SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

SIMULIZI: Tembele la uwani (EDGAR MBOGO)

Abou Shaymaa Mwamba upo vizuri kwenye uandishi na una reflect maisha halisi ya watu hongera sana nakupa maua yako, ukiachana na tembele la uwani, nyuma ya mlango wa adui na asali haitiwi kidole una simulizi gani zingine ambazo zipo humu nizitafute maana kwa hizi tu unaonyesha uwezo uliotukuka keep it up brother.
Kwasasa Humu jf ziko hizo hizo ila hili TEMBELE LA UWANI nahc kama limekaribia kuisha so kuna kigongo kingne hicho nahc nitagombana na watu humu kwa arosto 😅😅
 
Kwasasa Humu jf ziko hizo hizo ila hili TEMBELE LA UWANI nahc kama limekaribia kuisha so kuna kigongo kingne hicho nahc nitagombana na watu humu kwa arosto 😅😅
Naandaa kabisa bajeti ya mchango ili japo niwe narusharusha mara kwa mara huku niki onjoy simulizi zako:
Unatukosha sana wasomaji wako humu:
Simulizi zako zote nimebahatika kuzisoma na zote kali:
 
Back
Top Bottom