Simuoni nimtakae

Simuoni nimtakae

Angalia profile vizuri sipendi nikujibu vibaya. Kama uko makini utaona hii ndio post ya kwanza hapa. Sijawahi kuja nikaposti kwamba natafuta mume. Kama mume tu mbona wapo wengi ila yule wa ukweli na mwenye vigezo ndio shida kumpata. Jiheshimu mpendwa ili watu wakuheshimu. Kabla hujanena jaribu kuhakiki kama ukisemacho kina ukweli.
Pole sana.
watu wanakupima pia kwa maneno yako.huenda muoaji yuko humu humu.
ukianza kuutumia mdomo wako "vizuri" mapema hivi, itachukua muda kupata mtu wa type yako.Moja ya sifa ulizo nazo ni ni kwamba " you are irritable".inahitaji mtu mvumilivu kuishi na wewe.
na ndiyo maana kwa sababu za "kibinadamu" hukuweza kudumu na aliyetangulia/waliotangulia
 
Ukiona hivyo, umtakaye hajawasili
wee kaa na mtu ukibuzi buzi tu kwa ajili ya baiolojia

Kwani sheria inasema kuolewa mwisho miaka mingapi?? Hujaona Mangula kaona juzi kati tu labda bado wako fungate?

Ume-invest sana kwenye kutaka kuolewa wakati hata mchumba huna, utajinyonga bure na maisha ni haya haya

Asante
 
Pole sana.
watu wanakupima pia kwa maneno yako.huenda muoaji yuko humu humu.
ukianza kuutumia mdomo wako "vizuri" mapema hivi, itachukua muda kupata mtu wa type yako.Moja ya sifa ulizo nazo ni ni kwamba " you are irritable".inahitaji mtu mvumilivu kuishi na wewe.
na ndiyo maana kwa sababu za "kibinadamu" hukuweza kudumu na aliyetangulia/waliotangulia

Asante, vigezo vyako vimenihukumu hivyo. Ni haki yako kusema kile ukionacho japo sio lazima kila ukionacho kiwe ni cha kweli. Siku njema ndugu.
 
Ukijituliza utampata ambae ana nia na wewe na pia itakua rahisi kumtambua. Vilele unapokua unataka kuingia kwenye uchumba mchunguze mfumo wake wa maisha kama kwa kipindi hicho anauweza kuishi na mtu akumudu majukum afu vilevile usijirahisi mapema na kuanza kumpa mapenzi haraka haraka kabla hujasoma mchezo
Hapo RED nimepapenda
 
mwalimu yolanda bado yupo honeymoon eeh! maisha ni haya haya ...sitoacha kufurahia maisha kisa kushobokea wanaume ....
Ukiona hivyo, umtakaye hajawasili
wee kaa na mtu ukibuzi buzi tu kwa ajili ya baiolojia

Kwani sheria inasema kuolewa mwisho miaka mingapi?? Hujaona Mangula kaona juzi kati tu labda bado wako fungate?

Ume-invest sana kwenye kutaka kuolewa wakati hata mchumba huna, utajinyonga bure na maisha ni haya haya
 
Mie kuna watu hadi nadhani hawajipendi

Wanakonda kisa hawana mme, jamani

Anyway, ni malengo ya maisha tu

mwalimu yolanda bado yupo honeymoon eeh! maisha ni haya haya ...sitoacha kufurahia maisha kisa kushobokea wanaume ....
 
Nilichoandika umekielewa vibaya. Nimeeleza uwepo wa wanaume wasanii, wenye sifa ila imani tofauti, wasio waaminifu n.k Kulazimisha nisipopapenda ni ngumu, pia kila mtu anapima mzigo anaoweza kuubeba, kama siwezi kuubeba basi nautua tu. Kuhusu imani ni haki yangu pia kutetea kile nikiaminicho na kukisimamia. Asante kwa muda wako na ulichokiweka hapa.

Kama ndiyo hivi bado hujaona picha lenyewe, malizia trela kwanza. Naona unasubiria embe dodo kwenye mti wa mwarobaini.
 
mmu habari ya kazi kila mmoja wenu?

Nimekuwa msomaji wa mmu bila kujisajili ila leo nimeona niwe member ili nipate ushauri kuhusu hili.

