Itaisha tu hata usijalMwendo wa Kinyonga. Na kwa mwendo huu sidhani kama itaisha
Usijal nipo nakiandaa kipande kingine ntatupia baadaejaman mkuu tupia basi japo viwili maana utamu umenoga
Asante kiongoz 🥳Bonge ya story
Endelea kufatiliaAsante kiongoz 🥳
Shukran kiongozNzuri
Samahan nilipata changamoto kidogo ndomana nlikuwa kimya muda mrefu lakin nimeona niikatize ili iishe leo nisiwakwaze mnaofatiliastory inasusua sana,unakaa muda mrefu kimya ukija unapost kipande kimoja hadi inakata stimu kusoma
Asanteee sana 🥰🥰🥰🥰🥰🥰🥰Story tamuuu...endeleaaa