Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,962
- 22,330
Bwege sana huyu jamaa aiseekwa hiyo humuelewi sisi tukushauri nini...ngoja uwakute kitandani wacheza mpira ndio utaelewa.....jiongeze kuwa na uamuzi wa kiume sio unalialia huelewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bwege sana huyu jamaa aiseekwa hiyo humuelewi sisi tukushauri nini...ngoja uwakute kitandani wacheza mpira ndio utaelewa.....jiongeze kuwa na uamuzi wa kiume sio unalialia huelewi
Huyo demu ana dharau balaa pia hakupendi kindakindaki.
Kipindi niko chuo manzi wangu aliniambia anapenda mwanaume awe na zile ndevu za mashavuni (wakati huo hata za kidevu nilikua sina), nikamwambia achana na mimi katafute mwenye hizo ndevu!!!!
Muda ukapita kaona picha zangu akanitafuta ooh samahani sijui nini nikaweka status mtoto mkali ili aangalie aachane na mimi, cha ajabu mpaka leo hakomi aisee.
Kiufupi wanawake wanakuaga washaweka picha za mabwana zao kichwani, Achana nae huyo!!
Yesuuu hata kwenye TV? Sasa navyomsifia Gaucho, willium levy, bila kuwasahau wakaka wa kikorea na miili yao ya suti zinavyowakaaga bomna kwahiyo angekuwa ushanitimua😁😁😁😁Kwangu, hata kama angemsifia mtu aliye kwenye TV kwa style hiyo; ingetosha kumtimua kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
NJOO BWANA NIPUNGUZE YAWEZEKANA IKAWANI SABABU PIA
si umwambie mwanamke wako hupendezwi na hiyo tabia ili aiache sa unakuja kujilalamisha humu si kupoteza muda tuNina mpenzi wangu ninampenda lakini ananitia waswasi sana anatabia ya kusifia sana rafiki zangu hasa ambae nafanya nae kazi kada moja ya uhasibu yeye binti ni mwalimu sasa jamaa yangu anaasili ya ndevu nyingi japo hata mimi ninazo lakini mara nyingi anamuulizia hovyo sijui ana girlfriend?
Ohhh anao magirlfriend wangapi? ohh ana ndevu nzuri yule kaka yaaaani ni shida tupu mpaka nachukia naamua ninyamaze labda atajisahihisha inafikia hatua natamani nimwache aendelee na ishu zake ila najipa moyo labda atabadilika ni ujana tu je, Wana JF hili ni sahihi au ni wivu wangu tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
si umwambie mwanamke wako hupendezwi na hiyo tabia ili aiache sa unakuja kujilalamisha humu si kupoteza muda tu
Sent using Jamii Forums mobi
huwezi jua,mpaka nimekuja humu