Wasiwasi ndio akili!!Acha woga ww ebu oa uko tucheze kwaito
Kwa hali hii Shunie naanzaje sasa????Sehemu ya 34
“Usijali Faraji, hilo hesabu limekwisha, unajingine?” “Hapana ni hilo hilo.” Baada ya kuzungumza hayo, Dani alichukua laptop yake na kuanza kazi, aliingia kwenye ukurasa wa mke wangu, akachokonoa vile anavyojua yeye, dakika chache badaye, akaunti ile ikawa tunaweza kuiongoza tutakavyo. “Kazi imekwisha, sasa unaweza kuona kila kitu unachotaka,” aliniambia huku akinisogezea laptop ile.
Upesi nikaingia sehemu ya jumbe katika akaunti ya facebook ya mke wangu, mke wangu alikuwa akipokea jumbe nyingi za wanaume wanaomtaka kimapenzi.
Wanaume waliokuwa wakimfutilia mtandaoni walikuwa ni wengi mno, mambo yale yalizidi kuniumiza sana. Bado niliendea kutafuta jina la mtu aitwaye Ally.
Nikiwa naendelea kutafuta jina hilo mara ujumbe ukaingia, ujumbe huo ulitumwa na mtu aitwaye Abdul Ally. Naam! Alikuwa ni mtu yule yule niliyekuwa nikimsaka, Ujumbe uliotumwa na mtu huyo, ulikuwa ni mapenzi.
Ulisomeka hivi: “Vipi mpenzi, unafanya nini sasa hivi? nitumie basi kapicha.” Mate mepesi yalinijaa kinywani, ujumbe ule sikuujibu, nilichofanya ni kuingia kwenye ukurasa wa mtu huyo ili kumtambua vizuri.
“Mungu wangu!” nilipayuka baada ya kumwona mtu yule. Sikuamini macho yangu, nilihisi kutetemeka kwa hasira.
Mtu aliyekuwa akimzuzua mke wangu, alikuwa ni msanii wa muziki ambaye aliwahi kumtumia fedha miaka ya nyuma akitaka ashiriki kwenye video ya muziki. Nikiwa bado katika taharuki ile.
Mke wangu aliyekuwa ‘online’ nikaona anajibu ujumbe ule, akasema: “Niko chumbani, nakuwaza tu wewe, nakutumia kapicha,” nikazidi kutetemeka. Sijakaa sawa, mara picha ikatumwa.
Picha iliyotumwa, ilikuwa ya kifua cha mke wangu, alikuwa mtupu, matiti nje, alijifotoa matiti yake, akamtumia picha hiyo kwa hawala wake.
JE NINI KILITOKEA? TUKUTANE Kesho.


Kwa hali hii Shunie naanzaje sasa????
Dadeki ndoa isinisogelee " Sitaki kushiriki kitu kama hicho " kabisaaaSehemu ya 34
“Usijali Faraji, hilo hesabu limekwisha, unajingine?” “Hapana ni hilo hilo.” Baada ya kuzungumza hayo, Dani alichukua laptop yake na kuanza kazi, aliingia kwenye ukurasa wa mke wangu, akachokonoa vile anavyojua yeye, dakika chache badaye, akaunti ile ikawa tunaweza kuiongoza tutakavyo. “Kazi imekwisha, sasa unaweza kuona kila kitu unachotaka,” aliniambia huku akinisogezea laptop ile.
Upesi nikaingia sehemu ya jumbe katika akaunti ya facebook ya mke wangu, mke wangu alikuwa akipokea jumbe nyingi za wanaume wanaomtaka kimapenzi.
Wanaume waliokuwa wakimfutilia mtandaoni walikuwa ni wengi mno, mambo yale yalizidi kuniumiza sana. Bado niliendea kutafuta jina la mtu aitwaye Ally.
Nikiwa naendelea kutafuta jina hilo mara ujumbe ukaingia, ujumbe huo ulitumwa na mtu aitwaye Abdul Ally. Naam! Alikuwa ni mtu yule yule niliyekuwa nikimsaka, Ujumbe uliotumwa na mtu huyo, ulikuwa ni mapenzi.
Ulisomeka hivi: “Vipi mpenzi, unafanya nini sasa hivi? nitumie basi kapicha.” Mate mepesi yalinijaa kinywani, ujumbe ule sikuujibu, nilichofanya ni kuingia kwenye ukurasa wa mtu huyo ili kumtambua vizuri.
“Mungu wangu!” nilipayuka baada ya kumwona mtu yule. Sikuamini macho yangu, nilihisi kutetemeka kwa hasira.
Mtu aliyekuwa akimzuzua mke wangu, alikuwa ni msanii wa muziki ambaye aliwahi kumtumia fedha miaka ya nyuma akitaka ashiriki kwenye video ya muziki. Nikiwa bado katika taharuki ile.
Mke wangu aliyekuwa ‘online’ nikaona anajibu ujumbe ule, akasema: “Niko chumbani, nakuwaza tu wewe, nakutumia kapicha,” nikazidi kutetemeka. Sijakaa sawa, mara picha ikatumwa.
Picha iliyotumwa, ilikuwa ya kifua cha mke wangu, alikuwa mtupu, matiti nje, alijifotoa matiti yake, akamtumia picha hiyo kwa hawala wake.
JE NINI KILITOKEA? TUKUTANE Kesho.
Mh asanteh!Usiache kuoa sababu ya changamoto ya ndoa nyingine
Sio kila ndoa ina changamoto nipo2
Faraji katafutiwa mke na mama yake hawajuani hawajasomana tabia kabisa
Ndo ni wito usikurupuke kama moyo umekutuma kuoa oa sio sababu mwanamke analazimisha umuoe kingine msomane tabia mjuane kama mwaka hivi au zaidi
Usiache kuoa sababu ya changamoto ya ndoa nyingine
Sio kila ndoa ina changamoto nipo2
Faraji katafutiwa mke na mama yake hawajuani hawajasomana tabia kabisa
Ndo ni wito usikurupuke kama moyo umekutuma kuoa oa sio sababu mwanamke analazimisha umuoe kingine msomane tabia mjuane kama mwaka hivi au zaidi