Ulipotea au ulipotenzwa na mahusiano...Ni mimi aisee, nilipotea kidogo
Yesu na akutane na wewe. AminaEeh bhana maisha bado yana safar ndefu..tunaendelea kuishi na kitu pekee napenda maishani ni ubunifu wa jinsi ya kuishi vizur na kwa furaha na binadamu
Before 2018 nilikua mtu wa kukutana na mabinti wengi wanao nipenda baadhi nikapendana nao pia, hatukuweza kudumu kwa sababu mbalimbali
Lakini tangu 2018 nimekua na shida sana, yani kila binti ninae anza nae mahusiano anakua kichomi sana hasa kwenye swala la kufanya mapenz, ni
Kosa langu nini kwani ???Acha uzinzi tubu na umrudie muumba wako na hii tabia ya kula k mtapata michubuko muambukizane ngoma
Shida ni mbishi afu ubisha usio na sababu wala maana.Nadhani unachotaka wewe ni kuambulia malaya. Watoto pisi kali ambao hawajazoea kupeana hovyo lazma wakue hivyo. Mbona mtoto mzuri wa kujiheshimu tu huyo uliyempata! Sasa unataka mara ya kwanza akufanyie style zote kisha kiustadi awe amezijulia wapi? Mrudie umzoeshezoeshe.
Shida ni mbishi afu ubisha usio na sababu wala maana.Ushauri from experience
BRO MWANAMKE ATAKUWA JINSI UNAVYOMTAKA YEYE AWE .HATA CHUMBANI WA AINA IYO USIWAHESHIMU SAANA HAYO MAENEO WAPE BOOSTER TREAT THEM LIKE YOUR BITCH.
Mbibi mie,wajukuu kibao,labda mwanangu atakufaaJimbo lipo wazi, sina Mwanamke sina mtoto