Simulizi: Kanisa la Shetani

Simulizi: Kanisa la Shetani

Abtali Mwerevu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2013
Posts
773
Reaction score
668
Hii ni simulizi ya kijana Musa, kijana ambaye ametafuta kazi kwa miaka mingi bila kupata, katika matembezi yake, Musa anakutana na Bibi ambaye anamshauri aende kuombewa katika kanisa, anakwenda huko na kupokea maombi yake.

Anataka kurudi nyumbani, lakini anazuiliwa na kuambiwa anayeingia humo huwa hatoki. Songa nayo.


View: https://youtu.be/XvfST1151EQ
 
Hzi ni zile stori za nani atamfunga paka kengele.

Zinazofurahisha ila kiukweli ni uongo mtupu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom