bayona_stories
Member
- Apr 19, 2023
- 77
- 123
- Thread starter
- #121
Siku moja nilimwomba wife aniitie bodaboda mambo ikawa hivi "Dulla njoo nyumbani mpenzi"
Sikuamini masikio yangu, na yeye akabaki ameduwaa maana alijua kesha haribu.
Kilichoendelea baad ya hapo we acha tu
Aiseee