SIMULIZI: Notebook

SEHEMU YA SABA ;

Asubh na mapema Edward aliamshwa na mama yake akajiandae ili waende kwa kina Neema
"Mama mbona mapema sana jaman tutaenda hata jion "
"Edward sitak mabishan na wwe me nimeshajindaa nakusbr kibarazan huko jiandae twende "
Edward hakuwa na kipingamiz tena alijiandaa baada ya nusu saa tu alikuw tayar hivyo waliondoka na mam yake had kwa kina Neema .walipolekewa vizur sana pia Edward hakujua kam Neema ni mtoto wa rafik yake mama yake halaf walikuw matajir hivyo alipata jibu mama ake amewaunganisha kwasabab ya huo utajir na ushoga wao na mam yake Neema .

"Huyu ndo kijana wang ee?Aliuliza mama yake Neema baada ya salamu "
"Ester jaman inamaan umemsahau kijan wako kabisa"Mama Edward alimjib mama ake Neema kwa kumuita Jina lake la utoto
"Naona amezid kukuaa tu had natak kumsahau"
"Ndiyo umekuza haswaaa halafu Binti yang Neema yupo wap ,mbona sijamuona tangu nifike "
"Yupo ndan ngoja niwaitie ",Ester alienda chumban kumuita Neema ,baada ya muda alirejea akiwa peke yake ila aliwaambia kuw anakuja muda si mrefu .Baada ya muda kidogo Neema alitoka chumban ,alimsalim Mam mkwe wake mtarajiwa kwa kupiga got ,Edward alikuwa bado yupo kimya ila alikuw anashngaa uzur wa Neema .Macho yake gorol ,uso wake ulikuw mref kiac ,midom minene ,umbo mashallah alibarikiwa na gaun ndef nyekundu aliyokuwa ameivaa ilimpendeza mnoo ukichangnya na rangi yake nyeupe bhas Edward alizid kuw hoii ,Inshort alimpenda na alivutiwa nae kiukwel
"We Edward mbona kimya hivyo humsalmii hata mwenzio "alishtuliwa na mam yake kutoka kwenye mawazo aliyokuw nayo
"Mambo Neema"
"Saf tu karibu nyumban"
"Asante nimeshakaribia "..muda huo akina mama walikuw wananong'onezana mara baad ya dakika mbil Ester na mama Edward waliaga wanaenda kuandaa chai ila dhumun lao wawaache wazungumze wenyewe ,.
Edward alishindwa aongee nin na Neema akaamua kuanzisha maongez
"So Edward umeridhika na mim au hujaridshwa kabisa"
"Kwanin unauliza hivyo Neema"
"Nilisikia ulikuw hutak kuoa ,had sasa ulivyokutana na pisi kal kam mim hujabadil maamuz tu?muda huo Neema anaongea huku kasimama na kujizungusha Edward amuone vizur
"Neema kaa bhn we ni mzur nmeshakuona ,huogop mama akikuona"
"Hawez kuniona wapo mbal bhan "Neema alikaa pemben ya Edward halaf akamkiss mdomon ,Edward alibak anashngaa tu huyu ni mwanamke wa kuoa au vipi mbona mjanja sana jaman wala hana aibu za kike .Alikuja mama ake Neema na kuitwa wakaribie mezan wakanywe chai ,walinyanyuka na kuelekea huko mezan ,Edward alikaa karib na mama yake Neema hlafu Neema alikaa karib na mama Edward lakin kit cha Neema na Edward viliangaliana .
"Eeh Neema utakuja lin kuntembelea na mim"mama Edward alimuuliza Neema
"Ah ntakuja Jumamos mama"Neema alijidai muoga kwel na aliongea kwa adab haswaa
"Nitafurah kwel ,na wewe Edward usiache kuja kumtembelea mam yako hapo"Lakin Edward alishtuka baada ya mama yake kumwambia hivo ,kumbe Neema alikuw akimkanyaga kanyag huku chin ya meza na miguu yake ,mara akimwangalia amkonyeze duh Edward hakula kwa raha kabisa had wanamaliza .Muda wa kuondoka ulifika na waliaga wanaondoka lakin Edward hakuwa na raha hata mama yake alishindwa kuelewa tatizo ni nini.

***********************************************
Naseeb alionekan kumpenda sana Carry japo hat siku 3 hazikupita tang mahusiano yao yaanze lakin Naseeb alikuwa anamjal sana ,kila kitu alimfanyia japo kuw walikuwa hawaish pamoja lakin kila akipata nafas ya kumfanyia chochote bhas aliutumia muda wake vizur hata Jion Carry anapotoka kwenye biashara yake bhas Naseeb anakuwa tayar kashamfata na kurejea wote nyumban .Weekend Carry huwa haend kazin ,hivyo Naseeb pia weekend hii aliamua kutokufanya kaz yyt hata simu yake aliizima maana hakutaka usumbuf wa wateja muda wake aliamua kuutumia kwa Carry ,walisaidiana kufua ,Carry alifua na Edward alikuw akisuza na kuanika ,walivyomaliza waliingia jikon walipika tambi na rost ya main kumbe muda wote huo Mamuu mpangaj mwenzake Carry alikuw anawachora tu na aliumia sana kuwaona wakiwa hivyo.
Carry na naseeb walikuw hawana hata habar walifurahia mapenz yao ,baada ya kumaliza kula walijipumzsha kitandan huku wakizungumza juu ya maisha yao
"Carry unaonaje tukae pamoja "
"Bado mapema sana Naseeb"
"Love bado mapema kivip ,huon tukikaa pamoja itakuw rahis mim kukuhudumia"
"Hubby ,nalitambua hilo lakin me naona si muda sahihi sisi kukaa pamoja"
"Mke wang ,kumbuka una mimba halaf unahitaj mtu wa kukuangalia vizur ,nakuomba Carry tukae pamoja tena itakuw vizur kam ukihamia nyumban kwangu"
"Kuw na subira kipenz"Naseeb alinyong'onyea Carry alimkumbatia ili kumtoa unyonge aliokuw nao ,Walijikuta wanakutanisha ndimi zao na kubadiliishana mate ,Naseeb alianza kuutalii mwil wa Carry kwa mikono hisia ziliwapeleka sehem nyingne kabisa Ila bahat nzur kabla hawajaendlea na mengine mlango uligongwa ,Carry alishuka kitandan na kwend kuufungua mlango ,alimkuta mamuu kasimam mlangon
"Nikusaidie nin Mamuu"
"Shoga angu upo na shemej nin ,naona mnakula raha tu hata hautok nje"
"Mamu kam huna kingine naomba uondoke "
"Hutaniw shogaaa ,haya naomba chumvi nkapike "Carry aliingia ndan na kutoka na chumv alimpatia hkusbr aambiwe asante alifunga mlango tu nakuanz kulalamika alijua fika kilichompelka pale ni umbea tu
"Hii nyumba imenichosha kuna wat wambea sana".
"Ndoman nakwambia uhamie kwangu "Carry alikaa kimya lakin hawakuendlea na mengn had mida ya saa mbil hiv Naseeb aliaga anaenda kwake Walisindikazana ila Carry hakufika mbal alirud nyumbn .
"Naseeb Naseeb"Naseeb alisikia akiitwa na mtu hakufaham ni nan kwasabab giza lilishaingia lakin saut ilikuwa ya kike
"Mbona nakuita unaendlea kwenda hujui natak kukwambia nin"Naseeb ndipo aligundua ni mamu mpangaj mwenzie na Carry
"Mbona mbio mbio mamu unatak nin?"
"Vip kwanza unaelekea wap"
"Nyumban kwang,unazid kunchelewesha sema unachotaka kusema"
"Naseeb hiv Carry ndo mwanamke wako?"
"Ndiyo kwan vip,"
"Yan Carry tang alivyohamia pale kila siku anabadilisha wanaume anawaingiz ndan kwake au asipowaingiza bhas yeye halal nyumban "
"Acha uongo mariam tang lin Carry wang yupo hiv, unamsingizia Carry hana tabia hiyo hta kidogo"
"Nikudanganye ili nifaidike nin ,tena nilimsikia akiongea na sim anamwambia mtu ana mimba na hajui ya nan"
"Daah ok nimekusikia we nenda kesh nitakutafuta "
"Usije kumwambia kam nmekwambia chonde chonde tena ukithubut kusema tu sikwambii habar zake nyingine .Naseeb aliondoka akiwa amefura kwa hasira hatar ,Mari am alikuw anacheka tu ,moja kwa moja alienda kwa Carry alimkuta Carry kakaa mlangon yupo bize na sim yake
"Carry naona unapunga upepo"
"Aah kawaid tu mariam,umetoka wap sahiz mbona unahema hivo. "
"Shoga ang afadhal hata umeniulza maan nilikuwa nawaza naanzaje kukwambia,
"Enhe nambie kitu gani hicho"
"Si nimetoka hukoo dukan njian nkakutana na shemej ,yupo na mwanamke wamekumbatiana na mwanamke mwnyw ana mshep huooo ,"
"We mariam wew acha uongo nimetoka kumsindkz asahv huyo mwanamke kakutan nae WAP"
"Mbona unapanic ,eeh me nmekudokez tu kwaher,ukimwambia utakuw mjinga hutojua ukwel ,me nikushaur kaa kimya halaf me nikimuona tena ntakuita uje kuona.Carry hakujib kitu aliingia ndan tu na kuanz kulia alijisia vibaya kwa habar alizozipata.

************************************************
Bwana Edward alikuw na mihad ya kuonana na Neema ,walikubalian kukutn hotel ,Edward alikuw wakwanza kufika hivyo alikaa kumsubir Neema ,alichelewa kam nusu saa hiv.kidogo anageuka nyuma anamuona Neema kavaa kigaun kifupiiii mapaja yote nje na kiatu kirefu alitembea mwendo wa madaha kila mwanaume aliyekuw maeneo hayo aligeuka kumwangalia ,bhc Neema ndo alizidisha maringo had anafika kwenye meza aliyokaa Edward .
"Umeona mwanamke wako nilivyo mrembo ,wat wote macho kodo apa "
"Hata hamna salamu jamani"
"Aah baba unaonekan mzima tu Mann ,ok uhal gani"
"Neema umevaa nguo gan hiyo lakin"
"Nimekujulia unaanz kuleta habar zingine za ovyo"
"Duuh hapa sijapata mwanamke kwa kwel"Edward alijisemea kimoy moy alikosa cha kuongea akaacha Neema awe muongeaj alivyoona Edward hamsikiliz porojo zake akaanza kuwa bize na Sim wala Edward hakujua anachat na nan aliamua kuliacha hilo lipite tu ,Saa 3 ilivyofika Neema aliaga anaondka kuna sehem anaenda hivyo hakutaka kuongozana na Edward na Edward pia aliona ni afadhal imekuw hiv maan mambo ya Neema yalimchosha .
************""""********"*""""""""****
Moja kwa moja Neema alienda nyumban kwa Naseeb ,mpnz wake wa siku nying sana wanaachanaga na kurudiana .
"Naseeb umeniita kufanya nini ,maana umenitoa mbal kwel na nilikuwa na mtu wa maana".
"Nimekumiss Neema ,tang jana nakuwaza tu *
"Aah wap we si ndo ulinkataa mwanang leo nin kimekupata had unimiss gafla "
"Hivi Neema hujaacha uhun wako tu ,mwanaume gan ataoa mwanamke kam wewe"
"Acha porojo nshameshapata mchumba tayar navyokwambia siku sio nying naolewa"
"Acha utan Ney,ila me sitak kujua hayo kwanza me nmemiss penz lako "Naseeb alimvuta Neema kifuan kwake na kukutanisha ndim zao wala hakutaka kusubir Neema akubal au akatae ila alichokuwa amekizoea Neema hawez mtolea nje ,hivy alitoa mawazo ya Carry kwa kulala na Ney .Asubuh na mapema Neema aliondka japo kwao walishamzoea kwa tabia yake kulala nje ,Naseeb alijiandaa pia kisha akaenda kwa Carry .Alimkuta Carry ndo anatoka kwenda dukan kwake
"Mama kijacho unaend wap sahiz"Naseeb alimchangmkia tu utadhan hakun alichoambiw na mamuu
"Naenda kazin "
"Aah leo usiende me ntaenda kukaa dukan "
"Mmh na kaz zako utamuachia nan "
"Usijal kuhus hilo ,we lala tu bhn me naend kwaniaba yako "
"Sawa hamna tatzo funguo hizi hapa".Bhas Naseeb huyo akaondoka zake kumbe alimpangia kumfnyia ubaya Carry kutokana na taarifa zile alizopewa na Mariam,wakat yupo njian alikutana na mariam tena
"Shemej jana nkamuona mwanaume mwenzio kabebewa maj anapelekewa bafun"hakumsalimia hata alianza kulopoka vitu vya uongo tu
"Mariam nan huyo anayetembea na Carry?
"Akhuu sikwambii tena ndo sponsor wake aliyempa mtaj wa hicho kijiduka chake halaf nilishakwambia hatembei na mwanaume mmoja anatembea na wanaume "Naseeb akapanic sasa ila mariam alijitahd kumtuliza ,Waliachana pale kila mtu akashika njia yake.Jion ilipofika Carry anasubr naseeb arud lakin mpaka saa 2 kasoro alikuwa haonekan ,Mariam alikuw anamchora tu huku anajua kinachoendlea .Carry alichukua sim yake nakumpigia Naseeb lakin iliita sana bila kupokelewa,aliamua kulala tu japo hakuw na aman juu ya hilo ....asubh kumekucha anamtafuta tenaNaseeb lakin hakufanikiw kumpata na sim ilizimwa kabisa ,hakujua Naseeb kapata ttz gan hivy alikaa tu kwa matumain Naseeb atamtafuta .Week nzima ilipita bila kutaftw na Naseeb aidha kwa sim au hata kuja nyumban na hakufungua duka lake maan ufunguo aliondoka nao Naseeb,aliamua kwenda kutembea huko dukan aone kam yupo au hayupo alikuta duka limefungwa ndipo alipata wazo avunje kuful il kam ikiwezekana aweke kuful jipya ye aendlee na biashara yake .
"Kaka samahan Unaweza kunisaidia kuvunja kuful la hapo dukan kwang"Carry alimuomba jiran yake wa hapo dukan ,
"Usijal nakuj ngoja ntafute kitu cha kuvunjia "
"Sawa kaka asante"..baada ya dakika kadhaa yule mkaka alikuja na kuanza kuvunja ,muda huo Carry anaangalia tu yule kaka alvyomlz Kuvunja aliondoka zake kuwah dukan kwake maan wateja walikuw wanamsbr .
"Carry hakuamin alichokiona alikuta duka lake limesafishwa hakuna kitu hata kimoja ,aliishiwa nguv hakuwez kuongea chochote alizimia palepale kwa mshtuko ".

ITAENDELEA ......
 
SEHEMU YA NANE :

Carry alishtuka yupo hospital akiwa amewekewa drip ya maj halafu pemben yake alikuwa amesimam yule muuza duka pamoja na mmama mgen machon mwa Carry wala hakuwah kuonana nae kabla
"Ooh umeamka,pole sana unajisikiaje sahiv"aliongea yule kaka wa dukan baada ya kumuona Carry akifumbua macho
"Samahan nan kanileta hapa hospital"Carry hakujibu swal aliloulizwa bal aliulza swal na yeye
"Sidhan kama unanifaham kwa jina kwanza me naitwa Ahmed au ukipenda niite Meddy ni jiran yako pale dukan ,ndo nilyekuleta hap hospital pamoja na msaada ya huyu mama anaitwa mama sophia alikuwa pale dukan kwang na ndiye mtu wa kwanza kukuona wakat unaanguka "Ahmed alimtambulisha na huyo mama japo hakuonekan kuwa mkubwa sana Ila alionekan yupo kwnye 35 na kuendlea lakin alikuwa na mwili halaf kimo chake kililingan na Carry
"Mdogo wangu unaendleaje "Mama sophia alimsogelea Carry na kumjulia hal
"Kichwa kinaniuma sana "
"Pole uliangukia kichwa na ndio maan maumiv unayapata sasa"
"Mwanangu je yupo salama ?
"Yupo salama usijal na dokta alisem ukimaliza hii drip Anaweza kukuruhus kutoka hapa"
Carry hakujibu chochote alianza kulia tu akikumbuka kile alichokiona dukan bhasi alipata maumiv sana moyon mwake akifikiria kod inaisha karibun ,hana pesa ya kutumia ,na miez kadhaa mbele anatarajia kujifungua je huyo mtoto anamleaje hal ya kuwa hana baba wa kumsaidia majukum bhas alivyozidi kuwaza hayo na kilio kilizid mama Sophia alijitahid kumtuliza kadr awezavyo ila iligonga mwamba had Carry mwenyewe alipoamua kunyamaza na muda wa kutoka hospital ulishafika hivyo mama Sophia na Ahmed walijitolea kulipia gharama za hospital .Walimfikisha had nyumban kwake kisha Meddy aliaga anaondoka maan aliona Carry hayupo sawa na hakuhitaj kusumbuliwa kwa maswal lakin mama Sophia alibak na kuanz kumdadis tatizo nini,Carry alimjibu kifup tu kwamba kaibiwa dukan kwake na ndo kaz iliyokuw inamuweka mjin .
"Usijl mdogo wang ,me nitakusaidia kupata kaz "
"Kaz gan dada"
"Mim si mkaaj sana wa hapa huku nimekuja tu kumsalmia dada yangu ,yeye ana kihotel japo si kikubwa lakin nilisikia anahitaj msichan wa kaz pale ,ikiwa upo tayar kufanya nitakuunganishia isitoshe analipa 5000 kwa siku hapo ukiipta si itakusaida kabla unajipanga kivingine"
"Mim sahiv siwez kuchagua aina ya kaz muhimu iwe halal tu"
"Sawa ni vizur bhas isikilizie hal yako kwa siku mbil hiz ukiona upo sawa utanijulisha ,No yang ya simu hii hapa".
"Asante sana dada mungu akubarik nashukuru sana kwa msaada wako"
"Usijal mamii ,halaf naona muda umeenda nkuache Ila nitamuagiza mtu akuletee chakula "
"Jaman naona hata neno Asante halitosh ,lakin hakun nachowez kusema zaid ya asante.
"Kuw na aman mamiii"bhc mama Sophia alimuag na kuondoka zake ,baada ya dakika kumi alikuja Meddy akiwa na chips yai pamoja na soda aliagizw na yule mama alete ,Carry alipokea na Meddy aliondoka zake wala hakutaka kukaa muda mref,kidogo Mariam aliingia ndan kwa carry bila hata kubisha hod
"Shoga mbona unaumwa halaf husem ,nimesikia sikia huko nje tu kwa watu sijui ulianguka dukan nini kimekusib mwenzangu".
"Mariam sijisikii vizur nahitaj kupumzika tutaongea kesho "
"Mmmmh makubwa halaf yan wewe shukuru huyu jiran yako hapo amesafiri lasivyo ungeona maisha machungu "
"Kwanin unasema hivyo mamu"hapo Carry ndo aligundua wenye hcho chumba cha jiran wamesafir maan tang aje aliwaona mara moja tu na hakuwah kuwaulizia zaid anasikiaga akitahadharishwa na mariam kwamb huy mam ni mmbea"
"Ila mwenzang unanyota ,nimemuona mkaka anatoka hapa Ila sura sijamuona ni nan ety au shemej mwingine "
"Mamu kilichokuleta hapa kwang ni umbea ,toka.tu sitak kukuona nmechoka nahitaj kupumzka ,maswala ya umbea kapige huko na wambea wenzako .Mariam kuona Carry amepanic ilibid aondoke tu hata bila kuaga
************************************************
Ahmed hakuacha kumtembelea Carry japo kam kawaida yake hakuwa muongeaj wala mkaaj kwa carry mara zote humpelekea chakula tu na kuondoka zake .
Baada ya siku 3 Carry alijion afya yake ipo vizur na hakutaka kuendlea kuwa mzgo kwa Meddy na ndan alikuwa na akiba ya pesa alizozipta kipindi ana duka lakin alion ni vyema aanze kufanya kaz ili ajitunzie hela kwaajil ya mtoto wake ajaee hivyo aliamua kumtafta mama Sophia kumjulisha kam yupo tayr kuanza kaz.Mama Sophia alimwambia kesho yake wakutane hapo kwenye hotel ya dada yake ,alimuelekeza tu Carry akapaelewa .Uzur wa mimba ya Carry haikuwa na usumbuf wowote ndomaan aliona haitokuw ngumu kufanya hiyo kaz .
Kesho yake asubuh mida ya saa 2 ndo walikubalian wakutane huko ,hivyo Carey alienda na muda saa mbil juu ya alama alikuwa ameshafika na baht nzur mama Sophia hakuchelewa pia
"Carry una uhakika hal yako inaruhus kufanya kaz?"Mam Sophia alimuulz Carry baada ya kusalmiana
"Ndiyo dada naweza "
"Ok sawa huyu hapa ndo dada yang anaitwa Nancy ,ndo atakuw boss wako n kuhus mshahara nilishakwambia ee"
"ndiyo ulinambia dada lakin sijajua muda kamil wa kuingia kazin na kutoka"
"Kila kitu atakuelekez bahat mbaya mim nina haraka saa 4 naanza safar nasafr kikaz kidogo na nilikwambia me si mkaaj wa huku hivyo huyu atakuw mwenyej wako"muda wote huo wanaongea huyo Nancy alikuw ameuchuna 2 ila alikuw akimnyar Carry alimpandisha na kumshusha tu ,Carry alijiskia vibaya lakin alivumilia tu
"Dada Nancy mbon unamuangalia hivyo mtoto wa watu huwez hata kumkaribisha jaman"Mam Sophy alishindwa kumvumilia dada yake .
"We hayakuhus ilimrad umeniletea mtu we endlea na shughul zako ,ila mmmh na hiyo mimba sijui kam tutawezana ".
"Kaz zote naweza Dada Nancy usijal kabisa"Carry alijitetea maana aliogopa asije kukosa kaz
"We koma kuniita Dada sijazaliwa tumbo moja na wwe ,na wewe mama sophy unasubir nin si ushaaga unaondoka wewe"
"Yamekuw hayo tena jaman mmh kwaher Dada me naenda ,Carry ukiw na tatizo lolote usisite kunitafuta nitakusaidia pia umzoee tu dada yang ndo jinsi alivyo "Mam sophia aliwaaga na kuondoka zake .Carry alibak anashangaa tu haelew afanye nini na mwenyej wake hakuw na mpango wa kumwambia cha kufanya
"Dada nenda kule jikon kaoshe vyombo ,ukiendlea kusimama hapo ujue jion hutopewa chochote "Carry aliambiwa na mmoja wa dada waliokuw wamevalia sare hivyo alihis tu na huyu atakuw ni mfanyakaz wa hapo japo hakuw na uhakika sana carry alimjib tu asante halafu akaelekea kule jikon kam alvyoelekezwa na yule msichana ,aliwakuta wasichan wengine wawil mmoja akiosha vyomb mwingin alikuw anakatakata mboga za majan ,walivyomuona Carry wakaanz kucheka tena kicheko cha kinafki kabisa ,
"Mmh wananchek nilvyovaa au vip,lakin mbona wat huvaa madela au lang limechanika ,aah na hii mimba nizae tu maan nmechoka kuvaa madela maana wat watancheka sana "Carry alijiwazia mwnyew na kujijibu mwenyew ila aliona hakun sabab ya kuwafikiria hao .
"We ndo mfanyakaz mpya eee"mmoja wa wale wasichan alimuulza
"Ndy ,naitwa Carry".
"Unataja jina umeulizwa mfyuuu"mwingine akadakia halaf wakacheka wote wakagonganish mikon yao
"We chukua hela hapo ,uende gengeni ukanunue naz,nyanya,karot hoho ,na vitunguu "
"Gengen ndo wap me sipafahm"Carry alijib kinyonge kwel
"Kamuulize boss wako huko sisi hatupo hapa kwaajil ya kujib maswal ya kijinga kama hayo ".Carry hakuwa na la kuongeza zaid alichukua shilling 3000 ilikuw juu ya mfuniko wa ndoo pamoja na mfuko kisha akatok huko jikon had huku sehem wanayokul wateja il amtafte Nancy amuulize genge lipo wap,alimuona Nancy amekaa anakunyw chai alimfata na kumuuliza
"Dada samahan naomba unielekeze gengen ".
"Mshenz kwel wewe yan mim ndo nakulipa halaf unipe kaz ya kukuelekeza au na wewe utaweza kunilipa eeh na nilishakwambia mimi sio dada yako"Nancy alichukua ile chai na kummwagia Carry baht mbaya ilimuunguza mguun Carry alipiga kelel za maumiv na kuanza kulia,yule msichana aliyemuelekeza aende kuosha vyomb alikimbia kuja kumwangalia ,Nancy hata hakujal aliondoka zake ,
"Jamni ungekuja kuniuliza mim kwanini umemuuliza yeye lakin"...yule msichan alimwambia Carry huku akimpa hudum ya kwanza kwa kumpaka asal kwenye eneo aliloungua
"Wale wasichan walionituma wamenambia nkamuulize yeye"
"Nilijua tu Jack na Jully lazima wakufanyie huo ujinga,siku nyingine kam unatak kuuliza kitu bora uje uniulize mim na usimuite Nancy dada wala mama hapend kuonekan mkubwa na unavyomuon hvy ana miaka 40 na kitu usikute anakaribia miak 50 huyo "kabla Carry hajajb chochote Jack alikuja kuingilia maongez yao japo hakusikia wanaongelea kitu gan
"We Asha acha kumlea huyo mjinga ,muache aende gengen muda unaenda tutapika saa ngap"Hapo Carry ndo alijua huyu anayemsaidia anaitw Asha
"Jack jaman huon kam kaumia huyu mpunguze roho mbaya bhan "
"Roho mbaya unaijua wewe ?
"Sitak kubishan na wewe Jack we endlea na mambo yako me gengen nitaenda "Asha alimwambia Carry amsbr hapo anaenda gengen lakin alivyotoka Jack alimwambia Carry aende jikon akaoshe vyombo ,Carry alijivuta kwa tab sana maan mguu ulikuwa bado unamuuma ,alikuta vyombo vipo vingii haswaaa ,aliosha vyomb vyake na siku nzima iliisha anaosh vyomb tu hakufanya kaz nyingine wale wengine walipika na Asha alikuw akihudumia wateja .Ilivyofika saa mbil na nusu usiku Jack na Jully waliingia kwnye chumba kidogo wanakitumiaga kupumzikia na kubadilisha nguo waliingia ili wabadilishe nguo walionekan kuna sehem wanaend usiku huo Carry hakuelew kinachoendlea ila Asha alimwambia Carry ye akamuage boss wao alipwe pesa yake akapumzike ,kabla hajafnya hivyo Nancy alianz kupayuka kwa saut kwamba hela za mauzo siku hiyo hazionekan na alitaka kumfahm alyeiba zile pesa ni nan ,Jack na Jully walikana walijiwah na kumtupia lawama Carry ndo alyechukua hzo pesa,
"Siku ya kwanza tu unaiba hela ukikaa hapa siku mbil tu si utanifilis mtaj wang na leo hupat hata 50 yangu mpuuz wewe na utoke hapa "Nancy alianz kumvuta Carry na kumtoa nje aondoke
"Lakin mim sijachukua hela yoyote wanansingizia tu "Carry alianz kulia na Nancy hakujal hat kumdhalilisha mtoto wa watu wakt anamvuta vile mara akatokea mbaba mmoja anayejulikana kwa jina LA big daddy kutokan na kupenda kutembea na watoto wadogo pia alikuw mtoaj sana wa pesa na alikuw mteja wao mkubwa pale
"Nancy acha hizo unamdhalilisha mtoto wa watu "
"Aah big daddy acha adhalilike tu huyu mwiz ameniibia pesa zang".
"Shingap me nkulipe "..
"Laki mbil tu hata sio nyingi"Nancy alijib harak bila kufikiria hal ya kuw hakupoteza kias hicho cha pesa.
"Sawa nitakulipa hela zako muache aende tu "
"We unajiliza nini si ushasikia kinachoendlea ondoka hapa harak "Carry alijikokot na kuanza kuondoka huku akiuburuza mguu wake alioungua na chai ,huku nyuma aliwaacha waendlee kuzungumza wala hakuwez kumwambia big daddy asante
"Nancy nifanyie mpango huyu mtoto nmemuelewa sana"big daddy aliendelea kuzungmza
"Aah una shingap kwanza halaf mbona Jully yupo unamtakaje mtoto mshamba kam yule isitoshe ana mimba kwanza .
"Aah achan na Jully me simtak ,we fanya mpango nimpate nimempenda sana ikiwezekan hat hiyo mimba mtolee me natak nmpendezeshe "
"Khaaa we Big daddy mav ya kale hayanuk Jully mbona mzur tu achan na huo mzigo unaotak kujibebsha na nuks kabisa kwenye maisha yako""
"Nimekwambia Jully simtak tena ameshakosa ladha huyo ,we kam hutak hela sema nimpe kaz mtu mwingine "
"Pesa nataka.Ila useme ni shingap kwanza"
"Nitakupa 3 million na ukifanikisha kutoa hiyo mimba ntakuongezea "
"Sema kwel ????aah bhas usijal nitegemee kwenye hilo ,lakin advance muhimu "
"Ok chukua mil 150 hii apa nyingine ntakupa ukimaliza kaz "Big daddy alitoa hela na kuondoka zake akiwa ameahid kesh yake atarud kuchukua jib lake amefikia wap.



