Story nyingine ukizisoma unashondwa kuelewa binadamu wengine akili zao huwa zinafikiria nini. Unatamani kupiga mtu makofi. Wewe unaweka hela hata haujui kama zipo au la, unaendelea kuweka tu. Eti mume wangu...Kweli kina mama kazi mnayo....hata kila siku ikiwa siku ya wanawake dunia, bado itakua ngumu kwenu kuwa sawa na wanaume.
The best way ni kila mtu kuwa na account yake. Mkitaka kufanya kitu ndo mnachangia. By the way ukiona mwanaume anafuatilia pesa za mke ujue anatatizo. Mimi mke wangu ana keep hela zake mwenyewe, anaamua mwenyewe afanye nini, ingawa ananishirikisha katika ushauri na kuboresha wazo lake. Mimi pia hivyo hivyo nafanya mambo yangu kwa uhuru kabisa. Vitu vyetu tunaandika majina ya watoto au yetu wote au kila mmoja mmoja kulingana na kitu chenyewe.
The best way ni kila mtu kuwa na account yake. Mkitaka kufanya kitu ndo mnachangia. By the way ukiona mwanaume anafuatilia pesa za mke ujue anatatizo. Mimi mke wangu ana keep hela zake mwenyewe, anaamua mwenyewe afanye nini, ingawa ananishirikisha katika ushauri na kuboresha wazo lake. Mimi pia hivyo hivyo nafanya mambo yangu kwa uhuru kabisa. Vitu vyetu tunaandika majina ya watoto au yetu wote au kila mmoja mmoja kulingana na kitu chenyewe.