Simuelewi mpenzi wangu

Simuelewi mpenzi wangu

Sugi

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
1,392
Reaction score
295
Mpenzi wangu anatumia mudabmwingi kuchat na simu,kwenye simu yake ana meseji,nyingi zikiwamo za wanaume,ambao ni watumishi wenzake,majina kama dia,mpenz, na mengineyo ndio wanayatumia kuitana kwenye meseji hizo,nikimuuliza anasema ni marafiki wa kawaida tu,na hii huwa chanzo cha ugomvi wetu,nifanyaje jamani?naombeni ushauri
 
mpenzi wangu anatumia mudabmwingi kuchat na simu,kwenye simu yake ana meseji,nyingi zikiwamo za wanaume,ambao ni watumishi wenzake,majina kama dia,mpenz, na mengineyo ndio wanayatumia kuitana kwenye meseji hizo,nikimuuliza anasema ni marafiki wa kawaida tu,na hii huwa chanzo cha ugomvi wetu,nifanyaje jamani?naombeni ushauri

kama hujui kusoma,hata picha angalia.
 
Mh kuwa nae makini..mchunguze mienendo yake...Kuna uwezekano anacheat!!
 
kwanini unachunguza simu yake?
DONT LOOK FOR ANYTHING YOU CANT HANDLE
 
Nilidhani matendo yake ndio yakutatiza, kumbe maneno tu!!!
 
Halafu kwanini siku zote mtu ambaye unachat nae unamuona bora kuliko ulokuwa nae au ndo mashamsham ya mwanzo loh....

ni masham sham aisee huwa YANAKONGA moyo tu........

Mie kuna kijana huwa nachati nae aisee huwa ananikonga roho yangu....sio kwamba nimetoka nae hapana

ila its the kind of Person you can rely ON.........
 
ni masham sham aisee huwa YANAKONGA moyo tu........

Mie kuna kijana huwa nachati nae aisee huwa ananikonga roho yangu....sio kwamba nimetoka nae hapana

ila its the kind of Person you can rely ON.........
Mhh Muke ya Muzungu i can smell somethn hapa..
 
Mpenzi wangu anatumia mudabmwingi kuchat na simu,kwenye simu yake ana meseji,nyingi zikiwamo za wanaume,ambao ni watumishi wenzake,majina kama dia,mpenz, na mengineyo ndio wanayatumia kuitana kwenye meseji hizo,nikimuuliza anasema ni marafiki wa kawaida tu,na hii huwa chanzo cha ugomvi wetu,nifanyaje jamani?naombeni ushauri

yashawahi kunikuta hayo kuwa makini sana naye otherwise ...........
 
Back
Top Bottom