Asanteh sana!Nashukuru muwe na asubuhi njema
Asanteh sana!
Nasi tunakutakia asubuhi njema
HahahahaDaa we acha tuu yaani tunachati weee lakuni hadith holaa
Tam nn hiyo[/QUOTNanhii! Nanhii ha ha haa haa! I mean hadithi yako ni tam sana.
daaaahhh sio poa bwana so mwanaume you have to work hardMzee Baba nakaba mpaka penati, halafu uchambuzikama Shakespeare. Unaandika "crisp".
Mpaka sasa nishaona.
1.Despair
2.Rejection
3.Hope
4.Delusion
5.Betrayal
Naendelea.