Living kereth
Member
- Feb 7, 2017
- 69
- 55
Napenda kujishughulisha hasa kupitia fani na kipawa alichonipatia mwenyezi mubgu mwingi Wa rehema kazi yangu ni Fundi ,Masonry ,plumber,home garden designer but pamoja na kuwa na uwezo huo kipato changu ni kidogo kutokana na ufinyu Wa kazi pamoja na kazi ambazo huwa nikizipata kuzifanya kwa uaminifu na ufanisi mkubwa lakini sipatagi tenda za kazi nashindwa kuelewa ni kipi kinachosababisha nisipate kazi ...najichanganyaga sana lakini wapi...wana JF naamini kuna washauri wazuri na watu wenye uzoefu na kazi kama hizi naombeni ushauri wenu Wa hali na Mali ili nipate kufahamu wapi nipokosea na kipi cha kufanya ...asanteni sana ndugu zangu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app