ITAENDELEA .......
 
SEHEMU YA TISA ;

Carry wakat yupo njian anajiburuza kutokan na maumiv ya mguu aliyokuw nayo alikutana na Meddy
"Carry mamii mbona kinyonge sana shida nin mama"
"Amna kitu Meddy,uchovu tu "
"Unaonekan haupo sawa kabisa kwanzia unavyotembea had uso wako unaonekan umevimba kwa kulia ,nambie una tatizo gan nikusaidie "
"Meddy nimeshakwambia uchovu tu ,isitoshe hili giza linakudangnya tu hunion vizur "
"Nisibishane na muhusika sana jap sijaridhika kwa hal ninayokuona nayo,bhas twende nkupeleke ukale kwanza half ntakusindikiza nyumban "Carry alifikiria kukataa Ila akakumbka amefanya kaz nying siku nzima lakin chakula alichopewa hakikukidh mahitaj ya tumbo lake hivyo hakuwa na ujanja wa kukataa ,walienda sehem tu wanayouza chips Carry aliomba kufungiwa atakul akifik nyumban ,Meddy aliamua kusimamish pikipiki maan alimuon Carry amechoka sana asingewez kuendelea kuhimil kutembea,walivyofik nyumban Ahmed hakuingia ndan aliishia nje na kumuahd Carry atarud asubuh kumuona Carry hakumpinga zaid alimshukuru kwa msaada aliomfanyia .
Carry alifungua chakul chake na kuanza kula huku akiwa na mawazo mengi mnoooo machoz yalikuw yakimtiririka mashavun mwake na hakuw na mtu wa kuyafuta wala wa kumuuliza ana tatizo gan japo alikuwa anataman atoe ya moyon apunguze uchungu ,aliwaza kwanza aangalie akiba yake ni shingap il aweze kuanza biashara nyingine maan kwa mateso aliyoyapata kwa Nancy hakutaka kusikia kabisa habar za kurud huko ,alinyanyuka kivivu na kwenda kuangalia kwenye bag lake alipohifadh pesa zake ,alitoa nguo taratibu had chin kabisa lakin hakuon pesa pale ,"mungu wang !!!!!Carry alishtuka na mapigo ya moy yakaanza kwenda mbio ,"Pesa zote niliweka hapa na nakumbuka kabisa ilikuwa laki 4 sasa zipo wap jamani "Carry alijikuta anauliza swal kana kwamba anamuuliza mtu hapo chumban ,
"Uwiiiih nimekumbuka nilishawah kumuonesha Naseeb hiz pesa atakuwa amezichukua na amezichukuaje bila mim kujua "Jibu la swal lake lilipata majibu japo hayakujitosheleza ila kidogo ilimpa mwanga asiendlee kutafut zaid
"Kwanin napitia haya lakin,nimekukosea nini mungu wangu unaniadhibu kiasi hiki ,nateseka naomba mama yang anirudishe nyumban anisamehe makosa yangu najua muhusika wa hii mimba sitompata tena lakin naahid ntampenda sana mwanangu nitakayemzaa "Carry alijikuta akiongea kwa saut peke ake aliona afadhal apunguze uchungu wake kihio kuliko kuumia ndan kwa ndan ,isitoshe pesa alizokuw akizitegemea ndo hazipo tena alijuta sana kumfaham Naseeb na kumuamin kias kile aliliaaa sana had akapoteza faham palepale.

******""""*****************************************
Edward changamoto yake kubwa ilikuw Neema ,mara ya kwanza kumuona alimpenda sana lakin alivyomfaham tabia zake kwa siku chache tu alitokea kumchukia kupita maelezo aliamua kumueleza mama yake hatak tena kumuoa Neema
"Mama samahan naomba kuongea na wewe"Edward alimuona mama yake akiwa bize anaangalia taarifa ya habar hivyo aliona ni busara kutumia omb la kuongea nae maan mama yake kwnye taarifa ya habar alikuw habanduki
"Edward huon naangalia taarifa ya habar hapa ,matukio ya muhimu na unajua kabisa huwa sipend kusumbuliwa muda kama huu"
"Najua mama ndoman nmekuomba mama na usiponisikiliza mim mwanao utamsikiliza nan tena"
"Nitamsikiliza mwanangu Jescar akirud kwanza nimeshamkumbuka mwanang sijui atarud lin"
"Mama maswala ya Jescar yaache bhana niskilize mim nna tatizo kubwa "
"Jaman we mtoto haya sema unashida gani "ilibid azime TV kwanza maan wasingesikilizana kabisa
"Mama nisamehe kama nitakuudh mama yang kipenzi,mama ni hivi me sitak kumuoa Neema navyoona hafai kabisa kuw mke yule"
"Edward hapo hapo kwanza hafai kuwa mke?mtoto wa watu anaheshima kias kile mama yake ni rafik yang wa muda mref sana najua jins alvyomlea mwanae vizur"
"Mama yule muongo tu hana heshima wala hana sifa ya kuwa mke bora "
"Mwanang sitak uniabishe kwa rafik yang Ester wala sitak uwe sabab ya kuharibu urafik wetu na Ester ,nakwambia Neema utamuoa na nmeshampenda Mkwe wang mwenyewe "
"Mbona mabishano kuna nini jamani hapa "maongez yao yalikatishwa na baba yake Edward Mr Derrick kwa kuuliza swal lililofanya wote wakae kimya kwa muda
"Mume wang afadhal umekuja maan ulikuwa bize sana nkashindwa hata kukupa taarifa ya swala hili "Mama Edward aliendeleza maongez
"Enhee nipo hapa nieleze ni jambo gan hilo mke wangu".
"Nmemtafutia Edward mwanamke wa kuoa lakin yeye hatak anadai hana sifa za kuitwa mke "
"Huenda ikawa kwel mke wang ungemsikiliza mtoto na maswala ya kuchaguliana yamepitwa na wakat".
"Afadhal baba umenisaidia maana mama hanielew kabisa"Edward alisem kwa ujasir baada ya kupata mtetezi
"Hiv baba Edward unajua bint mwenyew ni Neema mtoto wa rafik yangu Ester ,unahis hapo nmekosea kufanya chaguo?".
"Aah kumbe halaf huyo binti tangu nmemuona akiw mdogo sijamuona tena ,lakin kama ni huyo hata mimi sina kipingamizi kwa kwel nitakuunga mkono mke wangu"
"Yan Mzee na wewe unabadilika tena unamuunga mkono mkeo "Edward aliongea utadhan Yatima
"OK tusibishane na sipo upande wa mtu yoyote ,kesh itabid huyo Neema aje kushinda hapa nyumban nimuangalie vizur halaf baada ya hapo nitatoa maamuz anafaa au hafai "Mr Derrick aliamua kuzima hiyo mada kihivyo
"We kila siku upo busy na biashara zako haswa hiyo Golden lodge ndo unashindia huko utadhan ni nyumban kwako ,unaona matatizo mengn kam haya lazima uwepo uyatatue "
"Jaman mke wang tukalale sasa mengine tutazungmz kesho ".Edward alibak ukumbin huku akiwa amechukia kitendo cha baba yake kutokumuunga mkono ,na mama yake aliwasiliana na Neema kwamba wanamuomba kesh yake aje ashinde nao nyumban

