Mahimbo Jr
Member
- Apr 2, 2015
- 51
- 43
Acheni kumsingizia Laila, si mmelala na huyo mtoto usiku kucha mlimfanya nini?
hata simba ukimdondokea anakimbia kwanza, we unafikiri ni rahisi lazima uweze kwanza isijekuwa ntegoAcheni kumsingizia Laila, si mmelala na huyo mtoto usiku kucha mlimfanya nini?
Tunaombea tu Leila asije akamzunguka Boss wake maana naye ameona kitendea kazi mpaka akatamaniLeo timu Higgno
tutahakikisha tunda linaliwa hadi mtoto adate
Tunaombea tu Leila asije akamzunguka Boss wake maana naye ameona kitendea kazi mpaka akatamani
mtoto Akiutaka apewe tu
Kabisa maana wote hawajui mambo hayoLeyla anazid kumchochea soraya nyavu zikachanwe,eti ngoja nikamjaribu leo kama mzima ngoja wakatone sild wote wawili na mimba juu😀😀😀
Hivi kama Soraya ameondoka na ile simu, Twalib si atakamatwa? Lakini inawezekana Soraya akajua kuwa yule ni Baba yake Higgno ambaye anataka awe mshenga wake hahahaYani Leo akishindwa,itakuwa rasmi sasa higgno ni kiazi,halafu leo chance ni ndogo sana ya kukutana maana akijua kuwa kwao kuna matatizo ndio kabisa jogoo hatawika,labda soraya afanye jambo kusahihisha mapema kwa mzee frank.Soraya wakati flani anaupiga mwingi sana
Ndio.Soraya akicheza kama pele leo anaweza kumpelekea moto higgnoHivi kama Soraya ameondoka na ile simu, Twalib si atakamatwa? Lakini inawezekana Soraya akajua kuwa yule ni Baba yake Higgno ambaye anataka awe mshenga wake hahaha
Kuna watu walijua Higgno akikutana na soraya ndio mwisho wa stori kumbe ndio kwaanza inaanza yaan mambo mengi muda mchache aisee.Hivi kama Soraya ameondoka na ile simu, Twalib si atakamatwa? Lakini inawezekana Soraya akajua kuwa yule ni Baba yake Higgno ambaye anataka awe mshenga wake hahaha
Mambo ni mengi sana, visa vinaongezeka, Idd kule na mpango wake huku, tayari kafanya yake, Higgno anaendelea kuwasogelea wabaya wake, na tayari Kala kiapo kumlinda sorayaKuna watu walijua Higgno akikutana na soraya ndio mwisho wa stori kumbe ndio kwaanza inaanza yaan mambo mengi muda mchache aisee.
😅😅Abou Shaymaa leo pumzika tuonane kesho:
Umetuburudisha sana:
Leo tulale mlango wazi tukimsubiri Soraya:
Kosa ni la Higgno:
Leo nilitaka kuileta mapema ila kwa vile umeniambia nipumzike basi tutaonana kesho jion kwasababu stor za mambo ya usiku zinapendez kusomwa usiku pia 😅😅Abou Shaymaa leo pumzika tuonane kesho:
Umetuburudisha sana:
Leo tulale mlango wazi tukimsubiri Soraya:
Kosa ni la Higgno: