Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Je simu hizo zimetengenezwa na kampuni za kichina au ndiyo zile zetu za kizamani kabla wachina hawajanunua license?
Ni orgnal,ni kabla wachna hawajapata licence,sio copy.hz cm kwa wanaoujua mkuu si zakukosa,ni ngumu sana.
 
Nmekutxt tena inbox na mpaka saiv imepita robo sàa,still jibu hakuna na nilikuwa natarajia kesho nije kuchukua sim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…