Sina dalili ya upendo kabisa

Sina dalili ya upendo kabisa

Yukwapi

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
480
Reaction score
605
Habari Wana JF

Mimi nikijana wa miaka 28 nimuda Sasa najihisi kua sio binadam aliekamilika.

Nina changamoto yakukosa upendo wa kimahusiano na mwanamke, Yani naweza nikawa kwenye mahusiano lakin Ile Hali yakuhisi kumpenda mwenzangu sina kabisaa, nimejaribu Hadi kwa pisi Kali zilizonyooka lakini hamna kitu.

Sijawah kuhofia kupoteza mahusiano,Yani Mimi nikiwa namwanamke hata akiamua kuniacha naona sawa tuu sihofii chochote na hata moyo haushtuki.

Imefikia mahali nimeamua kuigiza kupenda lakin kunamdaa najisahau nakua don care,nimejitahd kunsikiliza nyimbo za mapenzi ilinipate hata kadilili lakini wapii nipo nipo tuu.

Kiufupi sielewi hata nashida Gani nataman skumoja nipendee ili nijue hata ladha ya upendoo sababu haya maisha yamenishinda

Naombeni ushauri jamani niondokane nahili tatizo
 
The same same kaka

Usjari tupo pamoja nadhani sisi ni moja kati ya design ya watu ambao furaha zetu sio ngono

Ni tofauti kidogo na wewe mimi napenda lakini baada ya muda naanza kushindwa kupractice love then nachoka kabisa kufake then naachaa mazima
 
Habari Wana JF

Mimi nikijana wa miaka 28 nimuda Sasa najihisi kua sio binadam aliekamilika.

Nina changamoto yakukosa upendo wa kimahusiano na mwanamke, Yani naweza nikawa kwenye mahusiano lakin Ile Hali yakuhisi kumpenda mwenzangu sina kabisaa, nimejaribu Hadi kwa pisi Kali zilizonyooka lakini hamna kitu.

Sijawah kuhofia kupoteza mahusiano,Yani Mimi nikiwa namwanamke hata akiamua kuniacha naona sawa tuu sihofii chochote na hata moyo haushtuki.

Imefikia mahali nimeamua kuigiza kupenda lakin kunamdaa najisahau nakua don care,nimejitahd kunsikiliza nyimbo za mapenzi ilinipate hata kadilili lakini wapii nipo nipo tuu.

Kiufupi sielewi hata nashida Gani nataman skumoja nipendee ili nijue hata ladha ya upendoo sababu haya maisha yamenishinda

Naombeni ushauri jamani niondokane nahili tatizo
Shukuru Mungu kwa kukulinda na wanawake wasio na maendeleo kwako, kumbuka si kila mwanamke anafaa kuwa naye kwenye mahusiano, wengi wa wanawake hapa mjini ni majini tu hawafai hata kwa one night stand, unalala naye unashangaa maisha yako yanaharibika. Una mizimu mikali sana inayokulinda, shukuru.
 
Uko kawaida kabisa.

Ukikuta mwanamme anaependa sana huyo ndio mwenye tatizo. Wewe ndio mwanamme sasa.

Tatizo lambda ni hapo kutojipenda mwenyewe,Hilo ndilo la kufanyia kazi.

Kikubwa tengeneza malengo na ndoto zako Kisha ishi humohumo kwenye malengo na matamanio na ndoto zako.

Kama unaona na kuwa na Watoto inatosha. Sio lazima kupenda kiasi cha kukonda kisa mapenzi.
 
Back
Top Bottom