Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,809
- 15,438
It is my pleasure dearThank you for your concern.
It is my pleasure dearThank you for your concern.
Mara mwanaume pesa, mwanaume vile, mara hv, mara you make your man, mara hv, eehhhh .......... sorry lara 1 mm huwa nashindwa kukusoma vyema ......... just tell me your attitude for favor ....... njoo PM lakini sio hadharani!!!!!
weeeeeeeee wengine ni mifupa iliomshinda fisi wewe binadamu utaiwezea wapi?
Hata hao walionao wanawake wengine walikua Fupa lililomshinda fisi! Wenzio wakajitoa ufahamu Kuliponda fupa hilo. kuliloweka na chumvi na limao mpaka likalainika!!!!!!!!!
Sasa wana lila Fupa lililowashinda fisi lainiiiiiiiiiii kama soseji.
My point is HAKUNA ALIE MSAFI!!!!!!!!!!!!! Ukitafuta msafi utatafuta sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! Chukua chuma chakavu kiyeyushe, kifue uzuri then tengeneza kitru kipya cha ukweli na uhakika!!!!!!!!!
Ujue lara 1 we mkali sana,,, nashangaa udsm hukutoka hata na mchumba wa kufanya nae maisha
ID yangapi hii maana hata kuomba kukaribishwa umejisahau !unamambo we mtoto!!ila nenda uswahilini hapa jeifu utapoteza mda!wengu humu tuna stresses kila raheli zaidi unaweza kuishia kumegwa at once!
Girl You just dont go to MAN SHOPPIN!!!!!!!!!!!! YOU MAKE YOUR OWN MAN! Yah! You red right! MAKE YA OWN MAN! You need to sweat n put ya bottom to some serious charity work of turning those Bozo's you meet to a potential husband!
If you see a complete Man on the road just know your fellow woman sweated her behind to turn that man in anythin near your liking!
So girl put you ya A.s.s to some serious work of turnin a bozo to a man of ya liking! Or else keep searchin what is not there!
CAPISH!!!!!!!!!!!!!
Ukiona hivyo, umtakaye hajawasili
wee kaa na mtu ukibuzi buzi tu kwa ajili ya baiolojia
Kwani sheria inasema kuolewa mwisho miaka mingapi?? Hujaona Mangula kaona juzi kati tu labda bado wako fungate?
Ume-invest sana kwenye kutaka kuolewa wakati hata mchumba huna, utajinyonga bure na maisha ni haya haya
Girl You just dont go to MAN SHOPPIN!!!!!!!!!!!! YOU MAKE YOUR OWN MAN! Yah! You red right! MAKE YA OWN MAN! You need to sweat n put ya bottom to some serious charity work of turning those Bozo's you meet to a potential husband!
If you see a complete Man on the road just know your fellow woman sweated her behind to turn that man in anythin near your liking!
So girl put you ya A.s.s to some serious work of turnin a bozo to a man of ya liking! Or else keep searchin what is not there!
CAPISH!!!!!!!!!!!!!
MMU habari ya kazi kila mmoja wenu?
Nimekuwa msomaji wa MMU bila kujisajili ila leo nimeona niwe member ili nipate ushauri kuhusu hili.
Mwenzenu kwa sasa na kwa age yangu ningependa niwe na mume au hata mchumba. Tangu nimebreak na ex (kwa sababu za kibinadamu na zilizo nje ya uwezo wetu sote) inaniwia vigumu sana kumpata mtu ambae tunawiana na kuendana kwa mambo muhimu ya uhusiano. Tatizo wengi ninaowaona na wanaoniapproach wanakuwa hawana vigezo na wamekaa kisanii sana. Hata akiwa na vigezo vya nje unamkuta maswala ya imani kama mimi niaminivyo hayupo kabisa, au unamuona hajatulia kabisa. Kwakweli ninashindwa kuutoa moyo wangu kafara hasa nionapo kwamba niliye nae sie alafu ning'ang'anie tu. Hata sijielewi mwenzenu. Sijui ni kwangu tu au hata kwa wengine?.
