Simuelewi huyu mchumba wangu

Simuelewi huyu mchumba wangu

Huyo alikuwa anakunyima uchi. Hakuwa na mpango wowote wa kuolewa.

Ndiyo kusema kuwa, usijihangaishe. Nenda naye taratibu, lazima alambwe huyo.

Nikuchekeshe?
Wa kujidai hivyo, unaweza ukapewa ukasema hili ni pagale au pango? Inasoma mileage za kutosha.
Ha a haha haha nimecheka kama zuzu aisee
 
piga chini huo hajakuelewa huo usipoteze muda kijana mambo mengi muda ni mchache
 
Mkuu wote tunaabudu pamoja na niliwahi kutishia kumuacha kisa tabia ya kupeleka mbele mipango ya harusi bila sababu za msingi akaitisha kikao kanisani tukayaongea yakaisha kua harusi ifanywe mwakani mwezi wa 8...sasa juzi anakuja niambia et ana mambo yake nimsubiri ad mwaka keshokutwa mm nikamuuliza mambo gani hayo hayasemi anadai ni uamuzi tu, namm nikameambia kqma ndio hvyo achague moja atoege mechi huku namsubiriaga au akiona hvyo dhambi basi tuoane.. Hapo yupo katikati ndo nataka nimteme coz hana msimamo
Mwanaume toka lini tukabembe leza ndoa kwa Mwanamke
 
Wakuu habarini napoleni pia na mahangaiko ya kujitafutia ridhiki.

Naombeni ushauri maana simuelewi huyu mchumba wangu.

Nilikutana na huyu binti miez 4 iliyopita na wakati nakutana nae nilimpenda sana basi nikazungumza nae tukakubaliana kwa sharti moja tukapime afya zetu kwanza.

Tukapima na wote tupo safi, baada ya muda nilimhitaji tukutane kimwili aliniambia kufanya hvyo kabla ya ndoa ni dhambi kubwa hvyo kama nampenda nimuoe maana yeye yupo tayari nimuoe hata saa hizi kuliko kuzini.

Basi kwa vile nampenda sikua na namna ya kukataa matakwa yake, nilivyomuambia nipo tayari kufata taratibu za kulipa mahari yeye akaja niambia hayupo tayari kuolewa sahz hvyo kama nampenda basi nimsubiri adi mwaka keshokutwa 2024ndipo nimuoe.

Kumuuliza kwann ananiambia hvyo wakati alishaniambia nimuoe hata sasa anasema yy kaamua tu aolewe 2024 ana mipango yake anataka aitimize kwanza, kumuuliza ni mipango gani hyo hasemi anasema kaamua tu, je ananipenda kweli huyo?

Maana SIMUELEWI hanichuni wala nn nikikwama ananisaidia na ushauri mzuri ananipa shida hapo Nahitaj kula tunda hataki ad nimuoe na process ya kumuoa yenyewe anaipigapiga kalenda... Nisaidien mawazo wakuu
Mle tiGo
 
Ila comments za wadau zinapanikisha kichizi

Bro we mpe statement moja tu "Nikuoe sasa hivi au nitafute mwingine?"

Katasema tu, we hunipendi, ungenipenda ungevumulia nyoko nyoko nyingi, ila mwambie leo ndio uamue hatma yetu, ukisema nikuoe kesho kanisani, ukisema siwezi nikiondoa mguu wangu hapa ndo imeisha hiyo

Na mwanamke anatakiwa kumsubiri mwanaume sio mwanaume unamsuburi mwanamke
hivi kumbe
 
Back
Top Bottom