Simuelewi wifi yangu

Wengi wa Wadada siku hizi hampendi ndugu wa Mme hata kidogo, ukijiangalia hapo kwako lazima kuna ndugu zako ila hauwezi kuona tatizo wala kero, wewe kama kweli ni Muungwana Muelekeze pia mkabidhi hayo majukumu yake, angefika na kuanza kwenda jikon pia ungepiga kelele kuwa Wifi anakuingilia
 
kwa kweli mawifi kuna wengine mi shida tupu... yaani anaweza kulufanyia madharau ya ukweli kisa tu ni kwa kaka yake. kaka yangu akioa sitaenda kwake bila sababu ya msingi na kwa heshima tele.
 
Unatakiwa umfanye rafiki,mshirikishe kwenye shughuli tofauti za hapo nyumbani yaani fanyeni wote.jaribu kuongea nae unaweza kuta ana tatizo/stress ndo zinazomfanya ashinde amelala.

Mimi wifi yangu alikuwa hivyo lakini ilikuwa kama natoka,namuamsha namuomba twende wote,nikiwa jikoni namuambia Manka njoo tupike kitu fulani na alikuwa hajui vitu vingi lakini akajifunza mambo mengi.sahivi yeye ndo rafiki yangu na nimekaa nae zaidi ya mwaka na sitamani hata aondoke.

Tukikoseana namuambia ukweli alipokosea na kumfundisha jinsi anavyotakiwa kufanya au kuishi na watu na maisha yanaendelea
 

Tuunde uwifi uje unipikie chapati walaaahhhh

(Joking)
 

Daaah binadamu hawana shukrani aisee
 
Naona kama intrusion of privacy aisee.

Naanzaje kuingia kwa wenyewe jikoni naanza kupika. Ndio kujionyesha fundi au?

Wakiniomba sawa tena nitafurahia but azawais I keep off.

huyu mwanamke amejaa hila na ni hasara tupu..........

wifi yake angeingia jikoni angerudi hapa kusema anakiherehere na anataka kumtawala nyumbani kwake.
 

una mume jamani?

sipendi vyakula vya supermarket mimi , km hao watoto wa kaka yako.
 
Last edited by a moderator:
Kwani amekuja kusalimiaa au kukufanyia kazi za nyumbani kwako?wanawake sie jamaniii we hapo ni kwakoo fanya kazi zote labda kama kahamia hapo kwako ni sawaa lakin kama anakaa siku chache muwachee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…