Simu za WhatApp pekee ndiyo hawawezi kurekodi

Simu za WhatApp pekee ndiyo hawawezi kurekodi

Nadhani na iMessage kwa watumiaji wa iPhones.
 
Sasa bila mtandao tutatumiaje whatsapp? Ndio basi tena.
 
Nawajukisha tu ukitumia whatapp pekee ndiyo hawawezi kukurekodi lakini ukiongea na simu ya kawaida Tanzania hasa kwa simu ya nje wanakurekodi . Kuweki makini kuongea siasa kwa simu za kawaida lakini whatapp ndiyo hawawezi nawajukisha
Watafatilia simu zote?. Tuanze kumiliki bunduki majumbaji mwetu kwa usalama wetu wenyewe
 
1762153971867.png
 
Nawajukisha tu ukitumia whatapp pekee ndiyo hawawezi kukurekodi lakini ukiongea na simu ya kawaida Tanzania hasa kwa simu ya nje wanakurekodi . Kuweki makini kuongea siasa kwa simu za kawaida lakini whatapp ndiyo hawawezi nawajukisha
Hawawez kusikiliza Simu zaidi ya million 40, at once unless uwe primary suspect waanze kukufatilia, mambo mengine nikujipa uwoga wakisenge Senge TU..piga normal call shida nini?
 
Hawawez kusikiliza Simu zaidi ya million 40, at once unless uwe primary suspect waanze kukufatilia, mambo mengine nikujipa uwoga wakisenge Senge TU..piga normal call shida nini?
Dunia iko mbele sana mkuu
 
Nimekupm dear 😢
Hata kama upo nje tafuta namna ongea na ndugu,japokua leo ama kesho neti watarudisha...
Tumia Yolla app na nyinginezo nyingi tu za kupiga normal direct.
 
Inasemekana Pegasus system inaweza kudukia Wattsap
 
Hawawez kusikiliza Simu zaidi ya million 40, at once unless uwe primary suspect waanze kukufatilia, mambo mengine nikujipa uwoga wakisenge Senge TU..piga normal call shida nini?
Hata SMS pia haiwezekani. Filter gani hiyo ya kusearch na kukupa matokeo mazuri? Sio rahisi. Na ikitokea hivyo, mitandao ya simu ni kukosa uadilifu, tutarudisha tena kuuana kwa kukosa uhuru wa mawasiliano.
 
Back
Top Bottom