Asubuh haikukawia kufika ,kila mtu aliamka na shughul za hapa na pale huku wote wakisubir muda atakaokuja Neema ,mida ya saa 5 Neema alifika nyumban kwa kina Edward alivaa gaun refu jeus alijitanda na kimtandio chepes cheupe ,na kiatu chake simple ,alibeba na zawad kwaajil ya wakwe zake watarajiwa na zawad ya Edward pamoja na vitu vingine vya kupika mchana ,Edward na mama yake walimpokea vizur Neema maan wakat huo Mzee alikuw ndan ,baada ya muda kidogo alitoka chumban na kuja seblen kumuona Mkwe wake ,Neema alinyanyuka na kumsalmia Mzee Derrick kwa kupiga got kama kawaida na kuwa mnyenyekevu haswa mbele ya wakwe zake Edward alichoka kwa tabia ya uigizaj wa Neema hakuelewa angetumia njia gan kuwashawish wazaz wake wamkubalie omb lake la kutokumuoa Neema .
Mzee derrick alimtaman Neema tayar maana alikuw mdhaifu sana kwa wanawake hivyo hakutegemea ad mke mwana wake angemtaman alibak akimkodolea macho tu na kujibaraguza pale .Bhas waliongea ongea kidogo Neema akaomba aingie jikon Kupika maan hakutak kumsumbua mama Mkwe wake ,na alichagua kupika pilau nyama huku akiomba kusaidiwa na Edward ,Edward hakukataa na mama yake ndo alifurah haswaaa akaona kwel hajafanya makosa kumchagua Neema ,na baba Mkwe alikuwa anawaza atapataje namba ya simu ya Neema kwasabab alikuw akiogopa kumuomba mkewe ,lakin alifanya jitihada zote alifanikiwa kuiba namba ya Neema kwa sim ya mkewe .
"Neema unajijua we ni muigizaj mzur sana".Edward alimwambia Neema wakat huo Neema alikuw akibandika mboga jikon (nyama)
"We ndo unatakiwa kunjua mim nilivyo na si hao wazee "
"Dah unamaanisha nin Ney ".
"Namaanisha lazima utanioa tu "kisha Neema akacheka akaendlea na kaz zingine Edward alikosa cha kusema alishikwa na hasira tu aliamua kutoka jikon na kwenda kupunga upepo nje ,Mzee derrick alimwambia mama Edward akamwangalie mwanae nje ana matatizo gan kisha yeye akatumia huo upenyo kwenda jikon alipo Neema .
"Shikamoo baba "Neema alimsalmia baada ya kumuona Mzee Derrick akiw amesimam kando yake
"Aah jaman mbona ulishanisalimia "
"Nmeshtuka kukuona gafla baba ndoman nmejikuta narudia salam samahan sana"Neema aliongea kwa adab
"Usijal ,Ila umependez kwel ,halaf nina mazungmzo na ww ukishatoka hapa.
"Asante ,mazungmzo yanahusu nini?
"Ya kawaida tu ila hupasw kumwambia Edward kam nataka kuongea na ww ibak siri yang me na wewe,kwhy ukitoka hapa nitakutafta na nitakuelekeza sehem ya kukutania ,"hakusubir hata Neema ajib alitoka haraka asije kukutw na mkewe jikon huko .
Chakula kilikuwa tayar mama Edward na Ney walisaidiana kutenga mezan muda wote Edward alikuwa kmya na si mwenye furaha alipoulizwa tatzo alijib anaumwa tu .
Kila kitu kilienda vizur na Neema aliaga anaenda kwao na hakuna aliyemkataz maana alitengeneza jina lake vizur haswa maana aliigiza kam mwanamke bora anayewez kuihudumia familia .Alivyotoka tu baada ya nusu saa Mr Derrick alimuaga mkewe kuna sehem anaenda atawah kurud il wazungumze mipango ya harus ya Edward na Neema ,kumbe alikuw anamuwah Neema na alimtumia ujumbe wakutane hotel moja kubwa pale mjin na ilikuwa maaruf hivyo Neema alikubal kupitiliza had kwenye hiyo hotel .

***************""""""********************†*********
Carry alizinduka asubuh akiwepo hospital tena ila safar hii alikuwepo na Asha
"Carry umeamka"
"Asha mbon upo na mimi hapa"
"Nitakueleza usijal tulia tu upumzike Carry "carry alikaa Kimya kwa dk kama10 lakin alirudia kumuulz swal lile lile Asha kwanini yupo nae hospital
"Carry jan ulivyoondoka kazin Nancy alinambia nkuletee hela yako uliyofanya kaz Jan,alimpigia simu mama sophy sim akamuelekeza unapokaa ndip nkakukuta umezimia tukakuleta hospital na Nancy baada ya kumjulisha nlichokikuta"
"Asante Asha"
"Usijal ,lakin daktar amesem hutakiw kufanya kaz ngum wala kukaa na msongo wa mawazo lasivyo utahatarisha hicho kiumbe tumbon "
"Mawazo hayaepukik Asha" kidogo Nancy alikuja na daktar kuangalia maendeleo ya Carry na kumruhus aende nyumban .
"Carry unaish na nan?Nancy aliuliz baad ya kutoka hospital
"Peke ang"
"Ooh pole sana ,itabid leo ukakae nyumban kwang utakuwa na kina Asha had afya yako ikikaa sawa ndipo utaendlea na ratiba zako .
"Hapana mimi nitaenda nyumban kwang"
"Carry najua jana nimekukosea sana ila naomba unisamehe mpnz twend ukakae kwang ili nirekebishe makosa nliyokufanyia ,na isitoshe hata mwil wako hauna nguvu bado "
Carry alishangaa kwanza imekuwaje gafla aombwe msamh na Nancy wakat uhalisia wake ni mkorof sana ..aliwaza aliona akubal tu kwasabab ni kwel hakuwa na nguv hata za kutembea .Nancy alifurah kwa uamuz wa Carry kukubal kukaa kwake maan alijua issue yake itafanikiwa kirahis ,Carry hakujua chochote kinachoendlea aliona kafanyiwa msaada wa kibinaadam tu.
Walimfikisha nyumban kwa Nancy ,kisha Nancy alimuachia jukumu Asha la kumuangalia na kuhakikisha anakula na kunywa dawa alizopewa hospital
"Carry ukipona nakuomba uondoke hapa usiendelee kukaa hapa".
"Kwanini unasema hivy Asha"
"Hii nyumba Ione kubwa hiv na nzur sana lakin iogope Sana"
"Unanitisha Asha ujue"
"Usijal lakin sikiliz nachokwambia "kish Asha alitoka kwenda Kupika na kumuacha Carry akiw anatafakar yale maneno...
Nancy alienda kuonana na Big daddy kumpa mrejesho
"Sikia nikwambie big ,mtoto yupo nyumban sahiv kanaumwa sijui Ila me nimekuja kukuomba hela ya matumiz"
"Jana nmekupa hela leo unatak hela ya matumiz ya nini?"
"Huyo Carry unafikir atakula nini siku zote akiw kwangu isitoshe asahiv naenda kumnywesha dawa ya kutolea mimba akizidiw me namfanyaje "
"Mwanamke unapenda hela wew haaa na ole wako nisimpate hela zang zote utarudisha "
"Acha manen yako bhn we kwan huniamin?
"Nakuamin kwhy baada ya siku ngap atakuw mzma nije nimchukue nkamfungie sehem tule raha za maisha"
"Usiwe na harak mim nitakufat mwenyewe mambo yakienda sawa "Big akitoa lak 5 na kumpatia Nancy .Moja kwa moja Nancy alipitia kwa shoga ake ampe dawa ya kutolea mimba ,alipewa dawa ya kienyej tu aichemshe na kumpa anywe baada ya nusu saa aliambiwa itaonesha matokeo .Nancy alifika nyumban na kumkuta Carry amelala wakt huo Asha alikuw akiangalia TV .
"Asha heb nanda kule kazin kasimamie vitu viende sawa maana akina jack nawajua vizur wanaweza wakafanya mamb ndivyo sivyo "Nancy alitumia huo ujanja kumfukuz Asha il asijue anachotak kukifanya Asha hakuw muongeaj mbele ya Nancy maan kwa ukal wake aliokuw nao hakun hata mmoja alyekuw na uwezo wa kumpinga kitu.Nancy aliingia jikon na kufanya kama alivyopewa maagizo kisha akaenda kumuamsha Carry anywe dawa .
"lakin mim nina dawa zang nmepew hosptal "
"Hii itakuponyesh haraka zaid nilipewag na Bibi yang inatib magonjwa yote "
"Mmmmmmmmmh"
"Unaguna nini au Carry hutak kupona?,nakuonea huruma tu jins ulivyolegea kwhy me nataka upone"
"Sawa mama nataka kupona lakin dawa ya kienyej mmmh".
"Ilikuw Dada sahiv mama duh hii kal".
"Nisamehe nilijisahau "
"Kunyw dawa hayo yaache maana tutaharibiana siku tu"Carry alisita sita kunyw dawa lakin mwisho alikunywa yote na kumfanya Nancy afurah sana .




