Abdallahking
JF-Expert Member
- Mar 19, 2018
- 3,983
- 10,804
- Thread starter
- #121
asante sana mkuudaah mwishoni na vimachozi kidogo vimenitoka,shukran sana mkuu
asante sana mkuudaah mwishoni na vimachozi kidogo vimenitoka,shukran sana mkuu
Amen...asante sana mkuu🙏🙏Safi sana .. ubarikiwe sana..
Kabisa mkuu🔥🙏🙏🙏Shukrani kiongozi. Kuna watu walitamani kuwa maafisa usalama kwa kuvutiwa na willy gamba na joram kiango.
hivi vitabu vya mtobwa na musiba huko mbeleni watauza story hizi kwa watengeneza filamu.
Wanatoa Kitabu unasoma unakuwa kama unaangalia SinemaBen Mtobwa na Elvis Musiba walikuwa wanatoa vitabu vizuri sana......
Kabisa...mimi hadi nilikuwa najiita Willy Gamba!Wanatoa Kitabu unasoma unakuwa kama unaangalia Sinema