Anadai kuwa anaweka pesa humo pia nimejaribu kumbana aombe internet bank niwenaweza kufuatilia akaniwashia moto nikajikuta naomba msamaha na issue ikaishia hewani.
Cha ajabu nikimwambia issue ya maendeleo ananiambia nlikuwa nafikiria hivyo hivyo mke wangu ila nikimwambia sasa tufanye hicho kitu anakuwa kimya tena na nipesa nyingi
Account ipo kwa jina lake tu si unajua kupenda sikuona kama ni shida na isitoshe ni mume.Kwanini unataka internet banking, kwani account haipo katika majina yenu wawili? au?
usiseme ni jina lake tu na hujui kinachoendelea humo?
embu tueleze tukushauri
Mipango hupangwa kitandani mama,
mume kwanza kazi badae.
Account ipo kwa jina lake tu si unajua kupenda sikuona kama ni shida na isitoshe ni mume.
kama umeolewa na mwanamme hela ziko salama, ila kama ndo vivulana, umekwisha!
Kushney....sasa utasemaje pesa zenu wakati ziko kwenye account yake???Account ipo kwa jina lake tu si unajua kupenda sikuona kama ni shida na isitoshe ni mume.