Simulizi: Uchawi wa Jirani

Simulizi: Uchawi wa Jirani

Fazz

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2019
Posts
635
Reaction score
1,456
Sehemu ya 1

Nilitoka kazini nikiwa nimechoka sana nikaamua kurudi nyumbani moja kwa moja tofauti na siku nyingine ambazo nilipitia hapa na pale nikiwa na lengo la kupoteza muda kabla sijarudi nyumban.Nilimkuta mke wangu hana furaha kama nilivyomzoea siku zote. " mke wangu nini shida mbona sijakuzoea ukiwa hivi. Nikimuuliza mam watoto ambaye baada ya kunitengea chakula bado hakua muongeaji kabisa ndipo nilipoamua kumdadisi na maswali ya hap na pale.Mke wangu alikua na kawaida ya kunisimulia mambo yote yaliyojir kila siku kw sababu kawada ya wanawak hawawezGi kukaa na kitu bila kukitoa..Mme wangu leo nimegombana na mama deo ameniker sana.

Mke wangu aliongea kwa uchungu kidog " amekukera na nn mama hebu niweke wazi basi ili kama kuna haja ya kuwapatanisha tukaongee nae muelewane..Nielewane na nani shetani yule sitaki hata kumuona. Mke wangubaliongea kwa gadhabu kidogo "Duh basi kama mambo yenyewe ndo hayo basi bhana.Niliamua kunyamaza nikaona mambo ya wanawake yatamalizwa na hao hao.Nilipomaliza kula mke wangu alito vyombo na mimi kuangali tv kidogo .Basi mud wa kulala ulipofika tuliingia kitandani na mke wangu tukalal..Wakati nimelala nilimuona mke wangu akiweweseka akiwa usingizini alikua amelala lakini akawa anStuk stuka san nilijaribu kumwamsha lakini bado hakuamka.

Nilimtikisa lakini bado hakuamka nilianza kuingiwa na wasiwasi nilipo angalia saa ilikua ni mida ya saa 8 usiku.Mhh kwani kun nn jMani mbona sielew hapa nilijiuliza nikiwa nimeamka na kwend kuchota maji kwa ajili ya kummwagia nikiwaza huenda labda amezimia..Nilitoka mpKa sebleni ambaPo ndipo ndoo za maji zinapokaa nilipofungua ndoo za maji nilishangaa kuona ndoo zote hazina maji jambo ambalo halikua la kawaida pale kwetu niliamua kurudi chumbani kuangalia huenda mke wangu ameamka.

Kufika chumbani nikishangaa kukuta kitandani hakuna mtu nilianza kupata hofu kwa sababu nyumba tuliyokua tunakaa ilikua ni chumba na sebule tu na sikumwona akipita sebleni. Nilijikuta naanza kupata hofu nilijaribu kucheki uvunguni labda nitamwona lakini niliambulia patupu mhhh. Nini hiki jamani nilijiuliza kimoyomoyo. Niliamua kwenda tena sebleni huenda nikamwona lakin bado ilikua ni kazi bure.. Hofu ilianza kuniingia lakini nikajip moyo wa kijasiri nilifungua mlango kwa lengo la kutoka nje. Nilipofungua mlango nilipata mstuko baada ya kuona kuna mtu amelal mlngoni nilitaharuki na nikutaka kukimbia lakini nikajikaza nikamsogelea ili nijuie ni nani, Lahaula! alikuwa ni mke wangu amelala pale chini fofofo nilijikaza kiume nikajaribu kumwamsha lakini bado hakuamka mhh basi.

Niliamua kumbeba mke wangu na kumrudisha chumbani pale pale kitandani. Mhh hiii ya leo kali nilijiwazia kimya kimya.Kwa usiku huo sikujua nifanye nn niliamua kukaa kitandani nikiwa nawaza n nn kinaendelea..Wakati naendelea kujiwazia ghafla mke wangu alipiga chafya ambayo ilinistua almanusura nikimbie alianza kujinyoosha nyoosh akaamka Hee mume wangu mbona hujalala mpaka sa ivi. Mke wangu aliniuliza kwa mshangao na mimi bado nikikua namshangaa kwa sababu alionekana hajui chochote.