Nifanyeje wapenzi? au niamue tu kuendeleza uhusiano hata pale nafsi yangu inapoona kasoro ambayo ni unbearable kwa mhusika? Siwezi kucheat au kumchora mtu kwamba niko kwenye mapenzi wakati kuna shida naiona, nifanyeje waungwana?
Nategemea mengi kutoka kwenu.
Wenu DT
Wait for Gods plan is the bestMMU habari ya kazi kila mmoja wenu?
Nimekuwa msomaji wa MMU bila kujisajili ila leo nimeona niwe member ili nipate ushauri kuhusu hili.
Mwenzenu kwa sasa na kwa age yangu ningependa niwe na mume au hata mchumba. Tangu nimebreak na ex (kwa sababu za kibinadamu na zilizo nje ya uwezo wetu sote) inaniwia vigumu sana kumpata mtu ambae tunawiana na kuendana kwa mambo muhimu ya uhusiano. Tatizo wengi ninaowaona na wanaoniapproach wanakuwa hawana vigezo na wamekaa kisanii sana. Hata akiwa na vigezo vya nje unamkuta maswala ya imani kama mimi niaminivyo hayupo kabisa, au unamuona hajatulia kabisa. Kwakweli ninashindwa kuutoa moyo wangu kafara hasa nionapo kwamba niliye nae sie alafu ning'ang'anie tu. Hata sijielewi mwenzenu. Sijui ni kwangu tu au hata kwa wengine?.
Nifanyeje wapenzi? au niamue tu kuendeleza uhusiano hata pale nafsi yangu inapoona kasoro ambayo ni unbearable kwa mhusika? Siwezi kucheat au kumchora mtu kwamba niko kwenye mapenzi wakati kuna shida naiona, nifanyeje waungwana?
Nategemea mengi kutoka kwenu.
Wenu DT
u are desparate eh?
Tatizo lako ni kiburi na dharau. Mtu kama wewe unahitaji mtu wa kukutandika bakora, sijui wakurya humu JF tupo wangapi? Ulivyomjibu Maubero, ukimjibu mkurya hasira zake ataichapa ata kompyuta. Ni ache mautani dada unaelekea una kiburi, dharau na kuna watu wanakudanganya kwamba wewe ni mzuri.
Tatizo lako ni kiburi na dharau. Mtu kama wewe unahitaji mtu wa kukutandika bakora, sijui wakurya humu JF tupo wangapi? Ulivyomjibu Maubero, ukimjibu mkurya hasira zake ataichapa ata kompyuta. Ni ache mautani dada unaelekea una kiburi, dharau na kuna watu wanakudanganya kwamba wewe ni mzuri.
MMU habari ya kazi kila mmoja wenu?
Nimekuwa msomaji wa MMU bila kujisajili ila leo nimeona niwe member ili nipate ushauri kuhusu hili.
Mwenzenu kwa sasa na kwa age yangu ningependa niwe na mume au hata mchumba. Tangu nimebreak na ex (kwa sababu za kibinadamu na zilizo nje ya uwezo wetu sote) inaniwia vigumu sana kumpata mtu ambae tunawiana na kuendana kwa mambo muhimu ya uhusiano. Tatizo wengi ninaowaona na wanaoniapproach wanakuwa hawana vigezo na wamekaa kisanii sana. Hata akiwa na vigezo vya nje unamkuta maswala ya imani kama mimi niaminivyo hayupo kabisa, au unamuona hajatulia kabisa. Kwakweli ninashindwa kuutoa moyo wangu kafara hasa nionapo kwamba niliye nae sie alafu ning'ang'anie tu. Hata sijielewi mwenzenu. Sijui ni kwangu tu au hata kwa wengine?.
Nifanyeje wapenzi? au niamue tu kuendeleza uhusiano hata pale nafsi yangu inapoona kasoro ambayo ni unbearable kwa mhusika? Siwezi kucheat au kumchora mtu kwamba niko kwenye mapenzi wakati kuna shida naiona, nifanyeje waungwana?
Nategemea mengi kutoka kwenu.
Wenu DT
Mentor siwezi kuviposti hapa.