Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Simulizi: Bwana Harusi aliyejeruhiwa

Wenzao wazungu...waliowatawala...

Hizo x mnazotizamishwa na wazazi wenu toka mko matumboni...ndio mkikuwa mnaiga!
Hahahaha tumia nguvu nyingi uwezavyo, waarabu washawaharibu...kwanini mnakataa utamaduni wenu mkuu!? Kila jamii ina utamaduni wake, wenu ni huu hao wengine wanaiga kwenu lakini kwa ufundi nadhani hawawakaribii hata robo, hahahaha hongereni bana.
 
SEHEMU YA 82

Nilivuta droo ya kabati la nguo ambapo huwa tunaweka makablasha mbalimbali. Ile navuta tu. Lahaula!!!!... Sikuamini nilichokiona mbele yangu. PAKITI ya mipira ya kiume aina ya Kondomu, ilikuwa ndani ya droo ya kabati, pakiti mbili kati ya tatu tayari zilikuwa zimetukika. “Nini hiki!” Nilipayuka, uso wangu ulisawijika kwa mshangao.

Debora ananisaliti! Tena ndani mwetu. Chumbani! Akili yangu ilikorogeka vibaya sana, nilihisi nguvu zikiniishia. Hamu ya kukaa kitako ikanishika. Ajabu tayari nilikuwa nimekwisha keti. Sasa sijui ile hamu ya kukaa ililenga kuketi wapi.
Jasho jepesi lilinichuruzika maungoni mwangu na kulowanisha shati. Nilihisi uchungu ukifukuta ndani ya kifua changu.

“Wanawakee!!” nikabweka tena kwa uchungu. Nilibakia kwenye fadhaa kubwa, nikajipa utulivu wa akili ili niweze kukabiliana na mtihani ule. Niliweka kila kitu kama kilivyokuwa. Nikaoga kisha nikapata kinywaji cha baridi. Angalau nikahisi ahueni. Nikaketi sebuleni kumngoja Debora.

Saa kumi jioni, Debora alirudi. Aliletwa na gari la ofisini kwakwe. Alipoingia ndani alinikuta nipo kwenye kochi namngoja.
Alinikumbatia kisha akanipiga mabusu mfululizo. “Faraji mpenzi uwe unakuja kwa taarifa.”
“Hapa ni kwangu Debora, natoaje taarifa?”

“Taarifa ni muhimu, mimi sasa ni ofisa wa serikali, ninayo majukumu mengi ya kitaifa, bila kutoa tarifa unaweza usinikute nyumbani.” “Lakini mimi ni mumeo Debora.”
Debora aliachia tabasamu jepesi, halafu akaninong’oneza.
“Hatujafunga ndoa Faraji, bado mie sio mkeo.”

Jibu lile lilikuwa mithili ya msumari kifuani. Niliumia, nilihisi tumbo likipata joto. kwa kauli ile ni jibu tosha mimi sikuwa na thamani ile ya mwanzo kwake.
“Deboraa!” nilimwita kwa ukali.

Akashituka, akaniangalia kwa mshangao.
“Unaongea upuuzi gani. Umebadirika sana wewe.”
“Kusema mie sio mkeo ndio kubadirika Faraji?”

Aliniuliza. Nilipiga kimya. Nikajenga utulivu, nikaona nina mengi ya kujua kumuhusu, si vema kulumbana naye kwa jambo lile.
“Basi yaishe.” Nikamwambia kwa upole tu.
Hakujibu. Aliingia chumbani, akabadili nguo na kuingia bafuni kuoga. Nilikwenda chumbani na kuangalia kwenye droo, nikakuta ile mipira ya kiume kesha itoa na zile tembe za kuzuia mimba.
 
SEHEMU YA 83

Nafsi yangu ilikiri mwanamke si mtu wa kumwamini, hata kama atakueleza anakupenda huku anatokwa machozi ya damu. Viumbe hao hawaaminiki.

Nikaendelea kujifunza, katika maisha haijalishi uwe mtanashati kiasi gani, au una nguvu nyingi, aidha ni tajiri mkubwa, hayo hayawezi kuwa kinga ya kutosalitiwa.

Niliamini wanawake ni watu wenye kufanya usaliti wakati wowote wakiamua. Mwanamke kama Debora, aliyejitoa kwangu kwa nguvu na akili zake zote, aliyenipenda kwa muda mrefu, eti naye alikuwa amenisaliti!!!. Sasa nawaamini vipi tena.