ITAENDELEA ............
 
SEHEMU YA KUMI:

Baada ya nusu saa Carry alianza kulalamika tumbo linamuuma alianz kulia kwa maumivu na damu zilianza kumtoka ,Nancy alijua mamb tayr yameiva hivyo alienda kufunga mlango vizur na madirisha aliyalock il watu wasisikie kelele za Carry
"Dada naomba unipeleke hospital nakufa mim naomba unisaidie "Carry alikuw anajigaragaz chin huku akiomba msaada kwa Nancy
"Tulia mdogo wang tumbo litapona tu ".
"Dada nisaidie nakuomba "Hal ya Carry ilizidi kubadilika na damu zilizid kumtoka ,Nancy alivyoona hivyo ilibid ampigie simu Big aje na daktr wake
"Big ukichelewa mtoto wa watu anakufa nakwambia "
"We Nancy umezid ulishndw nini kunambia nmpeleke kwa daktr wang kam ulikuw huwez kaz"
"Huu sio muda wa kulaumu leta daktar haraka"Nancy alikata simu na kuanza kuhaha maan dam zlizd kuvuja kutoka kwa Carry .Big hakuchelewa sana kufika walimkuta Nancy amekaa seblen akiwasubir
"Mgonjwa mwenyew yupo WAP"daktr aliyejulikan kwa jina la yusuph alimuulz Nancy
"Yupo chumban ,kule chumba cha mwisho nyie nenden tu"Nancy alisimama kwenye Cordo na kuwaonesha chumba alichop Carry,Big na doctor walikimbia had kwenye chumba walichoelekezwa na Nancy walifungua mlango na kumkuta Carry amelala chin huku akiwa hajitambui
"Doctor mzima kwel huyu?big aliuliza huku ametoa macho na wakat huo doctor aliinama na kuangalia mapigo yake
"Ni mzima lakin inabidi tumuwahishe hospital akaongezewe dam lasivyo tutampoteza "hawakuw na muda hata wa kumbadilisha zile nguo doctor alimbeba na kuanza kutoka nae nje huku big akifata nyuma nyuma ,Nancy aliogopa kabisa kwenda maana alikuw na kes ya mauaj kabisa ,bahat nzur Asha alikuwa anarud nyumban hivyo alivyoona Carry anaingizwa kwenye gari aliamua na yeye aunganishe safar ya kwenda hospital .

