Mussa waukweli.
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 534
- 319
usipaniki mapema ebu jaribu kumchunguza kwanza
Mpenzi wangu anatumia mudabmwingi kuchat na simu,kwenye simu yake ana meseji,nyingi zikiwamo za wanaume,ambao ni watumishi wenzake,majina kama dia,mpenz, na mengineyo ndio wanayatumia kuitana kwenye meseji hizo,nikimuuliza anasema ni marafiki wa kawaida tu,na hii huwa chanzo cha ugomvi wetu,nifanyaje jamani?naombeni ushauri
mkuu ukiona ana marafiki wengi wa kiume kuliko wa kike ujue yupo vulnerable to be attacked na intruders..watchout young man
Mpenzi wangu anatumia mudabmwingi kuchat na simu,kwenye simu yake ana meseji,nyingi zikiwamo za wanaume,ambao ni watumishi wenzake,majina kama dia,mpenz, na mengineyo ndio wanayatumia kuitana kwenye meseji hizo,nikimuuliza anasema ni marafiki wa kawaida tu,na hii huwa chanzo cha ugomvi wetu,nifanyaje jamani?naombeni ushauri
Ndugu yangu sugi kuwa makini na huyo mpenzi wako, waafrika hatunaga tamaduni za urafiki wa mwanaume na mwanamke...hapo kuna mawili kama hakucheat basi ujue anaelekea fanya hivyo!!! ikiwa wewe una muhimu kwake kwanini asikusikilize wewe akaacha chat na hao watu wake? hakuna nguvu kinchoshindikana katika mapenzi, ikiwa anakupenda hatotaka akupoteze kwa namna yoyote ile...take care!!!Mpenzi wangu anatumia mudabmwingi kuchat na simu,kwenye simu yake ana meseji,nyingi zikiwamo za wanaume,ambao ni watumishi wenzake,majina kama dia,mpenz, na mengineyo ndio wanayatumia kuitana kwenye meseji hizo,nikimuuliza anasema ni marafiki wa kawaida tu,na hii huwa chanzo cha ugomvi wetu,nifanyaje jamani?naombeni ushauri
kama hujui kusoma,hata picha angalia.
Ndugu yangu sugi kuwa makini na huyo mpenzi wako, waafrika hatunaga tamaduni za urafiki wa mwanaume na mwanamke...hapo kuna mawili kama hakucheat basi ujue anaelekea fanya hivyo!!! ikiwa wewe una muhimu kwake kwanini asikusikilize wewe akaacha chat na hao watu wake? hakuna nguvu kinchoshindikana katika mapenzi, ikiwa anakupenda hatotaka akupoteze kwa namna yoyote ile...take care!!!
hahaaa PLL what are u smelling...........niwache muke ya muzungu bana.........