Moyo wangu ulivunjika! Nikiwa chumbani nikapanga akitoka tu kuoga nampa vidonge vyake kisha penzi letu linamalizika. Niliwaza hayo japokuwa niliamini lazima atanibembeleza .

Dakika chache badaye, Debora alitoka bafuni, alikuwa kwenye kanga moja, nguo ile ilikuwa imenata kwenye manyama nyama yake, embe dodo zake zilikuwa wima, zimenona. Kiuno chake kilichoshikiria makalio na mapaja mazuri yalivutia kiasi ambacho kama isingekuwa makandokando yale, ningemrukia na kumfyekelea mbali.

“Vipi?”aliniuliza.
“Umebarikiwa. Mashallah”
“Mh,” akaguna.
Nikaendelea. “Bahati mbaya, urembo huo siufaidi peke yangu! Ni hasara kubwa tu.”

Niliposema hayo, macho akayapepesa kama Kinyonga.
“Sijakuelewa.”
“Unanisaliti.”

“Mimi?” “Unanisaliti ndani ya chumba hiki!” nikaendelea kumpasulia.
“Wewe unaongea nini?” “Usijitie uhayawani Debora, ile mipira ya kiume iliyokuwa kwenye droo iko wapi?”
“Mipira gani?” akazidi kujifanya hakuna ajuacho.

Nikamwangalia kwa chati, hasira kali ikiwa inachemka kifuani, naye bila woga akawa ananiangalia usoni, macho yakiwa makavu.

“Mipira gani nakukuliza?” akaniuliza tena. Alionekana kujiamini.
Hapa ngoja niseme jambo moja. Wanawake wengi ambao ni viongozi wa kisiasa au wenye nyadhifa kubwa katika taasisi fulani au serikalini huwa ni viumbe wanaojiamini kupitiliza.

Siyo makazini kwao hata majumbani mwao, ni viumbe wasiogopa lolote, sio watu wa kujishusha hata kama wao ndio wakosaji, wakati wote hujiona wako sahihi. Wanawake viongozi huathiriwa sana na mazingira.

Pamoja na kwamba ni watu wanaojua kupenda wakiwa wamezama penzini, lakini ni viumbe wajanja na hatari wanapokuwa wamekinaiwa na wapenzi wao!
 
Hahahaha tumia nguvu nyingi uwezavyo, waarabu washawaharibu...kwanini mnakataa utamaduni wenu mkuu!? Kila jamii ina utamaduni wake, wenu ni huu hao wengine wanaiga kwenu lakini kwa ufundi nadhani hawawakaribii hata robo, hahahaha hongereni bana.
Pole sana tena sana.... ...uko misri bado wewe@

Mimi najua hiyo ni moja kati ya dhambi kuu....
Hao waarabu waliwaharibu zaidi mababu zenu waliokuwa wakiwachukua kwa misafara kuwaleta zenj ili wauzwe kwa mzungu!
Tatizo ni hamjielewi au mmekalia ukweli...
Hizo jela mnazowana huko vipi?
Na huyo mzungu mnaye muabudu mbona Ana utamaduni wa kuruhusu ndoa za jinsia moja?? tena kisheria...

Na kwenu wapo usijitoe fahamu.. ....
inawezekana hata ikawa mmoja Wapo ni wewe!

Mnadanganyana sana wakati.. mambo yote hadharani...

Hivi utakuwa na akili kweli ukaige use@nge?? kabisa?
sema kweli kuwa na wewe shogaye kaoge!
Pole mkuu... ....
Situmii nguvu kujibu maana nasema kweli tofauti na wewe.... ....

Ndio hivyo makonda anawavua nguo....
 
Pole sana tena sana.... ...uko misri bado wewe@

Mimi najua hiyo ni moja kati ya dhambi kuu....
Hao waarabu waliwaharibu zaidi mababu zenu waliokuwa wakiwachukua kwa misafara kuwaleta zenj ili wauzwe kwa mzungu!
Tatizo ni hamjielewi au mmekalia ukweli...
Hizo jela mnazowana huko vipi?
Na huyo mzungu mnaye muabudu mbona Ana utamaduni wa kuruhusu ndoa za jinsia moja?? tena kisheria...

Na kwenu wapo usijitoe fahamu.. ....
inawezekana hata ikawa mmoja Wapo ni wewe!

Mnadanganyana sana wakati.. mambo yote hadharani...

Hivi utakuwa na akili kweli ukaige use@nge?? kabisa?
sema kweli kuwa na wewe shogaye kaoge!
Pole mkuu... ....
Situmii nguvu kujibu maana nasema kweli tofauti na wewe.... ....

