Black fire
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 755
- 1,323
Habar wakuu.
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nimekuwa nikiona nyuzi mbali humu jukwaani na kwa baadhi ya watu kuhusu hz simu za Xiaomi kwmb ni simu bora. Nataka kuagiza simu ya Xiaomi RedMi 4x. Naomba mwny uzoefu nazo aniambie. Nmekuwa nikisikia mazuri tu ya hizi simu naomba ambaye ashawahi kuzitumia anipe maelezo ya kutosha hasa changamoto za hizi simu ili nifanye maamuzi ya mwisho kabla sijaagiza.
Nitashukuru sana
Niende moja kwa moja kwenye mada. Nimekuwa nikiona nyuzi mbali humu jukwaani na kwa baadhi ya watu kuhusu hz simu za Xiaomi kwmb ni simu bora. Nataka kuagiza simu ya Xiaomi RedMi 4x. Naomba mwny uzoefu nazo aniambie. Nmekuwa nikisikia mazuri tu ya hizi simu naomba ambaye ashawahi kuzitumia anipe maelezo ya kutosha hasa changamoto za hizi simu ili nifanye maamuzi ya mwisho kabla sijaagiza.
Nitashukuru sana