Mine eyes
JF-Expert Member
- Apr 11, 2016
- 6,581
- 7,231
humu humu...Huyo kileo mm namjulia wapi
humu humu...Huyo kileo mm namjulia wapi
Shunie ningekuwa na uwezo ningechora namba ya cristiano ronaldo(7) kwenye mgongo wako hapo kwenye avatar yako sababu hadhithi zako ni za kusisimua sana..alafu wewe si kama wale wahuni ambao hawamalizi simulizi wanaishia njianiInasikitisha sana babe
HahahaShunie ningekuwa na uwezo ningechora namba ya cristiano ronaldo(7) kwenye mgongo wako hapo kwenye avatar yako sababu hadhithi zako ni za kusisimua sana..alafu wewe si kama wale wahuni ambao hawamalizi simulizi wanaishia njiani
Honngera sana mama uko vzr
Niko naendelea na sikulizi ya @ mkufu wa malkia wa goshen..nikiupata huo mkufu nakuletea kama zawadi
Hivi ww ulishawahi soma story ninayoleta haiendi mpaka mwisho??