**************************************************
Mr derrick alifika wa kwanza Tiffany hotel ,Neema alikuw bado hajafika hivyo aliamua kuchukua chumba na kumsubir .Baada ya muda mfup Neema alimpgia simu na kumtaarufu kwamba ameshfika yupo nje ,Mr Derrick alimtajia No ya chumba alichopo na kumtaka aende kule ,Ney hakukataa alifanya kama alvyoambiw ,alifika chumba no 102 kisha aligonga mlango Mr Derrick alienda kufungua mlango na kukuta Neema kasimama huku amevalia kigaun cha blue kifupiii kilichoacha mwil wake waz,na kiatu cheus kirefu ,na wallet yake nyeus nywele zake ndef alizibana ,Mr derrick alishangaa kumuona kwenye ule muonekano aliokuw nao maan alionekan mtu tofaut kabisa .
"Umependeza sana jamani we mtoto ".Mr derrick alimwambia Ney huku akifunga mlango baada ya Ney kuingia ndan ya chumba
"Asante sana "alijibu kisha aliket kitandan huku akijitahid kuachia paja lake nje lionekane vizur
"Dah we mtoto utaniua jamani "
"Hiv umeniitia nin hapa mkwe wang "
"Aah Ney hujaelewa tu mpaka sahiv jaman"
"Sijaelew natak unieleweshe"
"Neem haijalish we ni mchumba wa mtoto wang lakin me nimetokea kukupenda sana nahitaj nkumiliki ,Mimi huwa sipend kuzunguka zunguka san"
"We mzee wewe halafu na mwanao nimuachie nan?
"Aah utakuwa nae ila nachotaka niwe na wewe"
"Mmmmh ,utawezana na mashart ntakayokupa?
"Chochote kile utakachokisema nipo tayar"
"Nachotaka umlazimishe mwanao anioe mimi na ikibid week ijayo jumamos iwe harus yang na mwanao, na gharama zote utagharamia wewe "
"Hicho tu au kuna kingine?
"Vingine vitafuata taratibu Ila cha kwanza nataka unitimizie hicho".Neema nia mipango yake ilikiwa lazima aolewe na edward kwasabab alishachoka maisha ya kudanga na alitaka mwanaume mwenye hela kwahiyo alikubal kuw na Mzee derrick na walianzisha mahusiano yao ya sir ilmrad afanikiwe akitakacho.Mida ya saa 5 usiku Neema alitaka kuondoka kurud kwao hivyo Mr derrick aliongozan nae kwenye gar lake na kumpeleka had nyumban kwao alimpatia pesa za matumizi Neema alimshkr kisha alianz kutembea taratib kulifuata get la nyumban kwao .
"Haaa mama mbona hujalala mpka sahiz"Neema alimkuta mama yake akimsubir Getin
"Hiyo ndo salamu?
"Jaman mama shikamooo "
"Nimekuona vizur unavyoshushw kwenye gar hapo na umevaa hivyo hujui we ni mchumba wa mtu?
"Umemuona alyenishusha?Neema alishtuka maana hakutaka kabisa mama yake ajue kinachoendlea yeye na baba mkwe wake
"Na lait nngemtambua sura wallah nngekuja kuwafnyia fujo hapo"Neema kusikia vile alishusha pumz kidogo
"Mama twende tukaongelee ndan tusifaidishe watu hapa nje "waliongozana na mama yake had seblen Neema alivua viatu vyake na kukaa ampe taarifa za mipango ya harus maan kuhus kushushwa na gar pale nyumban hakuna kama ni tatizo
"Mama jumamos harus yang "
"Mweeeee ,mbona gafla hivyo nan kapanga hayo"
"Nilvyoenda huko kwa wakwe zang leo ndo tulichokizungmz na kila kitu atagharamia baba Mkwe wang"Neema alidanganya
"Jaman nafurah sana kuona bint yang unaolewa nitamtaarifu dada kesho aje tupange mipango vizur ikibid tukatane familia zote mbil ,lakin vip sasa kuhus hal yako umeshamueleza ukwel mwenzio"
"Mama umeshaanza nikimwambia sahiv nmeathirika kutakuw na ndoa kwel hapo?
"Kumbuka unavyomfanyia mwenzio sio hak kabisa,unamuambukiza kwa makusud ,na isitoshe sikuhiz hautumii dawa zako una matatizo gan mwanangu"
"Mama huyo shetan wako sijui Big sijui nan ndio sababu wa kila kitu ncngekuwa mgonjw mim sahivi nilvyokwambiaga tabia ya mumeo kunibaka mara kwa mara ungeniamin nisingekuw mgonjwa mim sahv mama "
"Mwanang naomba unisamehe hayo yameshapita,ilikuwa umasikin tu ndo ulionifanya nivumilie yote haya najua unavyojisikia mwanang "
"Mama nakulaumu sana juu ya hal yang lait baba ang angekuwa hai nisingepitia nilyoyapitia mim ,na wala tusingekuwa waathirika sahiv"Neema aliondoka seblen pale huku akilia alienda kujifungia chumban kwake,simu yake iliita na mpigaj alikuw ni naseeb
"Vip mama lao upo".
"Nipo "Ney alijibu kinyonge maan alikuw bad analia lakn hakutaka naseeb ajue chochote alilazimisha aongee kawaida
"Njoo bhc rode club nimekumiss sana"
"Upo na nan"
"Peke yang ndomana nmetaka campany yako"
"Nakuja sahiv"Ney aliona bora akapoteze mawazo huko hivy alitoka hata bila kumuaga mama yake .
Alifika kule rode club na kumkuta Naseeb ameagiz vinywaj vyake tayr
"Agiza na wewe mama leo nina hela "
"Leo umepata hela wap mbon unatamba sana"
"Mimi siku zote huwa nina hela lakin leo nimepata hela za kuchezea,kuna demu nmemuibia sa mzgo niliouiba nmeupiga bei leo ndo nimepew hela kwhy tumia mam kadr uwezavyo"
"Dah hujaacha mamb yako tu"
"Aah bhana we kunyw mama hayo tuyaache"
Walipiga story sana na muda ulikuwa umeenda ,Neema alikuwa ameshalewa tayar na Naseeb alikuw amelewa pia walichukua chumba kwenye lodge ilyokuw karibu na club ile kwa akil za kilev Neema alianza kulopoka
"Naseeb mim ni muathirika ,nmekuambukiz na we we hahaha"
"Neema acha utan"
"Hahaha natania tu ,kumbe unaogop"Neema alikuw anaongea saut ya kilev hivyo Naseeb hakutilia maanan walijitupia kitandan na kulala.
*************************************************
Carry alifikishwa hospital akiwa hajitambui bado ,walianz kuhangaikia utaratib wa kumuongezea dam na kumsafisha ,bahat mbaya kat yao hakuna hat mmoja aliyeweza kuendan group la dam na Carry
Big alichanganykiw na ukiangalia ilkuwa usiku wangefanyaje endapo watashindw kuokoa maish ya Carry ,aliona jela inamuita taratibu ,alikumbuka mwanae wa kiume Alex alikuw na group O hivy alimtafuta na kumtaka aje hospital harak iwezekanavyo.
Alex alitii na bahat nzur hakuw mbal sana na hospital hivyo alifika kwa wakat na kutoa dam kumchangia Carry ikiw hajui amemchangia nan .
"Baba nan huyo nlyemchangia dam "Alex aliuliz baada ya kutoa dam
"We acha tu mwanang huu uzee na kutaka mambo ya vijana yana madhara kwa kwel akipona huyu bint me sitorudia huu ujinga tena"
"Kila siku nakwambia mzee lakin huelew bado mgonjw lakin unaendlea kusambaz tu ugonjw wako"
"We Alex hebu tuyaache hayo vip biashara zako zinaendaje "
"Zinaenda vizur Mzee japo yule mwanamke nilyekwambiaga alintoroka sijafanikiw kumpata mpka leo sijui kajifichia wap"
"Kuwa makin usije ukakamatwa "baada ya muda kidogo doctor alimuita Big pemben
"Nambie Yusuph vip hal ya mgonjw ipoje kwa sasa"
"Bado hajazinduka lakin atakuw sawa ,lakin inabid aangaliwe kwa umakin sana na akiznduka anatkiw kula pia ".
"Usijal doctor kuhusu hilo".Kisha waliachana na Big alirud kwa Alex na kumuelez alichoambiw na doctor
"Alex najua we unajua kupika itabid asubh umletee mgonjwa soup na vitu vingine muhim nitakwambia "
"Aah Mzee ndo unanshikisha huu msala".
"Fanya nilichokwambia sitak mabishano "
"Naweza kuwasaidia kama hamtojal"Asha aliingia yale maongez baada ya kuona wanabishan sana ,walikubal hivyo Alex aliondoka na Asha kwenda kulal nae had nyumban kwake il iwe rahis kuandaa chakula cha mgonjw asubh na mapema Big naye aliondoka alienda kulala anapopajua yeye.
**************************************************
Ney alikuw wa kwanza kuamka ,Naseeb alikuwa bado anakoroma ,alichukua simu ya mkonon na kukuta ni saa 12 asubuh Alitaka kuendlea kulala lakin ujumbe uliingia kwenye simu yake na mtumaj alikuw ni Edward ,
"Neema naomba kuonana na wewe leo saa 2 "
"Wap love"
"Tukutane pale njia panda karibu na Serena hotel "
"Sawa bby "Neema alicheka na kutup sim pemben akiw na furah kwel ,alijua tayar Mr derrick kashatimiza alichokitaka hivyo alinyanyuka kutoka kitandan na kwenda kuoga haraka ,alivyotoka kuoga alimkuta naseeb ameshaamka tayr
"Hiv Neema ni kwel umeathirika ?au sina kumbkumbu vizur ".
"Naseeb achan na hayo jana zlkuw akil za pombe tu"
"Neema hutok hapa bila kunambia ukwel "Naseeb alikuwa mkal sasa
"Nimeshakwambia achana na mim unanchelewesha kwenye mambo yang"
"Neema sitanii nambie ukwel ".
"Ukwel hahaha hay mim muathirika kwel "..
"Mungu wang !!!!!!Neema !!!!Naseeb alibak kam amekufa ganz hakusema neno lolote alibak ameganda tu ,Neema alimuangalia kwa dharau kisha aliendlea kuvaa nguo zake bahat nzur alibeba nguo kwenye poch za kubadilisha .
"Mimi naondoka naenda kwa mchumba wang kwahiyo usiniharbie we ibaki siri hivy hivyo ,Ila cha kukushaur kapime ili uanze kutumia dawa na wewe ,hahah mmeshazoea kula vya bure ee haya nmekupa mshahara huo pokea"kisha Neema alitoka pale lodge na kumuacha Naseeb ameduwaa asiamin kile alichokisikia .
**************************************************
Mama ake Neema alimpigia simu dada yake mama Carry au mama Leila wengi walizoea kumuita kwa jina LA bint yake wa pil
"Hallow dada habar za huko ".
"Salama tu naona leo umenikumbka "..
"Nakukumbuka kila siku Dada ang,lakin leo kuna jambo itabid tukutane "Mama Neema alimuelezea pale kwa kifup kwasababu alishampa taarifa juu ya uchumba wa Neema na Edward hivyo Mama Leila alikubal kwenda kwa Ester ili waende huko kwa kina Edward,bahat nzur Mama Edward alipiga simu na kuwajulisha kwamba wao ndo wataenda huko yeye na mume wake badala ya wao kuwafuata ...Mam Neema aliogopa kumtafuta mume wake maan alijua jinsi alivyo mkorof na hakuwa anapatana na Neema hata kidogo kwasababu ya tukio alilowah kumfnyia Neema miaka 10 iliyopita .
**************************************************
Alex na Asha asubuh na mapema walijitahd kuamka na kuandaa chakula cha mgonjwa Asha ndo alikuw mpish wa kila kitu pale nyumban kwa Alex na alijitahid kuandaa soup nzur ,kisha alimtengea na Alex japo anywe kabla hawajaenda hospital.Walivyomliza waliongozana wote kuelekea hospital na kulishapambazuka ilikuw mida ya saa moja hivi ,Walipiga story mbil tatu japo Asha alikuw ni mtu mwenye aibu sana na hakuw muongeaj.walifika hospital na kumkuta Big ameshafika hospital aliwapa taarifa Carry amesharejew na fahamu lakin alikuw analia tu baada ya kujua mimba yake imetoka,Asha aliingia alipolazwa Carry na kuanza kumbembelez na kumfariji japo haikuw kaz rahis kumtuliza Carry ,Alex yeye alibak nje akizungumza na baba yake
"Halafu baba si urud kwa mkeo tu utulie kuliko unavyohangaika na watoto wadogo"
"Kwel mwanangu umeongea jambo japo sijaenda muda mrefu sana kuwaona Ester na binti yake"
"Baba ndo umegomag kabisa kuntambulisha kwa mke wako na wala huyo mwanae hutak kabisa nimjue "
"We tulia mambo haya yakikaa sawa me nitakupeleka hata usijal maan ndo ndugu zako waliobak ,ndugu wa marehem mam yako hawana mpango na wewe kabisa"
"Tuachane na hayo baba naona unataka kuniliza sahiv,....me nimempenda Huyu Asha we unaona anafaa au hafai?
"Mtot wa kiislaam yule mzur we mchukue tu na anajieshim sana yule binti"
"Mzee ngoja nmfate huko huko ndan nianze kuweka nae ukaribu nkamuone na huyo mgonjwa nimfaham hata sura"Alex alianza kupiga hatua kuelekea chumba alicholazwa Carry....na baba yake aliitwa chemba na doctor .
"Big nimekuita nikwambie kitu ".
"Aah ongea rafiki angu wanaume hawazungukag hivyo "
"Ok ni hivi dam aliyoichangia mwanao haipo salama inavirus vya ukimwi hivyo imetulazim tuchukue Dam kweny bank yetu na kumuongezea mgonjwa "
"Unasemaje ???????mwanangu ameathirika?uwwih mtoto kaathirika na baba kaathirika mungu wang....Big akichanganykiw hakuelewa ataanzaje kumuelez mwanae
************************************************
Neema alienda kukutana na Edward kama walivyokubalian japo leo alibadilika kidgo hakuvaa nguo ya ajabu sana alivaa surual na tishrt tu.
"Umependeza mume wang kipenz"Neema alimsifia Edward aliyekuw amevaa tishrt nyeupe na surual ya jeans pamoja na raba nyeus ,ukichangia na mwil wake kifua kilichojazia wastan na urefu aliokuw nao kwel alikuw amependeza japo hakuonesha kufurahia alivyosifiw na Neema,.
"Ney panda kwenye gari kuna sehem natak nkupeleke "
"Wap Eddy "
"Twende tu mama usijal ,n tukitoka hapo tutapitia dukan ukachague nguo ya harus"
"Nakupenda Edward ,asante kwa kukubal kunioa "Neema alimkumbatia Eddy japo hakupewa ushirikian wowote ,alipanda kwenye gar na kuanz kujiongelesha lakin Edward alikuw hana story nae. .....Hatimae walifika walipokuw wanaenda Eddy alikuw wa kwanza kushuka kisha alizunguka upande wa pil na kumfungulia mlango Ney ashuke na yeye ,Neema alishtuka kuona wapo hospital tena hospital anayoendaga kuchukulia dawa zake za kila mwez aliishiw nguvu nusu adondoke pale lakin alijikaza sana na kumuuliza Eddy
"Tumekuja kumsalmia nan hapa hospital".
"Hatujaja kwa sababu hiyo Ney usiogope wala hakun yoyote anayeumwa".
"Eddy kwanini hukunambia kam tunakuja hapa lakin"
"Mama usiogope upo na mim tunaenda kupima tu ,si unajua kesho kutwa tu tunafunga ndoa ni vizur tukajua afya zetu kwanza"kisha Eddy alimshika mkono na kuongozana nae had ndan ya hospital lakin Ney hakuw na aman kabisa .wanaingia tu walikutana na muuguz anayempaga Neema dawa za kuongeza siku za kuish na kumsalmia Ney

