MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,467
hivi haka kawimbo ni ka nani vile
marehemu issa kijoti
hivi haka kawimbo ni ka nani vile
Kanunua simu kampa demu walivyoachana kampokonya
hahaahhaahahah umeuaa
fata simu yako fasta, huli mzigo hapo...
usiende ten kula mgahawani kwao...ye si anajifanya mjanja!!!
Wewe umekuwa cheap sana kwa mwanamke. Unajua kwenye mgahawa anakutana na wangapi.
Unatongoza demu kwa gia ya kumuoa!!! Tumia njia tofauti. Mtumie sma nzuri nzuri. Usimkumbushe hilo tena.
komaa tu ataelewa...
huyo nae simu apokee afu ajitie ana mchumba pambafff zake
Ila mkuu dem bora hapatikani kirahisi. Ukiona watu wana wake wazuri jua walitoil sana kuwashawishi. Ukiona unamtokea dem leo anakukubalia kesho huyo sio...
Sina mpango wa kumpokonya nikitoa huwa sipokonyi au kudai tena
Sina mpango wa kumpokonya nikitoa huwa sipokonyi au kudai tena
siku nyingine upite na demu sasa, ili ajue kua msichana hayupo pekeake.....hahaha leo nimejitahidi sijaenda kula mgahawani kwao maana ili niingie geto kwangu njia ya kupita ni lazima nipite mgahawani kwao hamna short kati nyingine