Miss-Thang
JF-Expert Member
- Mar 4, 2009
- 364
- 244
Angalia asije akakubaka, manake ndio vinaanzia huko huko. Ningekua miye ningemwambia kaka yake siku nyiingi.Someni yaliyomsibu huyu dada....
"Mimi ni dada mwenye miaka 28,nimeolewa na nina mtoto mmoja,tunakaa nyumba ya kupanga na husband+mdogo wake wa kiume mwenye miaka 23.
Kuna siku niligundua kuwa picha zangu nyingi zimepotea,pamoja na kuuliza sikupata jibu lolote,jumamosi iliyopita niliingia bafuni kuoga baada ya yule shemeji yangu kutoka kuoga (tunashea bafu/choo) kilichonishangaza nilikuta picha zangu mbili kule bafuni sikuelewa zimefikaje na ni kati ya zile zilizopotea,nilipomuuliza hakuwa na la kujibu nikamwambia nitamwambia kaka yake,akaomba sana msamaha na kurudisha zile picha akasema hana nyingine.,leo asubuhi nimeingia chumbani kwake nikakuta kabandika picha 2 pembeni ya kitanda chake.,nishaurini nimfanyaje huyu kijana?"