FEBIANI BABUYA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2022
- 2,232
- 4,388
- Thread starter
- #241
Hahahah leo baadae tutapata majibu sahihi.Hakuna namna mkuu wacha tusibirie tu. Ila siupatii picha huo mtanange maana wote wanajua kutamba. Gavin anakwambia "Hajaona mtu wa kumuua kwenye dunia hii, hajazaliwa bado" na jamaa nae anamwambia Gavin kuwa "Usiku huu nakuua kifo cha mateso makali kabla sijaiangamiza familia yako"😆😆
Patamu hapo