mkuu hicho kitabu cha kabwe makenika na yule mzee wa arusha na yule chekbob ziggy ninacho ila karatasi baadhi za mwanzo na mwisho zimekatika hivyo sinajua kinaitwaje na wapi naweza kukipata mtu hatari sana yule na mission ya halima na baba yake kuiba dhahabu Williamson gold mine,daa jamaa kabwe noma sana ni full mafiaKabwe makenika jitu kumbuka katika vita dhidi ya unyama wa mafia MOB.shukrani mkuu kwa hadithi yako ya kusisimua.
Sikusema najiua mkuu...just not taking any meds!Haaa mkuu umerudi
Au kile kisa cha SITAKI DAWA ckukisoma vizuri
Tafuta cha kujifunza. Usisome ili utafute nani ajifunze nini.Ujumbe huu uwafikie mapolisi wote waonevu, wababe, wasio na utu, wenye tamaa.
Maimuna & her mama is around.
Mimi ntaacha tabia ya kutongoza wadada waliokosea nambaTafuta cha kujifunza. Usisome ili utafute nani ajifunze nini.
Wewe imekufunza nini??????
Sent from my MediaPad 7 Youth 2 using JamiiForums mobile app
Mkuu kile kitabu kinaitwa UNYAMA WA MAFIA.nilikisoma miaka ya 90,sema sijui kinapatikana wapi sababu mi siko tz.mkuu hicho kitabu cha kabwe makenika na yule mzee wa arusha na yule chekbob ziggy ninacho ila karatasi baadhi za mwanzo na mwisho zimekatika hivyo sinajua kinaitwaje na wapi naweza kukipata mtu hatari sana yule na mission ya halima na baba yake kuiba dhahabu Williamson gold mine,daa jamaa kabwe noma sana ni full mafia
naomba msaada wa jina lake na wapi nitakipata,shukrani
daa shukrani sana nitafuatilia kwenye maduka yote makubwa ya vitabu.Mkuu kile kitabu kinaitwa UNYAMA WA MAFIA.nilikisoma miaka ya 90,sema sijui kinapatikana wapi sababu mi siko tz.
Haahahahahaha mkuu umeuaSIMULIZI : YALIYONIKUTA TANGA
MSIMULIAJI : MARTIN MEKU
MAHALI : TANGA
SEHEMU: Live another day.
ILIPOISHIA
Msimuliaji akiwa na mama yake kwa mganga wanaanza safari ya kurudi nyumbani kwa ahadi ya kwenda tena kwa mganga kupeleka kile kisanduku chenye dhahabu.
SASA ENDELEA...
Msimuliaji akiwa nyumbani kwao anatafakari aendelee kuturushia story au atangaze kitabu kinapatikana duka gani tukanunue, ghafla mlango wa chumba chake unagogwa kwa fujo sana. Anatoka huku amechukia mno, kufungua mlango asione mtu. Akatoka mpaka nje ya nyumba na asione mtu pia. Akaamua kurudi ndani.
Alipotaka kuingia chumbani, akashtuka kuona mlango umefungwa kwa ndani. Akaamua kuchungulia kupitia kwenye kitasa, hakuamini macho yake alipomuona maimuna amekaa kitandani anaipitia hadithi ambayo bado haijatumwa mtandaoni kwa umakini mkubwa huku akibubujikwa na machozi, pembeni yake kulikuwa na upanga uliojaa damu sambamba na kile kichwa cha Erick.
Je, maimuna ataifuta hadithi tunayoisubiri kwa hamu? Unafikiri msimuliaji atafanikiwa kuingia ndani kwake?
Usikose sehemu ya pili ya LIVE ANOTHER DAY