Mwenzenu kwa sasa na kwa age yangu ningependa niwe na mume au hata mchumba. Tangu nimebreak na ex (kwa sababu za kibinadamu na zilizo nje ya uwezo wetu sote) inaniwia vigumu sana kumpata mtu ambae tunawiana na kuendana kwa mambo muhimu ya uhusiano. Tatizo wengi ninaowaona na wanaoniapproach wanakuwa hawana vigezo na wamekaa kisanii sana. Hata akiwa na vigezo vya nje unamkuta maswala ya imani kama mimi niaminivyo hayupo kabisa, au unamuona hajatulia kabisa. Kwakweli ninashindwa kuutoa moyo wangu kafara hasa nionapo kwamba niliye nae sie alafu ning'ang'anie tu. Hata sijielewi mwenzenu. Sijui ni kwangu tu au hata kwa wengine?.

Nifanyeje wapenzi? Au niamue tu kuendeleza uhusiano hata pale nafsi yangu inapoona kasoro ambayo ni unbearable kwa mhusika? Siwezi kucheat au kumchora mtu kwamba niko kwenye mapenzi wakati kuna shida naiona, nifanyeje waungwana?

Nategemea mengi kutoka kwenu.

Wenu dt

cc: Tetra, Jenu
 
Last edited by a moderator:
MMU habari ya kazi kila mmoja wenu?

Nimekuwa msomaji wa MMU bila kujisajili ila leo nimeona niwe member ili nipate ushauri kuhusu hili.

Mwenzenu kwa sasa na kwa age yangu ningependa niwe na mume au hata mchumba. Tangu nimebreak na ex (kwa sababu za kibinadamu na zilizo nje ya uwezo wetu sote) inaniwia vigumu sana kumpata mtu ambae tunawiana na kuendana kwa mambo muhimu ya uhusiano. Tatizo wengi ninaowaona na wanaoniapproach wanakuwa hawana vigezo na wamekaa kisanii sana. Hata akiwa na vigezo vya nje unamkuta maswala ya imani kama mimi niaminivyo hayupo kabisa, au unamuona hajatulia kabisa. Kwakweli ninashindwa kuutoa moyo wangu kafara hasa nionapo kwamba niliye nae sie alafu ning'ang'anie tu. Hata sijielewi mwenzenu. Sijui ni kwangu tu au hata kwa wengine?.

Nifanyeje wapenzi? au niamue tu kuendeleza uhusiano hata pale nafsi yangu inapoona kasoro ambayo ni unbearable kwa mhusika? Siwezi kucheat au kumchora mtu kwamba niko kwenye mapenzi wakati kuna shida naiona, nifanyeje waungwana?

Nategemea mengi kutoka kwenu.

Wenu DT
Mtambuzi, snowhite, MziziMkavu, saidieni kutoa somo hapa
 
Last edited by a moderator:
mwalimu yolanda bado yupo honeymoon eeh! maisha ni haya haya ...sitoacha kufurahia maisha kisa kushobokea wanaume ....

Hongera sana bibie ........ ila nafasi ya -me ipo palepale, no matter unatafanya sarakasi nyingi kiasi gani!!!!!
 
pole sana.
Watu wanakupima pia kwa maneno yako.huenda muoaji yuko humu humu.
Ukianza kuutumia mdomo wako "vizuri" mapema hivi, itachukua muda kupata mtu wa type yako.moja ya sifa ulizo nazo ni ni kwamba " you are irritable".inahitaji mtu mvumilivu kuishi na wewe.
Na ndiyo maana kwa sababu za "kibinadamu" hukuweza kudumu na aliyetangulia/waliotangulia
Maubero
 
Last edited by a moderator:
hongera sana bibie ........ Ila nafasi ya -me ipo palepale, no matter unatafanya sarakasi nyingi kiasi gani!!!!!
mpaka awe anaiwezea hiyo nafasi sasa.sio wanaume wote ni waume wa kuishi nao ndani.
 
ID yangapi hii maana hata kuomba kukaribishwa umejisahau !unamambo we mtoto!!ila nenda uswahilini hapa jeifu utapoteza mda!wengu humu tuna stresses kila raheli zaidi unaweza kuishia kumegwa at once!

CC: darling-tone njoo clarify hii hapa!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom