Simulizi: Nyumba Iliyojaa Dhambi

Simulizi: Nyumba Iliyojaa Dhambi

TEH TEH TEH TEH nacheka kwa herufi kubwa et sehem moja ikikakamaa duh
 
We shunie mbona hivo ,usha anzisha uzi simulizi nyingine na hii je.
 
Shunie mambo tuko pamoja usikae siku mingi namna hiyo basi
 
SEHEMU YA 67

Niliwaangalia kwa makini sana, wasichana hawa wawili walifanana kupita kawaida, kila mmoja alikuwa na kidoti na kila kitu katika mwili wao vilikuwa vikifanana.

Nilishindwa kuelewa yule Esta alikuwa yupi kati ya wale wawili waliosimama mbele yangu.

Niliwaangalia kwa sekunde kadhaa na mmoja kati yao kutoa tabasamu la ghafla, nikaamini kama huyo ndiye alikuwa Esta.

“Huyo hapo!” nilimwambia mzee yule na kumuonyeshea mmoja wa mabinti zake, wakaangaliana na mkewe na kutoa tabasamu.

Sikuwahi kuonana nao hata kidogo, waliniruhusu kuzungumza naye na kuingia sebuleni, hawakunihofia kwa sababu walijua kwamba endapo ningekuwa mtu mbaya basi nisingeweza kwenda nyumbani pale kwa kujiamini kiasi kile.

Tukaingia sebuleni na Esta na kuanza kuzungumza naye, yule pacha mwenzake akaelekea chumbani.

Esta alinichangamkia mno kiasi kwamba mpaka nikabaki nashangaa kwani kule nje alininyamazia ila humu ndani alikuwa muongeaji mno.

“Unajua mimi sikufahamu kabisa, ndiyo kwanza nakuona leo,” aliniambia.
“Najua! Mwanzo nilitamani sana kuongea nawe ila ukaninyamazia, kwa sababu nilitokea kukupenda, nikaamua kuja mpaka ndani,” nilimwambia huku nikimwangalia.

Alionekana kufurahi mno, tuliongea kwa dakika kama ishirini hivi, tukabadilishana namba za simu na kuwaaga nyumbani pale na kunisindikiza mpaka barabarani.

Muda wote huo Halima alikuwa akinipigia simu, sikutaka kupokea kwani niliamini ningeharibu kila kitu. Esta alipoondoka tu, nikachukua pikipiki na kurudi nyumbani.

“Mbona hukuwa unapokea simu zangu?” aliniuliza Halima mara baada ya kumpigia.

“Aiseee wewe acha, nimefanya ujinga mmoja mkubwa sana,” nilimwambia.
“Ujinga gani?”

“Nilikwenda kununua vinywaji, halafu simu nikasahau nyumbani. Upo wapi?” nilisema na kumuuliza.

Aliniambia alipofika na kumfuata huko. Siku hiyo alivyovaa aliniacha hoi sana. Alivalia juba jeusi lakini lile la kishetani zaidi, yaani namaanisha lililokuwa likionyesha maungo yake ya ndani na kuona kila kitu.
 
SEHEMU YA 68

Nahisi alivaa kama kunitega kwani mpaka michoro ya nguo yake ya ndani nilikuwa nikiiona kitu kilichonifanya kugundua kwamba shetani alikuwa na nguvu sana kwani yale mavazi ya heshima ambayo kwa kila aliyoyavaa ulimuona mtu mwema yalibadilishwa na kuwekewa manjonjo ilimradi tu mwanaume akiyaona basi asisimke mwili, tena yalimbana kiasi cha kuyachora maungo yake.

“Leo ni vita,” nilijisemea moyoni huku nikiangalia wezere zake zilivyokuwa zikipishana.

Baada ya dakika kadhaa tukafika nyumbani. Niliibadilisha kwa kiasi kikubwa sana, ilikuwa kama nyumba ya bilionea fulani kumbe alikuwa akiishi mzushi kama nilivyokuwa.

Sebuleni hapo tukapiga sana stori, aliniambia mambo mengi, akajichekesha wee lakini nikasema wewe cheka tu, tabasamu lakini mwisho wa siku safari yako inaishia katika mlango ule paleeee.

“Ila Mungu ameyabadilisha maisha yako, yaani si kama ulivyokuwa,” aliniambia huku akiiangalia ile nyumba.

Muda wote huo kichwa changu kilikuwa kikipiga hesabu kubwa kuhakikisha namuondoa pale kwenye kochi na kumpeleka ndani, tulizungumza lakini baada ya dakika chache, nikamsogelea na kumwangalia lile jicho la nipe nikupe.

“Una kinywaji gani?” aliniuliza.
“Kuna kila kitu, wewe unataka nini?” nilimuuliza.
“Nahitahi yogurt,” aliniambia.

Kiukweli sikuwa nayo, nilimwangalia, ni kweli alihitaji yogurt, nikahisi kuna kitu kwani isingekuwa rahisi mgeni kuja na kuomba yogat.

Kwa sababu zilikuwa zikipatikana madukani nikamwambia anisubiri na mimi kwenda huko.

Nilikuwa na haraka, yaani kama ungeniona jinsi nilivyokuwa natembea kwa kasi kuelekea dukani ungesema muda wowote ule ningeanguka.

Nilipofika, nikanunua na kuanza kurudi nyumbani.

Nilipoingia tu, nikamkuta amebaki na khanga tu.

Hapo ndipo nikapata jibu juu ya kwa nini aliniambia anahitaji kitu ambacho hakikuwepo humo ndani, nilimwangalia, nilisimama huku kama nimepigwa na shoti ya umeme, sikutaka kujua alihitaji nini hapo, haraka sana nikaweka yogurt mezani na kumsogelea.
 
SEHEMU YA 69

Nilipofikia tu, yakatokea mambo machafu kidogo, nikambeba na kumpeleka chumbani kisha kumuweka kwenye kitanda na kurudi sebuleni.

Pale sebuleni nikafungua friji na kutoa barafu ambalo nikalipasuapasua na kuchukua kipande kikubwa na kukiweka mdomoni na kurudi chumbani.

Nilipofika, nikaitoa ile khanga na kuanza kushughulika na mwili wake kwa kuweka mdomo wangu kila kona huku nikiugusa kwa kutumia kile kipande cha barafu kilichokuwa mdomoni mwangu.

Nilimsikia akibadilika kabisa, alikuwa mweupe lakini kadiri muda ulivyozidi kwenda mbele niliyaona mabadiliko kabisa, mwili wake ulikuwa unaelekea kwenye wekundu na sikutaka kumuacha kabisa.

Alilalamika, si kwa maumivu bali kwa raha aliyokuwa akiisikia. Kile kipande cha barafu kilikuwa na nguvu ambayo sikuitegemea kabla, ulikuwa ni kauchawi ambacho si watu wengi sana walikuwa wakiujua.

Niliufanya utundu huo mpaka kipande kile cha barafu kilipokwisha, sikuridhika, nikakichukua kingine na kuendelea.

Nilihitaji kumaliza kila kitu ndani ya dakika chache, faragha, kutumia muda mrefu si sifa bali unaweza kutumia muda dakika ishirini tu lakini utalii wako ukawa mkubwa kuliko hata yule ambaye angetumia masaa mawili.

Sihitaji kukuandikia yote hapa, ila kwa kifupi jua nilifanikiwa kwa asilimia mia moja kiasi kwamba akahitaji kulala hapohapo.

Sikuhitaji hilo, kwenye kitu ambacho siwezi kufanya ni kulala na mwanamke, hasa katika nyumba kama hiyo.

Kama ningelala naye, nilijua kabisa baadaye Esta angeanza kunisumbua, sikutaka ajue kama nilikuwa na mtu, nilihitaji kumuonyeshea kwamba nipo singo na ndiyo maana usiku nilihitaji kuwa huru kabisa.

Basi baada ya kumaliza kila kitu, tukaelekea bafuni, tukaoga na kutoka. Hakunimaliza, kila aliponiangalia, nilijua alikuwa akijiuliza ni kwa kiasi gani nilikuwa nayafahamu hayo yote! “Barafuuuu...” aliniambia huku akiniangalia.

“Unamaanisha nini?”
“Umejifunza wapi? Sikuwahi kufanyiwa kitu kama hiki, na sikuwahi kufikiria maishani mwangu,” aliniambia.

“Hahaha! Kawaida tu, kuna siku ukija, nitakupaka asali,” nilimwambia.
“Unipake asali?”
“Ndiyo!”
“Kwa nini?”

“Nataka niilambe mpaka yote iishe mwilini mwako,” nilimwambia, nilimwangalia, niliona jinsi alivyosisimka.
 
SEHEMU YA 70

“Mh!”
“Ila si kwa leo, usijali, kuna mambo mengi sana yatakuja,” nilimwambia huku nikimwangalia usoni.

Tulizungumza mambo mengi sana na baada ya dakika kadhaa tangu atoke kuoga akavaa na kuondoka zake.

Nilimsindikiza kwa gari mpaka karibu na nyumba yao na kurudi zangu.

Moyo wangu uliridhika sana, nililala na mke wa Issa, haikuisia hapo, nikalala na mdogo wake.

Kutembea na demu wangu lilikuwa jambo dogo sana, unaweza kuona hivyo lakini moyoni mwangu lilikuwa kubwa mno kiasi kwamba sikuwa radhi kuvumilia.

Usiku wa siku hiyo nikaanza kuchati na Esta. Nilitokea kumpenda, nilikumbuka kwa jinsi alivyokuwa mzuri, alivyopendeza na hata kutembea kwa maringo.

Kwenye chatting zangu nilikuwa noma, nilijua kucheza na maneno, nilijua kumsoma mtu kwa kutumia maneno yangu matamu kabisa.

Nilimchangamsha mni, nilitaka ajisikie vizuri kabisa na aone katika dunia hii hakukuwa na mtu aliyekuwa akimpenda kama nilivyokuwa mimi.

Nilimsifia kuanzia chini mpaka juu, kwamba alijua kuvaa, kutembea na hata tabasamu lake lilikuwa likiniua kila nilipokuwa nikilifikiria.

Basi akafurahi weee pasipo kujua kwamba naye nilikuwa namtengenezea mazingira ya kumalizana naye.

“Eti mimi mzuri! Edward una mambo,” aliniambia kwa kutumia meseji.
“Huo ndiyo ukweli, kama nadanganya, kanishtaki,” nilimjibu.

“Uzuri wangu nini sasa?”
“Jinsi ulivyo, yaani kama ni malipo ya DSTV basi wewe ni full package, yaani Premium,” nilimjibu, yaani nilikuwa nikichati naye huku nikitabasamu kana kwamba aliliona tabasamu langu.

Niliendelea kumsifia kwa kipindi kirefu mpaka usiku mnene ambapo nikajiandaa kulala na kusindikizwa na ujumbe mfupi kutoka kwa Naijath uliosema ‘Nakupenda baba watoto, lala salama’.

Je, nini kitaendelea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom