Simuelewi huyu mchumba wangu

Simuelewi huyu mchumba wangu

Endelea na mambo yako,mpotezee huyo,kukataa zinaa kabla ya ndoa nasimama nae ila kukupiga kalenda ghafla bila kukwambia ndoto yake ni nini hasa,ina maanisha hakuhitaji tena ila anashindwa tu kukwambia direct,jiongeze,

Kama mmeanza hivyo na hamjaoana,je mkioana itakuaje? Sioni dalili nzuri ya maelewano kwenye future ya maisha yenu huko mbeleni,

Live the life u love,love the life u live,life is very short.

Good luck.
Asante mkuu na hapo kunisaidia nikikwama, kuhakikisha ibada tunaenda wote pananichanganya
 
Wakuu habarini napoleni pia na mahangaiko ya kujitafutia ridhiki.
Naombeni ushauri maana simuelewi huyu mchumba wangu.
Nilikutana na huyu binti miez 4 iliyopita na wakati nakutana nae nilimpenda sana basi nikazungumza nae tukakubaliana kwa sharti moja tukapime afya zetu kwanza. Tukapima na wote tupo safi,baada ya muda nilimhitaji tukutane kimwili aliniambia kufanya hvyo kabla ya ndoa ni dhambi kubwa hvyo kama nampenda nimuoe maana yy yupo tayari nimuoe hata saiz kuliko kuzini.. Basi kwa vile nampenda sikua na namna ya kukataa matakwa yake, nilivyomuambia nipo tayari kufata taratibu za kulipa mahari yeye akaja niambia hayupo tayari kuolewa sahz hvyo kama nampenda basi nimsubiri adi mwaka keshokutwa 2024ndipo nimuoe.

Kumuuliza kwann ananiambia hvyo wakati alishaniambia nimuoe hata sasa anasema yy kaamua tu aolewe 2024 ana mipango yake anataka aitimize kwanza, kumuuliza ni mipango gani hyo hasemi anasema kaamua tu, je ananipenda kweli huyo? Maana SIMUELEWI hanichuni wala nn nikikwama ananisaidia na ushauri mzuri ananipa shida hapo Nahitaj kula tunda hataki ad nimuoe na process ya kumuoa yenyewe anaipigapiga kalenda... Nisaidien mawazo wakuu
Utaelewa tu taratibu
 
Anamsubiri anaempenda, anahisi hapo katikati atakua kajirekebisha so ataolewa nae. Wewe ni kama back up, huyo jamaa akizingua mpaka 2024 basi ww kilaza utamuoa.

Kwahiyo ni kusubiri tu, ila 2024, ni uhakika coz huyo jamaa yake atakua hana mpango nae baada ya kupiga atakavyo.
 
Anamsubiri anaempenda, anahisi hapo katikati atakua kajirekebisha so ataolewa nae. Wewe ni kama back up, huyo jamaa akizingua mpaka 2024 basi ww kilaza utamuoa.

Kwahiyo ni kusubiri tu, ila 2024, ni uhakika coz huyo jamaa yake atakua hana mpango nae baada ya kupiga atakavyo.
Hata mm nilihisi hvyo mkuu ila nikaona nipate ushauri kwanza ndipo nifanye maamuz, shida niliqah mtema akaitisha kikao kanisani tukayaongea yakaisha
 
Bikra hana mkuu, anasema alitolewa kipind hicho hana fahamu kama sasa hvyo katia ngumu adi nimuoe shida ananipiga kalenda kama fedha ipo kilia kitu kipo sawa
Una ushahidi gani kuwa hana bikira?

Umeshalikoroga man humpati huyo mdada
 
Una ushahidi gani kuwa hana bikira?

Umeshalikoroga man humpati huyo mdada
Kipindi ananikazia adi nimuoe ndio nilimuuliza kama ana bikra akasema hana ila hawez kufanya adi nimuoe kwaaababu wakati anatolewa bikra alikua hana fahamu kama hv sasa ni mlokole
 
Yawezekana ni mm tu ndie nilietoa hii thread ila wapo wangi wanajifunza kupitia huu uzi hvyo ni busara kutoa maoni kwa kupunguza ukali wa maneno,kwanza tupo mtwara hatupo dar
Ina maana mpaka hapo hujaelewa wahenga tunasemaje?

Ukali wa maneno ndio ushauri wa wahenga hatuwezi kusema kwa upole ili kukutia moyo ilihali upo empty kichwani.
 
Gia uliyoingia nayo ya kutaka kuzini naye imemfanya akuone sio mume sahihi, alivyoenda kujitafakari na kuona kasi uliyonayo ameona huna upendo wa kweli ila unasukumwa na tamaa za mwili. Unahitaji kutuliza kichwa na umwombe Mungu akusaidie.
 
Back
Top Bottom