Angekuwa karibu ungemvalia khanga yenye maandishi, “ kwani una nini”
Sent from my iPhone using JamiiForums
Anuani ya kudumu hamkupeana ?Anuani ipi?
Mapema hiyo kuanzia lini??
Hahahahahhaa tufanye ungekuwa hujazeeka bado, kipi ambacho ungefanya..!!?
Hata Kasie nae ni kigagula.[/QUOT
Ungenata kama umeshikwa na superglue..japo Ng 'ombe hazeeki maini
Ungenata kama umeshikwa na superglue...Hahahahahhaa tufanye ungekuwa hujazeeka bado, kipi ambacho ungefanya..!!?
Hata Kasie nae ni kigagula.
Dawa ya wakorofi warembo ndo huyu...tokea nikiwa kijana mdogoHahahahahhaa natamanimemba mmoja wapo wa wanaomfahamu Kasie akuelezee utata wa Kasie.
Ni mtata zaidi ya Matata halafu na ukorofi juu...
ha ha! Kweli matata mi sina la kusema maana siri ya mtungi aijuae kata...Kenzy mamboo,
Kuna kijarubaa kimenikera nimeamua nimshushie uzi.
Akiusoma ameze mate.
Sina habari nae.....
K' Matata.
Sawa, utukumbuke na sisiHata siku moja, inaishiaga kwenye kuboa tuu kisha natupa kuleee.