Niliamua kumzuga tu ah nimetoka chooni mke wangu.Sikutaka kumwambia chochote kwa usiku huo kwani ningemtia hofu basi niliamua kupanda kitandani kwa lengo la kuendelea kupiga usingizi. Nilipata shida san kupata usingizi lakini nikapitiwa.Nikikuja kustuka asubuhi baada ya mke wangu kuniamsha kwa kuntingisha..Nilistuka nilipoangalia saa nilikurupuka kwa sababu muda ulikua umeshaenda na nilikua nishachelewa kazini.

Niliamka nikaenda kuoga chap chap Ili niwahi kazini nilishidwa hat kunywa chai niliyokua nimeandaliwa na mke wangu kutokan n kuchelewa nilimwangalia mke wangu kwa sekunde kadhaa nikitafakari ya jana nikamkisi na nikamwaga pale japo alinuna kidog kutokana na kuiacha chai yake bila kuinywa nikampa maneno matam pale kidog nikamwacha anatabasam nikaondoka kuwahi ofisini njiani nikiwa nakaribia kituo cha daladala nilikuatana na jirani yetu mama deo nilimwambia za asubuhi jirani kama desturi yetu ya kusalimiana lakini badala ya kujibu alisonya na kupita.

Nilitamani kumuuliza kulikoni lakini nilijivunga na kuamua kuwahi kazini ghafla nilikumbuka kuna kitu cha muhimu nilikisahau nyumbani. Nilipokua nakaribia nyumbani nilimwona mama deo akitoka nyumbani kwangu kwa haraka akiwa kama anakimbia hakuniina wakati na karibia ye alikata kona akatokomea kwenye uchochoro uliokua pale niliamua kuwahi kwenda kuona kuna nini kinaendelea baina ya mke wangu na jirani kuingia mlangoni nilichokikuta kilinipa mstuko wa hali ya juu sikuamini kama mama deo anaweza kufanya kitendo kile nlichokiona pale ndani.

Itaendelea.
Usikose sehemu ya 2
Uchawi wa jirani

Toa maoni yako


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je, hadithi hii ni ya kubuni au ni tukio halisi?
 
Uchawi wa jirani

Sehemu ya pili

Muendelezo nilivyorudi nyumbani pale nilikuta kitu ambacho mama deo alikua amekifanya ni cha ajabu sana nilikuta mke wangu amelala chini huku povu likimtoka mdomoni.