Ndio hivyo makonda anawavua nguo....
Duh! Nikaoge!
Kauli hio ulioitumia imebadilisha kila kitu, sasa tatizo lishaonekana.
Endelea na burudani yako mkuu.
 
Duh! Nikaoge!
Kauli hio ulioitumia imebadilisha kila kitu, sasa tatizo lishaonekana.
Endelea na burudani yako mkuu.
Naishia hapa...
kujibizana na watu kama nyie ni upuuzi wa kupuuzwa!

Makonda kakuvuruga....

Vumilia mkuu....ila uwe mwangalifu ikibidi acha hiyo tabia...unadhalilika...

Wewe sikio la kufa!

Tafadhali jiheshimu mimi si mende ...

Watu wa tabia zenu hizo ...za kisen*nge..kwetu ni nuksi...
 
Naishia hapa...
kujibizana na watu kama nyie ni upuuzi wa kupuuzwa!

Makonda kakuvuruga....

Vumilia mkuu....ila uwe mwangalifu ikibidi acha hiyo tabia...unadhalilika...

Wewe sikio la kufa!

Tafadhali jiheshimu mimi si mende ...

Watu wa tabia zenu hizo ...za kisen*nge..kwetu ni nuksi...
Nadhani dawa itawaingia taratibu tu,
Hatuna haraka na watu nyinyi.
 
SEHEMU YA 83

Nafsi yangu ilikiri mwanamke si mtu wa kumwamini, hata kama atakueleza anakupenda huku anatokwa machozi ya damu. Viumbe hao hawaaminiki.

Nikaendelea kujifunza, katika maisha haijalishi uwe mtanashati kiasi gani, au una nguvu nyingi, aidha ni tajiri mkubwa, hayo hayawezi kuwa kinga ya kutosalitiwa.

Niliamini wanawake ni watu wenye kufanya usaliti wakati wowote wakiamua. Mwanamke kama Debora, aliyejitoa kwangu kwa nguvu na akili zake zote, aliyenipenda kwa muda mrefu, eti naye alikuwa amenisaliti!!!. Sasa nawaamini vipi tena.

Moyo wangu ulivunjika! Nikiwa chumbani nikapanga akitoka tu kuoga nampa vidonge vyake kisha penzi letu linamalizika. Niliwaza hayo japokuwa niliamini lazima atanibembeleza .

Dakika chache badaye, Debora alitoka bafuni, alikuwa kwenye kanga moja, nguo ile ilikuwa imenata kwenye manyama nyama yake, embe dodo zake zilikuwa wima, zimenona. Kiuno chake kilichoshikiria makalio na mapaja mazuri yalivutia kiasi ambacho kama isingekuwa makandokando yale, ningemrukia na kumfyekelea mbali.

“Vipi?”aliniuliza.
“Umebarikiwa. Mashallah”
“Mh,” akaguna.
Nikaendelea. “Bahati mbaya, urembo huo siufaidi peke yangu! Ni hasara kubwa tu.”

Niliposema hayo, macho akayapepesa kama Kinyonga.
“Sijakuelewa.”
“Unanisaliti.”

“Mimi?” “Unanisaliti ndani ya chumba hiki!” nikaendelea kumpasulia.
“Wewe unaongea nini?” “Usijitie uhayawani Debora, ile mipira ya kiume iliyokuwa kwenye droo iko wapi?”
“Mipira gani?” akazidi kujifanya hakuna ajuacho.

Nikamwangalia kwa chati, hasira kali ikiwa inachemka kifuani, naye bila woga akawa ananiangalia usoni, macho yakiwa makavu.

“Mipira gani nakukuliza?” akaniuliza tena. Alionekana kujiamini.
Hapa ngoja niseme jambo moja. Wanawake wengi ambao ni viongozi wa kisiasa au wenye nyadhifa kubwa katika taasisi fulani au serikalini huwa ni viumbe wanaojiamini kupitiliza.

Siyo makazini kwao hata majumbani mwao, ni viumbe wasiogopa lolote, sio watu wa kujishusha hata kama wao ndio wakosaji, wakati wote hujiona wako sahihi. Wanawake viongozi huathiriwa sana na mazingira.

Pamoja na kwamba ni watu wanaojua kupenda wakiwa wamezama penzini, lakini ni viumbe wajanja na hatari wanapokuwa wamekinaiwa na wapenzi wao!
stori tamu mpk bas yan! kila inapoishia ni tamu tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom