Simuelewi mpenzi wangu

Simuelewi mpenzi wangu

Ukifuga na wewe ndevu usitegemee mapokeo yatakua the same kutoka kwa mchumba wako, cha nsingi punguza wivu be normal fanya vile vitu yeye aliivipenda kwako muda mlipokutana
 
Hapo juu kila mtu anataka umtimue huyo demu,ndiyo ujue sasa hii ndiyo JF mzee hakunaga mwamaume anaefuga ujinga huwa wanatimua tu ila ukiwakuta makwao huko hao hao wamekituliza hawafurukuti, be real mkuu chagua wewe unachokitaka and za kuambiwa changanya na zako maisha yanasonga mzee usichukulie kila kitu serous utapasua ubongo
 
Mkuu umewahi kumwambia? Pengine mpenzi wako yuko huru sana kwako kiasi kwamba anaweza kukwambia chochote kama besti yake. Jaribu kumuelewesha tu

Mawasiliano muhimu katika mapenzi. kama uliwahi kumwambia lakini akarudia tena basi hiyo ni ishu nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro kimbia kama kwenye riadha, hamna upendo hapo. Ukiona mwanamke anamsifia mwanaume mwingine na ww upo nae jua kashamtaman au wanafanya yao kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umewahi kumwambia? Pengine mpenzi wako yuko huru sana kwako kiasi kwamba anaweza kukwambia chochote kama besti yake. Jaribu kumuelewesha tu

Mawasiliano muhimu katika mapenzi. kama uliwahi kumwambia lakini akarudia tena basi hiyo ni ishu nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimwambia unampenda yule broo akanyamaza nikamuuliza tena nikiwa namuuliza kila wakat rafiki yako ambae unahic ananinyima usingizi utajisikiaj akaishia kucheka mpaka leo sina jibu lililojibiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo humuelewi sisi tukushauri nini...ngoja uwakute kitandani wacheza mpira ndio utaelewa.....jiongeze kuwa na uamuzi wa kiume sio unalialia huelewi
 
Mkuu umewahi kumwambia? Pengine mpenzi wako yuko huru sana kwako kiasi kwamba anaweza kukwambia chochote kama besti yake. Jaribu kumuelewesha tu

Mawasiliano muhimu katika mapenzi. kama uliwahi kumwambia lakini akarudia tena basi hiyo ni ishu nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Amwambie nini mzee baba?? Unapoingia kwenye relation unaingia na mtu ambae unaamini anaweza pambanua mambo, basi hata hilo ni la kumwambia demu?? Acheni hizo
 
Nilimwambia unampenda yule broo akanyamaza nikamuuliza tena nikiwa namuuliza kila wakat rafiki yako ambae unahic ananinyima usingizi utajisikiaj akaishia kucheka mpaka leo sina jibu lililojibiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe kaa utafute ushauri wakati demu anakuletea dharau za hali ya juu. Unamuuliza unampenda yule jamaa na anakaa kimya na wewe unamuangalia tu??? Ama kweli wanaume tumebaki wachache sana
 
Jomba, ikiwa wewe mhusika humuelewi, sisi Wapenzi watazamaji tutamuelewa vipi? Kwako Mhasibu
 
Back
Top Bottom