Kiukweli nilipagawa sana nikamfata pale nikaanza kumwamsha hakua akijigusa hata kujitikisa. Niliamua kwenda kutafuta usafiri wa kumpeleka hospitali baad ya kwenda kuita majirani kadhaa ambao nao walishanga kumwona mke wangu katik hali ile japo muda mfupi alikua kwenye hali nzuri tu kiafya. Tulimbeba mke wangu kwenye tax niliyoenda kutafuta kwa ajili ya kumpeleka hospitali. Tukiwa kwenye gari mi nilikua siti za nyuma pamoja na mama flani jirani aliyejitole kutusindikiza. Wakati gari likiendelea kukata mitaa nikashanga gari halifuati njia ya hospitali nkaona linaingia porini.Nikamwuliza derev vipi mbona sielewi unatupeleka wapi.Yule dereva akaanza kucheka sana kugeuka ghafla na yule mama tuliyekua nae nyuma ya gari nae akaanza kucheka sanaa.Mhh nikaanza kupata hofu nikawa huku namfosi dereva asimamishe gari..Mara yule mama wa pembeni nikashangaa akibadilika na kuvaa sura ya mama deo.nilistuka sana nikataka kuruka kwenye gari lile mama deo akaendelea kuchek san kumtazama dereva nikakuta ni bongee la joka lipo kwenye usukani wa gari.Mapigo ya moyo yalizidi kuongezeka nikiwa sielwi hali ile inatokana na nin nikawa nahusi kama nipi ndotoni lakini haikua hivyo gari lilizidi kuingia porini sehem ambayo nilikua siijui kabisa.. Daah nilimwangalia mke wangu nkaona bado amelala hAelew lolote mama deo nae ghafla tena akaanza kubadilika akawa anaota manyoya usoni na kuanza kua na sura kama ya simba mhh pale nilijikuta nafungua mlango wa gari ili niruke malango haukufunguka hata kidogo.Woga ulinizidi sana mama deo kwenye umbo la simba akaanza kumlamba mke wangu usoni.. Lile joka nalo likatoka mbele kule huku gari bado inatembea lilikua linatisha sana jeusiii mimacho mikubwa kama moto hukublinatoa ulimi kama nyoka.Kwa kweli nilikua natetemeka sana na kuona siku ile nsiyo iliku mwisho wangu joka lilikuja likageuza mkia likaawa kama linanigusa gusa hivi usoni pale pale nikapoteza fahamu..Baadae nikaja kustuka nikajikuta nipo nyuma ya mbuyu mkubwaa sana nimefungwa miguu na mikono mke wangu alikua bado hajastuka nilimwona amefungwa kichwa chini miguu juu afu kuna watu wanaimb nyimbo za ajabu huku wanamzunguka.Baad ya kustuka na kuendelea kuangalia mazingira nilihisi kama kuna mtu anakuja kwa nyuma nikaamua kujikausha kama bado sijaamka.Mtu yule ambaye sikumwona alikuja akanigusa na mguu wake akanitikusa lkini bado sikujigusa nikamsikia akiondoka.Watu wote waliokuwepo pale waliku uchi wa mnyama nililigundua hilo baada ya kutazama vizuri manake nilivyostuka tayari ilikua ni usiku kulikua na giza na mimi sikujua nilizimia kwa mud gani. Hofu ilikua kubwa sana kwangu..Kuna baadhi ya watu wengine niliwaona wanafanya mambo yao mengine.Nilimshuhudia mama deo akiwa na chupa kubwa lilokua na kimiminika sikugundua haraka alikuaja hadi pale nilipokua akanigeuza nikahisi kama kuna kitu ananinywesha pale nilishidwa kuvumilia ikabidi niamke tu. Akacheka sana akaniuliza ivi wewe kijana unafikiri unaweza kutudanganya kweli..Mi nilibaki namwimba msamaha tu mama nisamehee akaniuliza nikusamehe kwani una kosa gani pale sikua na jibu.Akaniambia mimi sina kosa ila nimepinzwa na mke wangu nikamwuliA mama kwani kosa lake ni nini ye akabaki anacheka tu.Akaniinua pale akanipa lile chupa akaniambia ninywe kwanza ndo ntajua koaa ni lipi mhh kwa kwwli nilikua nagoma kabisa..Akacheka akaniambia kama bado nampenda mke wangu nikubali tu kunywa daah nilijaribu kunusa nikasikia harufu ya damu mbichi kabisa moyo ukapiga paaaahhh nikamwuliza mbona kam ni dam hii..Akasema ndiyo hiyo ni dam na ni lazima uinywe daah pale niliendelea kugoma mama deo alinitandika bongee la kofi nikamwona anabadilka kabisa sura ya dimba ikaanza kujitengeneza niliogopa sana akaniambia sharti nikishafika pale lazim ninywe.

.Kumuangali mke wngu huruma iliniingia sana n hAli yake ilikua inazidi kua mbaya mam deo akaniambia ili mke wangu apone ilikua ni lazima ninywe ile dam na yeye na mke wangu nikamwyweshe nilianza kujifikiria pale nikaamua bora nifanye kama wanavyotaka ili niokoe maisha ya mke wangu baada ya kumnywesha mke wangu ambaye alikua ameshafunguliwa alianza kupiga chafya pale mfululizo na kufungua macho akaanza kuniuliz tupo wspi hapa mme wangu..Nini kimetokea alikua na maswaki mengi sana mi nikaamua nimmwulize kwani Alikua amemfanya nini mama deo jiran yetu hapo mke wangu aliamua kuanza kunsimukia ilikua hivi....


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom