took my time to write all this coz i hope utasoma if not you someone else and itasaidia kubadilisha mkeo na ndoa yenu.
Meghan
 
Mie vita yangu iko kwenywe utanashati, niko rough sana,muda wote nawaza pesa tu,sasa siku nimemtembelea wife ,(yuko kikazi sehemu fulani).nimefika mwenyewe na mihela yangu ,wife kanikatalia mtoko,kisa niko rough! Kwa miaka mingi anajitahidi kunibadilisha lakini napuuza,ananipeleka shopping na kadhalika lakini bado nakuwa( rafu).kwa tukio la juzi nimenyooka,sasa ntapiga pamba hadi aone wivu. Nakushauri mwambie mkeo live nini hupendi na kwa vitendo hata akiumia,kama anakupenda atabadilika.
IMG_20190401_113542_310.jpeg
IMG_20190401_113104_722.jpeg
 
Allahumma, Ash hadu anlaa ilaaha illaa anta astaghfiruka wa atuubu ilayka.

Sent using my Nokia Torch
 
Mshukuru Mungu umempata mke mwenye akili na anejiheshimu..ungempata mwendawazimu angetafuta watanashati

Back to the post...mtoa mada elewa kwamba with love everthing is possible...hakuna mtu asieshindwa kubadilika kwenye mapenzi labda kama hakupendi

Mie vita yangu iko kwenywe utanashati, niko rough sana,muda wote nawaza pesa tu,sasa siku nimemtembelea wife ,(yuko kikazi sehemu fulani).nimefika mwenyewe na mihela yangu ,wife kanikatalia mtoko,kisa niko rough! Kwa miaka mingi anajitahidi kunibadilisha lakini napuuza,ananipeleka shopping na kadhalika lakini bado nakuwa( rafu).kwa tukio la juzi nimenyooka,sasa ntapiga pamba hadi aone wivu. Nakushauri mwambie mkeo live nini hupendi na kwa vitendo hata akiumia,kama anakupenda atabadilika.View attachment 1059945View attachment 1059946

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TANGAZO.
mimi msukuma.com natangaza kuwa suala la kuoa nimelisogeza mbele mpaka pale wana ndoa watakapoanza kusifia ndoa zao.
 
Kama sio mume bora usioe...nb..ndoa nyingi wanaoanzisha matatizo ni wanaume.
siku zote mvuta kamba huvutia kwake....wanawake mna kisirani sana,,,,,,mnaongea kuliko nini miluzi ya mbu...mnasahau kuwa wanaume ni binadamu makini...hatuwadharau ila ni wasumbufu hamueleweki
 
Back
Top Bottom