"Habar Ney ,karibu naona umemleta na mwenza wako apate ushaur "Yule muuguz alianza kulopoka hata bila kuulizw na kupoteza sifa yake ya kuwa muuguz
"Samahn tuna mambo mengine hapa "lakin Neema alimkata jicho hilo had yulemuuguz akaondoka tu bila kuaga kabla hawajafika popote Neema alimuona Alex alishtuka kwa kwel kumuona pale akaona leo mambo yake yote yanakuw hadharan Alex pia alisita kuingia kule chumban alirud nyuma ili amuone vizur ney ,
"Mzee simama umuone dem wang wa zaman yule pale "Alimwambia Big aliyekuw kajiinamia akijarib kutafakari mambo yake na kutafakar atamuelezaje Alex kwamb ameambiw ameathirika
"Alex unanionaga kam kijana mwenzio yan aah unanisumbua tu "Big alilalamika lakin Alisimama na kumuona Neema ,
"Heeee we Alex wewe si mtoto wa mama yako wewe unayetaka Kuonana nae kila siku "
"Mzee acha utan,hebu twende ukamuone vizur ,lakn hat akiwa ni yeye haina mdhara maan hatushare baba wala mama "walitembea had pale alipokuwa amesimam Ney na Edward,Eddy hakuelewa chochote ila alivyomuona ni Alex rafik yake alichangamk na kumsalmia Alex a, Neema alikuw amekaa kimya hasem chochote lakin.alikuw anatetemeka tu
"Neema mshenz ww kwanini umeniulia mwanangu "big alimnasa kibao Neema na kuanza kuongea kwa sauti kubwa
"Baba mbona sikuelew amekuulia mtoto wako yup?Alex aliuliza ,huku akiacha kuzungumza na Eddy
"Neema ni muathirika Alex na ndo aliyekuambukiza"
"Alex alimgeukia neema na kumpiga kof jingine ilibidEddy aingilie kat kumtetea Neem asipigwe ten ,hapo sasa na yeye ndo alijua kama Neema ameathirika hata kabla hawajapima .
"Kumbuka huu ugonjw niliupata kwako "Neema alilia kwa uchungu sana huku akimnyoshea kidole Big .
"Me naona mngekaa sehemu muongee kuliko kuleta fujo hapa hospital na kusumbua wagonjwa wengine"Eddy aliongea huku akimbembelez Neema ,Alex alionekana kuchanganyikiwa na big ndo hakuelew afanye nini maaana yeye ndo alikuw chanzo cha ugonjwa kusambaa ,alichukua simu yake nakumpigia mama Neema
"We ester naomba uje hapa Upendo hospital uone bint yako alichokifanya wallah ukichelewa mim nitamuua "kisha Big alikata simu hakusubir hata majibu alimuonea hruma mwanae alyebak akilia kama mtoto .Asha alvyosikia zile kelele alitoka kwenda kujua kilichotokea huko nje ,Carry naye alitaman kutoka nje hivyo alimuomba Asha amsaidie kumshika maan hakuwez kutembea peke ake alihitaj support Asha alimshika Carry na kuanza kutoka nae nje ya chumba .Carry alikutana uso kwa uso na Edward Carry alihis anaota aliita jina LA Edward kwa saut kubw ,Edward na yeye ndo alimtambua Carry vizur na kumkimbilia pale mlangon alipokuw amesimama alimbeba na alifurah sana kumuona Carry watu wote walishangaa na hawakuelew kinachoendlea juu ya wale watu wawil ila wao hawakujal akina nan wanawashangaa ,Alex na yeye ndo alimuona Carry na kutambua ndo msichan anayemtafutaga siku zote .
"Edward ulikuwa wap siku zote "Carry alimuuliza Eddy huku akilia
"Hukunitafuta mama angu nimejaribu sana kukutafuta lakin sikufanikiw kukupata "
"Namshukuru mungu leo amenikutanisha na wewe hapa ".Carry alizid kulia kwa furaha huku akimkubatia Edward
"Lakin mbon upo hospital unaumwa nini kpnz Chang"
"Carry alianza kulia upya na kumpa habar juu ya kiumbe kilichokufa Edward alisikita sana kusikia zile habar na kumuonea huruma Carry.

Mama Neema alifika hospital akiwa ameongozana na Dada yake (mama Carry) ,mama Edward pamoja na baba Edward maana.wakat anapigiwa simu na big walikuw wameshakutana wote ndio maana waliongozana pamoja hospital kujua kinachoendlea
"Nini kinaendlea hapa Baba Neema "mama Neema alimuuliz big aliyekuwa amefura kwa hasira huku Neema amekaa chin akilia na Alex vilvile alikuw bado mwenye hasira na majonz makubwa .
"Mwanao kaniulia mwanangu alikuwa anajijua ameathirika lakin alitembea na mwanang "
"Ety Neema muathirika ?"Mzee derrick aliuliza kwa mshangao sana ,alizimia pale pale ,hapo Edward ndo aligeuka nyuma baada ya kusikia saut ya mama yake ikipiga kelele ,hapo hapo Carry alimuona mama yake ambaye hajamuona kwa muda sasa alikimbia kwenda kumkumbatia mama yake aliyekuwa amesimam na akishangaa kwa kuacha mdomo waz ,Edward alimsaidia mama yake kumuangalia Mzee wake na aliingizw kweny chumb cha daktr kwaajil ya vipim .

**************************************************Baada ya siku mbil familia zote zilikutana ikiwemo familia ya Carry iliongezeka kila mmoja alitoa dukuduku lake na kuombana msamaha Edward aliitumia ile fursa kutangaz nia yake ya kumuoa Carry ,Neema hakuwa na jinsi ilibid amuachie ndugu yake aolewe kwasababu Mama yake na Neema na mama ake Carry walikuw ndugu hivyo ,Carry alisamehewa na mama yake na alimuomba msamaha kwa kumfukuza nyumban .Big aliiomba msamaha familia yake pia na kuahid kubadilika ,Alex japo alionesha kukata tamaa juu ya maisha yake lakin Asha alikuwa tayar kuwa nae hata kama ana hal ile .Neema alimuita Naseeb nyumbn kwao na kumuomba msamah na walikubalian kuish pamoja Wazaz wa Edward pia walisameheana na kuanza maish upya kabisa wakipambana na hal zap walizokuw nazo.Lakin Carry alikuw mwenye furaha kuliko wote tabasamu lake lilirudisha urembo wake na alishukuru baada ya heka heka zote zile lakin alifanikiwa kumpata mwanaume wa maisha yake japo walikutana kwa bahat mbaya tu




MWISHO ......
 
story inasusua sana,unakaa muda mrefu kimya ukija unapost kipande kimoja hadi inakata stimu kusoma
Samahan nilipata changamoto kidogo ndomana nlikuwa kimya muda mrefu lakin nimeona niikatize ili iishe leo nisiwakwaze mnaofatilia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom